Wednesday, July 14, 2010

GWIJI LA SHERIA PROF. JWANI MWAIKUSA AUWAWA DAR

From: Chris Mwasambili
Subject: [tanzanet] BREKING NYUUUUZZZZZ: PROFESA MWAIKUSA AUWAWA JIJINI DAR (MICHUZI)
To: list@tanzanet.org
Date: Wednesday, 14 July, 2010, 12:50

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZbttdxYKndtXXVxh9eKEJ5MXHSGVwkwQtzgh0q9gTSxvwdt_kclwvnS4cxR9-aUdcTmNMal6YusEnyPaJqEBBb3liLthrUv9dlsd9do_Njc96oowt-n9k4k545z9t2GMX3KKR121egzw/s400/47.jpg

Marehemu Profesa

Jwani Timothy Mwaikusa



Habari zinasema Wakili na Mwanasheria nguli na Mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof. Jwani Timothy Mwaikusa amefariki dunia baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akirejea nyumbani kwake maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam.

Prof. Mwaikusa pia alifanya kazi katika mahakama ya kimataifa ya I.C.T.R Arusha na alikua rafiki wa mahakama ambaye alitetea vizuri hoja alizowasilisha kuhusu mgombea binafsi.

Kwa wale waliosoma literature A- Level kama mimi, Prof. Mwaikusa pia alikua mwandishi mzuri wa poems ambazo wengi wetu tulizijibia mitihani.
Pamoja nae pia ameuwawa mwanae aliyekua akitoka nje kumfungulia geti, na mtu baki aliyekua akipita njia.

Kwa jicho la kawaida tu, haya yatakua mauaji ya kisasi au ya kumnyamazisha kuhusu jambo fulani kwakua habari za awali zinasema wauwaji hao hawakuiba kitu chochoteSee More

Na Mdau Nkundwe Mwakilema

NILIYOYAFAHAMU:
Career:
* Professor of Law, Faculty of Law, University of Dar es Salaam 1999
* Mkono & Co Advocates since 1998
* Advocate, High Court of Tanzania since 1988
* Managing Editor of the Tanzania Law Reports.
Qualifications:
* Ph.D., School of Oriental & African Studies, University of London, UK, 1995
* LL.M, University of Birmingham, UK, 1985
* LL.B (Hons), University of Dar es Salaam, Tanzania, 1981.

No comments:

Post a Comment