Friday, March 27, 2009

HASARA YA MOTO ULIOUUNGUZA PARADISE HOTEL BAGAMOYO

Taarifa hii imenukuliwa kutoka kwa mmiliki wa hoteli hiyo Bw. Abdullahi Noor Gulled.

Tuwape pole mwenye mali na wafanyakazi wake 280 waliokosa kibarua kwa ghafla kiasi hiki. Hawa lazima walikuwa wakitegemewa na familia zao. Sensa ya mwaka 2002 ilisema kuwa familia ya Tanzania ina watu wastani watano, tukizidisha na hii 280, ndio tunapata idadi kamili ya watu walioathirika vibaya sana na moto huu kwa kuondolewa matonge midomoni mwao. Ni huzuni tupu jamani.

"In fact my Hotel was among the leading deluxe hotels in the town of Bagamoyo, Dar es Salaam, Tanzania and there were 280 workers working in the hotel, and the cause of the fire is yet mysteries, but investigations are underway to detect out the cause of the fire, the fire was very ferocious, and has annihilated money worth 10 million U.S$, but the goodness is that it is registered in the insurance company, the fire swiftly spread to another hotel in the next building owned by a Somali man as well, and it has also completely destroyed it, this hotel of mine was built in the year 1997, everything happens in the will of God the almighty and this simply a building in the world and thanks to God to what has hppend we are Muslims we should come up with strong and unshakable faith to what ever we come across evil or good" said the Abdullahi Noor Gulled the owner of hotel Paradise in Tanganyika speaking to Somaliweyn correspondent in the town of Arusha in Tanganyika.

No comments:

Post a Comment