Monday, March 22, 2010

UDHALILISHAJI NA UDUNISHAJI WANAWAKE HAUKUKITHIRI AFRIKA PEKEE

MISEMO YA UDHALILISHAJI WANAWAKE NCHINI NEPAL - 23/3/2010
Imeandikwa na: SAPANA PRADHAN MALLA (http://nepaldemocracy.org)

Beliefs Reflecting the Derogatory Attitude Towards Girl Child/Women including the following:

• Dhilo paye, Chhora paye (“Let it be late, but let it be a son”); Ni heri kuchelewa kuzaa nipate mtoto wa kiume.

• Chhora paye swarga jaane (“The birth of a son paves the way to heaven”); Kuzaliwa kwa mtoto wa kiume ni njia ya kuingia peponi.

• Chhori ko janma hare ko karma (“A daughter is born with a doomed fate”); Mtoto wa kike huzaliwa na mikosi.

• Chhora paye khasi, Chhori paye Pharsi (“If a son is born, it is celebrated by sacrificing a goat, if it’s daughter, a pumpkin is enough”); Azaliwapo mtoto wa kiume, husherehekewa kwa mbuzi aliyenona, kama ni mtoto wa kike, boga linatosha.

• Chhora bhaye sansar ujyalo, Chhori bhaye bhanchha ujyalo (“Son brightens the whole world, whereas a daughter brightens only the kitchen”); Mtoto wa Kiume anaangaza dunia nzima, wakati mtoto wa kike anaangaza jikoni tu.

• Kanya Daan (“a daughter should be given away as a gift”); Mtoto wa kike anastahili kutolewa zawadi tu.

• Mare paap, pale punya (“It’s a sin if the groom kills the bride, charity if nurtured”); Ni dhambi kwa Bwana harusi kumuuwa bibi harusi, ni huruma tu kwa kumhifadhi.

• Srimati bhaneko paitalako dhulo ho (“Wife is the dust of the foot”); Mke ni vumbi la nyayoni.

• Chhori mari, thulo ghar pari (“If a daughter dies, we can say she has been married into a rich home”); Afapo binti, tunaweza kusema kaolewa na tajiri.

• Pothi base ghar mahscha (“A woman ruled house is sure to be destroyed”); Nyumba itawaliwayo na mwanamke ina hakika ya kusambaratishwa.

• and Swasni mancheko buddhi pachhadi (“Women are always shortsighted”); Wanawake hawana muono wa mbali; wanawake hawaoni mbali.

Saturday, March 20, 2010

VYAKULA VILIVYOSHAMIRI VIRUTUBISHO SAWIA

COMPLEMENTS OF LIVEHEALTHCLUB. - 21/3/2010.

1. Berries - Matunda Pori.

All berries are low in sugar and high in fiber. Blueberries have been shown to increase memory in lab studies, and raspberries and strawberries are loaded with ellagic acid, a powerful antioxidant that seems to have some anti-cancer properties, according to the American Cancer Society.

2. Beans - MAHARAGE

Beans are extremely high in fiber, which helps to control weight, prevent or manage diabetes and blood sugar, and may help prevent colon cancer and protect against heart disease. The National Institute of Medicine recommends 25-38 grams of fiber a day. The average American gets only 4-11 grams. One cup of beans provides 11-17 grams.

3. Nuts - HAINA TAFSIRI YA KISWAHILI ! Kila "nut" ina jina lake, kwa mfano, Nazi, Korosho, Karanga, n.k.

Some of the largest and most important long-term studies of diet and health have shown that eating nuts several times a week is consistent with ....

BENEFICIAL RASPBERRIES !

COMPLEMENTS OF DR.WEIL.COM - 21/3/2010.

One of my favorite fruits is the raspberry. Known as an aggregate fruit, meaning that smaller sections with seeds and fruit create a larger whole, raspberries have significant nutritional value - they:

1. Are a good source of vitamin C and fiber.
2. Provide folate, vitamins B2 and B3, magnesium and other essential nutrients.
3. Contain ellagitannins, natural health-protective compounds that appear to have potent anti-cancer activity.
4. Have considerable antioxidant potential (50% more than strawberries).
5. Place in the top 15 of the American Journal of Clinical Nutrition's best antioxidant sources.

15 OKAYED NON ORGANIC FOODS

COMPLEMENTS TO DR. WEIL.COM. - 21/3/2010

KIINGEREZA KISWAHILI

1. Onions - Vitunguu Maji
2. Avocados - Parachichi (embe mafuta)
3. Sweet corn - ?
4. Pineapples - Mananasi
5. Mangos - Embe (ma-embe)
6. Asparagus - ?
7. Sweet peas - Njegere
8. Kiwi - ?
9. Cabbage - Kabichi
10. Eggplant - Bilingani (bilinganyi)
11. Papaya - Papai
12. Watermelon - Tikiti Maji
13. Broccoli - ?
14. Tomatoes - Nyanya Maji
15. Sweet potatoes - Viazi Vitamu.

Saturday, March 13, 2010

WONDER TWINS HEAD FOR HIGH SCHOOL AT AGE NINE

Wonder Twins Head For High School Aged Nine

Monday, March 1 09:37 am
SkyNews © Sky News 2010

Wonder Twins Head For High School Aged Nine
From SKYNEWS, 1 March, 2010.

WHAT IS EVEN MORE AMAZING, THESE CHILDREN ARE OF AFRICAN DESCENT AND ARE LIVING IN A CHALLENGING AND DIFFICULT ENVIRONMENT.


Paula and Peter Imafidon, from Waltham Forest, London, amazed parents and teachers when they passed an A-level maths exam at the age of seven.

The twins have been waiting to find out which secondary school they will attend, along with thousands of other youngsters - who are two years older - across the country.

Peter and Paula, who attend a state primary in London, were helped by their three older brothers and sisters, all of whom were also child prodigies.

Their father Chris said he was thrilled by his childen's achievements at school.

He denied any particular genius in the family, crediting their success to the Excellence in Education programme for inner city children from disadvantaged backgrounds.

"Every child is a genius," he said. "Once you identify the talent of a child and put them in the environment that will nurture that talent then the sky is the limit.

"Look at Tiger Woods, or the Williams sisters - they were nurtured.

"You can never rule anything out with them, the competition between the two of them makes them excel in anything they do.

"They are forever competing and fighting, even if it's just for the remote control or the computer."

Paula hopes to become a maths teacher, while Peter hopes to become Prime Minister one day.

Thursday, March 11, 2010

HABARI YA MAENDELEO YANGU KATIKA MASOMO YA UZAMIVU

Kwa kweli kila jambo hupangwa na Mungu.

1. Mimi nilijizatiti kutoa Andiko langu la kitaaluma la ["STARTING A LEGAL AID CLINIC AT MZUMBE UNIVERSIT (MULAC)]tarehe 9 Machi, 2010 kama nilivyotarajia mapema katika mkutano uliofanyika siku hiyo. Hata hivyo wajumbe wa Mkutano wa Faculty of Law Internal Examiners Board walikataa, kutokana na sababu kwamba Andiko hilo halijatolewa na kujadiliwa katika Idara ya Sheria za Utawala (Administrative Law Department) . Hivyo ikaamuliwa kwamba Andiko hilo likatolewe kwanza katika Mkutano wa Idara ya Sheria za Utawala (Department of Administrative Law).

2. Nilipomuona Mkuu wangu wa Idara Bw. Ignas Sethi Punge, na kumfahamisha jambo hilo mahsusi (alichelewa kufika kikaoni)akasema, itabidi jambo hili lipangiwe siku yoyote baada ya mkutano wa Bodi ya Kitivo cha Sheria tarehe 12/3/2010. Hivyo nimebaki nikisubiri kikao hicho kifanyike ili nikakumbushie tena Idarani kwangu kujua kama kikao cha kujadili Dondoo ya Andiko langu kitafanyika lini.

3. Tatizo ni kuwa pamebakia muda wa siku 10 tu kutoka siku ya Mkutano huo na kufunguliwa Chuo tarehe 22/3/2010. Kwa uzoefu tulionao, Chuo kikifunguliwa, inakuwa vigumu sana kuwapata walimu wa Idara wa kuhudhuria katika mikutano kwa kuwa idadi yao kubwa wanakuwa katika ratiba za kufundisha, hivyo kupanga mkutano wakati huo Kiidara inakuwa ni Mtihani mkubwa. Ndio maana naomba Mungu iwezekane mkutano huo ufanyike ndani ya siku hizo kumi(10) zitakazobaki baada ya Mkutano wa Bodi ya Kitivo cha Sheria.

4. Umuhimu wa Andiko hilo kupita na kufikia katika ngazi ya Bodi ya Kitivo cha Sheria, ngazi ya Seneti na ngazi ya Kanseli ya Chuo ni aina mbili:

(a) Kwanza hatima ya jambo zima hili itajulikana endapo Chuo kitakuwa tayari kuanzisha kituo kama hiki cha Kutoa Msaada wa Sheria kwa Wananchi kwa kutumia wanafunzi wake katika kufanya kazi mbalimbali za kisheria Ki tuoni hapo; jambo ambalo litakuwa ni faida kubwa sana kwa chuo, kwa wanafunzi wetu, kwa majirani na taifa kwa jumla. Pia kitapandisha sana hadhi ya chuo chetu kwamba ndio cha kwanza nchini kufanikiwa kuanzisha kituo kama hiki.

(b) Jambo la pili ambalo ni la kibinafsi zaidi ni kwamba Andiko hilo likishapita kote linakotakiwa kupita kiutaratibu, nimedhamiria kulichapisha Andiko hilo ili linisaidie katika kupandisha Chati yangu ya Kitaaluma Chuoni Mzumbe. Kama mfahamuvyo, katika Vyuo Vikuu vya Taaluma duniani kote kuna ile sera isemayo "EITHER YOU PUBLISH OR YOU PERISH" (Chapisha au Potea). Kwa kuwa sina nia ya kupotea, ni heri nichapishe, inshaallah.

Friday, March 5, 2010

MANUFAA YA MANDONDO (VYAKULA AINA YA MAHARAGE)

Daily Tip for insight into some of Dr. Weil's favorite foods, courtesy of Dr. Weil on Healthy Aging!


They often get a bad rap for causing indigestion and flatulence, but the health benefits of beans (and other legumes, such as lentils and chickpeas) make them a stellar choice in a healthful diet. Beans are:

1. An excellent source of vegetarian protein, providing six to seven grams per ½ cup serving.
2. High in folic acid, which may help to protect against cancers of the lung, colon, and cervix, and prevent birth defects.
3. A great source of fiber, dishing up 25-30% of the Daily Value of dietary fiber, 75% of which is insoluble - the type that reduces the risk of colon cancer.
4. A low-glycemic-index food, making them a good option for diabetics.

In addition, most varieties are inexpensive and versatile. I recommend 1-2 servings of beans and legumes per day - easy to do if you swap out meat for beans in salads and sandwiches, and make hummus or bean dip part of an afternoon snack. And if stomach upset is a concern, you can improve the quality and digestibility of beans by consuming them with grains such as brown rice, which provide a complimentary protein profile. Discarding the soaking and cooking water when using dry beans may also help reduce flatulence.

Thursday, March 4, 2010

HABARI ZA MAENDELEO YANGU KATIKA MASOMO YA UZAMIVU

Imehifadhiwa leo hii tarehe 5 Machi, 2010, nami Zainab M. Mwatawala.

1. Natanguliza Kumshukuru Mungu. Leo nina dhamira ya kuhitimisha taarifa ya malipo ya "Situational Analysis", niliyoyaomba tarehe 17/9/2009 kwa ajili ya kazi niliyoifanya kati ya tarehe 27/9/2009 na tarehe 10/10/2009 (yaani mwaka jana).

2. Hatimaye leo, baada ya "quarter" tatu za kutolewa mafungu ya fedha kupita, yaani ile ya Julai-Septemba, Oktoba-Disemba, na Januari-Machi. Leo ndio nimepokea fedha taslim kwa njia ya Hundi ya CRDB Bank (Mzumbe Branch) Na. 044685 ya tarehe 4 Machi, 2010, iliyolipwa kupitia Vocha Na. 103/3 ya tarehe 3/3/2010, ya Shilingi (Tshs.) 992,500/= (yaani kwa maneno ni: shilingi mia tisa tisini na mbili elfu, mia tano tu) kwa ajili ya kazi hiyo niliyoifanya kwa kutumia raslimali fedha binafsi wakati huo.

3. Pia habari nzuri nyingine ni kuwa HATIMAYE, Andiko langu la kitaaluma juu ya "Starting a Legal Aid Clinic at Mzumbe University", (Uanzishwaji wa Kituo cha Kutoa Msaada wa Sheria Chuo Kikuu Mzumbe - MULAC) ambalo nilisema hapo nyuma kuwa nililihadhirisha kwa hadhira ya Kitaaluma Chuo Kikuu Mzumbe tarehe 1/9/2009, nitalihadhirisha tena rasmi katika ngazi inayofuata ya Mkutano wa "Faculty of Law (FOL) Internal Examiners Board" utakaofanyika siku ya Jumanne, tarehe 9/3/2010 Chuo Kikuu Mzumbe.

4. Baada ya hatua hiyo muhimu katika ngazi ya mambo ya Kitaaluma Chuo Kikuu Mzumbe, Andiko hilo nitalihadhirisha katika Mkutano wa Bodi ya Kitivo cha Sheria (FOL Faculty Board utakaofanyika tarehe 11/3/2010, kabla ya bodi hiyo kuridhia ili lifikishwe katika kikao cha Seneti (senate) utakaofanyika tarehe 19/3/2010, Chuo Kikuu Mzumbe.

5. Mkutano wa Seneti ndio ngazi ya mwisho itakayopendekeza endapo Andiko hilo lipite au la; yaani kikao hicho kina mamlaka ya kulipeleka pendekezo la kuanzisha rasmi Kituo cha Kutoa Msaada wa Sheria Chuo Kikuu Mzumbe (MULAC) kwa Baraza la Chuo (Mzumbe University Council), litakalokutana tarehe 26/3/2010 Chuo Kikuu Mzumbe. Hii ni kwa mujibu wa Kalenda ya Kitaaluma (ALMANAC) Chuo Kikuu Mzumbe ya mwaka 2009/2010.

6. Namuomba Mungu anisaidie ili kusiwe na vipingamizi, vigingi, wala vikwazo vitakavyokwamisha kazi hii kusonga mbele kadri ya ratiba hiyo niliyoielezea.

Wednesday, March 3, 2010

WATANZANIA JINSI TUNAVYOANGAMIZA TAIFA KWA KUTUMIA KUKU

Imechangiwa na Patricia Chenga kupitia email {bwanawangu@yahoo.com}


Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi wa kitabibu, baadhi ya kuku wa kufugwa wanaoingia sokoni wamekuzwa kwa kutumia ‘utundu’ wenye hatari wa baadhi ya wafugaji wasio waaminifu kwa kulisha mifugo hiyo dawa za ARV ambazo huwafanya kuku hao kuonekana wakubwa na wanene kwa muda mfupi.

Uchunguzi huo unakwenda mbele zaidi na kubainisha kwamba, tabia za dawa hizo ambazo ni kujenga mwili na kuimarisha kinga ya magonjwa kwa mwathirika wa Virusi vya Ukimwi, ndiyo inayompata mlaji wa kuku hao.

Inadaiwa kuwa, kuku hao wanapokula chakula kilichochanganywa na dawa hizo, huweza kutumia siku kumi na mbili hadi kumi na nne kutoka kuwa vifaranga hadi utayari wa kuingizwa kwenye soko la walaji.

Ili kukamilisha uchunguzi huo, Amani lilituma machero wake maeneo ya Kibamba, nje kidogo ya Jiji la Dar ambapo ndipo kwenye viwanda vya kuzalisha kuku wa ‘sampuli’ hiyo.

Kwa mujibu wa kijana mmoja ‘profesheno’ wa kutunza kuku katika moja ya nyumba maarufu kwa uzalishaji maeneo hayo, ambaye hakutaka jina lake lichorwe kwenye ‘pepa’ hii, alikiri kuwepo kwa ishu hiyo, lakini alibainisha kuwa hajui bosi wake anapochukulia vidonge hivyo vya ARV’S.

MADHARA:
Kwa mujibu wa Daktari mmoja wa Hospitali ya Taifa Muhimbi ambaye aliomba hifadhi ya jina lake, mtu anayependa kula kuku waliokuzwa kwa kutumia ARV na yeye huanza kunenepa kupita kawaida, lakini uzito unaweza kuwa tofauti na unene ‘boya’.

Mtabibu huyo aliongeza kuwa, watoto wengi wanaozaliwa siku hizo ambao wazazi wao wamekuwa watumiaji wazuri wa kuku, hukua haraka kiasi kwamba, mtoto wa miaka 18 huonekana kama ana miaka 27.

Aidha, alidai kuwa, wengi ambao kuku hao wamekuwa chakula chao kikuu, hufika mahali wanakuwa ‘legelege’ katika utendaji wa kazi wa kila siku tofauti na zamani huku sehemu kubwa ya chakula hicho ikiangamiza ‘pati’ ya subira na uvumilivu na mlaji kuwa na hasira.

Dalili nyingine ni mtu kuhisi muda wake wa kuchoka unakuwa mfupi akilinganisha na zamani na wakati mwingine hali ya kuhisi kusinzia humtawala hata kama anafanya kazi.