Jimbo la Igunga wazi, Mahakama Kuu tarehe 21/8/2012 imetengua ushindi wa Dk Kafumukatika jimbo la Uchaguzi la Igunga, Tabora. | Send to a friend |
Tuesday, 21 August 2012 13:49 |
![]() Bw. Ismail Aden Rage aliyetembeza bastola mfukoni wakati wa Kampeni za Uchaguzi huo Mdogo kana kwamba tuko kwa mjomba SAM (Uncle SAM - USA, where totting guns is part of their culture? and their Right as per their Constitution) ni mmoja wa waliomponza. Wengine waliomponza ni Dr. John Pombe Magufuli aliyeahidi ujengwaji wa Daraja, ahadi isiyotimia! na mengine mengi. JUSTICE NOT ONLY HAS TO BE DONE; BUT JUSTICE NEEDS TO BE SEEN TO BE DONE, AND HERE AT IGUNGA; JUSTICE HAS ACTUALLY BEEN SEEN TO BE DONE BY THIS DECISION OF THE HIGH COURT OF TANZANIA. Shauri hilo lilifunguliwa na mlalamikaji Joseph Kashindye dhidi ya Dk Kafumu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na msimamizi wa uchaguzi. Kwa habamri zaidi uangana nasi baadaye |
No comments:
Post a Comment