Sunday, June 6, 2010

KURUHUSU KUTUMIA LUGHA ISIYO KISWAHILI KWENYE KAMPENI NI UBAGUZI MKUBWA TANZANIA

MAJIBU KWA TUME YA UCHAGUZI, TANZANIA, YA MAAMUZI YA KURUHUSU KUTUMIA LUGHA ASILIA ZA JADI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2010 NCHINI TANZANIA.

Jambo hili la kuruhusu matumizi ya lugha za asili katika kampeni za uchaguzi Mkuu wa mwaka huu wa 2010 nchini Tanzania, ni kukiuka, kuvunja na kudhihaki Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa sababu kuna Ibara nyingi tu katika Katiba hiyo zinazokataza katakata ubaguzi kama huu.

Ibara hizo ni pamoja na Ibara ya 12, 13, 18, 19, 20, 21. Inashangaza kwamba Jaji Mzima wa Tume ya Uchaguzi Tanzania anafikia hatua ya kutangaza uhalali wa jambo hili ambalo Watanzania wote tunalipigia kelele tangu uhuru wetu tarehe 9/12/1961. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye aliyekuwa wa kwanza kukemea na kuhakikisha ukabila unapotea nchini Tanzania katika mambo ya Kiserikali kama haya kwa kukidumisha, kukienzi na kukitumia KISWAHILI na mapema sana kuitangaza lugha hiyo utumiwayo na Watanzania wote kuwa ndio lugha ya TAIFA hili. Kiingereza kikifuata kuwa lugha ya pili ya Kiofisi na kibiashara.

Naunga mkono kwa asilimia mia moja (100%) kwamba jambo hili lipigwe vita hadi kieleweke. Jaji Makungu hana haki ya kuturudisha nyuma Watanzania katika enzi za kabla ya uhuru wetu. Jambo hili ni hatari, halifai, halipaswi hata kufikiriwa licha ya kutekelezwa. Makungu ni adui wa nchi hii. Tafadhali rejea habari iliyo hapa chini ili uelewe juu ya jambo hili kikamilifu.
__________________________________________________________________________



By PIUS RUGONZIBWA, 4th June 2010 "Daily News", Tanzania
>
>
> CANDIDATES will now be allowed to campaign using tribal languages
> during this year's general elections provided they do not offend
> other contestants.
>
> The National Electoral Commission (NEC) Vice- Chairman, Judge Omary
> Makungu, said this during a meeting of stakeholders from various
> political parties in Dar es Salaam yesterday to deliberate on the
> electoral code of conduct.
>
>
> He said that the Commission will consider their views and include
> tribal languages during campaigns in this year's general elections.
>
> "We are going to prepare guidelines on how and when to use tribal
> languages and making sure they are not used to offend others and
> disrupt the peace," he explained.
>
>
> The stakeholders were against the Commission's proposal that only
> Kiswahili should be used simply because it was understood by the
> majority of the population and that interpreters would be used in
> areas where the language is not understood.
>
>
> They stressed that it was important that vernacular or tribal
> languages be used to deliver the right messages to voters,
> particularly those in rural areas and who don't understand
> Kiswahili thoroughly.
>
>
> "Tribal languages are inevitable as experience has shown that many
> people especially in remote areas are not conversant with Kiswahili
> despite the fact that it is the national language," said Mr John
> Mnyika from Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
>
>
> The same sentiments were echoed by National League for Democracy
> (NLD) and CCM whose representatives argued that using interpreters
> would be wastage of time and resources. They also argued that
> number of interpreters was too limited to meet the demand during
> the elections.
>
>
> The meeting also suggested the time for ending campaigns to be
> rescheduled from the current 6:00 pm to at least 8:00 pm, but NEC
> officials said due to different geographical locations, it was
> better that campaigns end at at least 6:30pm.
>
>
> NEC, however, concurred with stakeholders' views that campaigns
> using loud speakers be extended to 8:00 pm instead of 7:00pm at
> present.
> Meanwhile, stakeholders were against the mandatory requirement for
> parties to sign and accept this year's electoral code of conduct
> otherwise they would be barred from taking part in the elections.
>
>
> They also opposed another section providing that any candidate who
> refuses to sign and abide to the code of conduct will automatically
> be disqualified from contesting in the elections.
>
>
> "We must avoid threats if we want to make this law a success. Such
> threats are unconstitutional since every citizen has the right to
> elect and be elected regardless of his or her status," said Mr
> Emanuel Makaidi, TADEA Chairman.
>
>
> The Commission also warned stakeholders against using religious
> places like churches and mosques to conduct campaigns, saying such
> practices might instigate violence.
>
>
> ___________

4 comments:

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  3. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  4. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete