Sunday, November 1, 2009

UCHAGUZI TANZANIA UNAVYOJENGEWA MAZINGIRA YA KUFINYANGA DEMOKRASIA TANZANIA

Na Abdallah Bawazir

1st November 2009

http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg Yahusu Mabalozi wanaoingilia mambo ya nchi

http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Memb.jpg

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.

Vyama vya upinzani vimelaani kauli iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kuwaonya mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini kuwa wanaweza kutimuliwa endapo wataingilia mambo ya ndani ya nchi.

Wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti jana, baadhi ya viongozi wa vyama hivyo, wametahadharisha kuwa endapo onyo hilo la serikali litatekelezwa, Tanzania inaweza kuingia katika orodha ya nchi zenye mgogoro kidiplomasia na nchi fadhili na pia inaweza kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na watakaoathirika ni wananchi wa kawaida kama vile ilivyo Zimbabwe.

Viongozi hao wa vyama vya upinzani wametoa tahadhari hiyo, ikiwa ni siku chache tu, baada ya Membe kuonya kuwa balozi yeyote anayeiwakilisha nchi yake nchini akibainika kushirikiana na vyama vya upinzani kutaka kuking'oa madarakani chama tawala atafukuzwa nchini.

Akizungumzia onyo hilo la serikali kwa mabalozi, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, jana alisema kuwa kauli hiyo ya Membe si ya kiungwana kwa mabalozi na inafaa kulaaniwa na wana-demokrasia wote.

Alisema kuwa mabalozi wapo nchini si tu kwa ajili ya ushirikiano wa kiserikali kati ya nchi zao na Tanzania, bali pia kuangalia masuala mbalimbali kama vile demokrasia, haki za binadamu na utawala bora, na kwamba mambo hayo yanapokiukwa wanaweza kukemea na kwamba jambo hilo si kuingilia mambo ya ndani ya nchi.

Alisema kuwa nchi wafadhili zinachangia zaidi ya asilimia 40 ya bajeti ya serikali, hivyo hawawezi kukaa kimya kuona baadhi ya mambo kama vile ukiukwaji wa demokrasia na haki za binadamu yakitokea.

"Mabalozi wanajua mipaka ya kazi zao hawaingilii mambo hivyo ni mpaka pale wanapoona kuna tatizo, nchi zao zinachangia zaidi ya asilimia 40 ya bajeti ya serikali, hivyo hawawezi kukaa kimya wanapoona kuna ukiukwaji wa demokrasia na uvunjaji wa haki za binadamu", alisema.

Mwenyekiti huyo wa NCCR-Mageuzi, alidai kuwa uzoefu umeonyesha kuwa vyama tawala barani Afrika mara nyingi ndiyo vimekuwa chanzo cha vurugu na machafuko pale vinapominya demokrsia, kukiuka haki za binadamu na kuvuruga chaguzi na kwamba vinapobanwa na wafadhili hapo ndipo vinapowaona wabaya. Aliitahadharisha serikali kutowabana mabalozi pale wanapoingilia kati mambo ambayo yanaonekana wazi kukiuka misingi ya demokrasia na haki za binadamu, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuisababishia nchi matatizo makubwa kama vile kuwekewa vikwazo na watakaoathirika ni wananchi wa kawaida.

Alisema anashangaa kuona serikali ikianza kuvibana vyama vya upinzani wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu mwakani, kwa kuweka masharti mbalimbali kama vile kuzuia vyama visipate ufadhili wa nje wakati wa uchaguzi. "Mambo yote haya yanafanyika kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwakani, hili si jambo zuri" alisema.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, alisema serikali haina mamlaka ya kuvizuia vyama vya upinzani kupata misaada kutoka nje ya nchi wala kuwazuia mabalozi kuingilia mambo yanayoweza kuivuruga nchi na kuleta machafuko.

"Kwa mujibu wa mkataba wa Vienna ambao Membe ndiyo ameutumia kuwaonya mabalozi kutoingilia mambo ya ndani ya nchi, serikali haiwezi kuwazuia mabalozi kuingilia mambo ya nchi kama kuna unyanyasaji, ukandamizaji wa demokrasia, ukiukwaji wa haki za binadamu na kuvururuga chaguzi" alisema. Kuhusu dhamira ya serikali kutaka kutunga sheria ya kuvizuia vyama vya siasa kupata misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi wakati wa uchaguzi, Dk. Slaa, alisema kuwa sheria hiyo ina lengo la kuvikandamiza vyama vya upinzani.

"Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndiyo kinachoongoza kwa kupata misaada mingi ya kifedha wakati wa uchaguzi kutoka kwa vyama marafiki nje ya nchi na ushahidi tunao hivyo sheria hii itakuwa ni ya kibaguzi" alisema.

Mkurugenzi wa Uenezi na Mahusiano na Umma wa Chama cha Wananchi (CUF), Salim Bimani, alisema kuwa, hatua ya serikali kutaka kuwabana mabalozi ni ya kidikteta na isiyofaa kutekelezwa katika nchi ya kidemorasia na kuendeshwa katika misingi ya haki.

"Kwanini wanataka kuwabana mabalozi, hawa jamaa hawaingilii mambo ovyo, wanajua wajibu wao, utakorofishana nao pale tu utakapokiuka haki za binadamu, kwenda kinyume cha misingi ya kidemokrasia na kuharibu uchaguzi, sasa serikali inaogopa nini? labda kama inajiandaa kufanyika kitu kibaya ambacho wanajua mabalozi wataingilia, kwa hiyo wanajihami kabisa", alisema.

Bimani, alisema anatafsiri onyo hilo la serikali kwa mabalozi kama njia ya kuvibana vyama vya upinzani visidai haki pale itakapokiukwa.

"CCM imeishiwa sasa inatumia nguvu kuvibana vyama vya upinzani ikihofu kuwa uchaguzi mkuu ujao unaweza kuwa mbaya kwa upande wake", alidai kiongozi huyo wa CUF.

Kama ilivyo kwa Mbatia, naye alitahadharisha kuwa endapo serikali itamtimua balozi yoyote kwa sababu tu amekemea uvunjaji wa haki za binadamu, uvurugaji wa uchaguzi, basi Tanzania inaweza kuingia katika mgogoro mkubwa wa kidiplomasia nchi fadhili ambalo zinaweza kusitisha misaada na watakaoathirika ni wananchi wa kawaida.

"Umeona Zimbabwe imewekewa vikwazo, wanaoteseka ni wananchi, kila kitu kimevurugika, hii yote ni kutokana na kiburi cha watawala wasiiongitia demokaria, haki za binadamu na kuvuruga uchaguzi, wametimua mabalozi wanaotaka kuona haki inatendeka sasa wanakiona" alisema.

Alitoa wito kwa wananchi, asasi zisizo za kiserikali na wapenda mageuzi wote, kukemea na kulaani onyo hilo la serikali kwa mabalozi, akisema kuwa endapo litatekelezwa linaweza kuleta madhara makubwa kwa nchi na wananchi wake.

Kauli hizo za wanasiasa wa vyama vya upinzani, zimekuja siku tatu tu, baada ya Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kuonya kuwa serikali ya Tanzania itamfukuza nchini Balozi au ofisa yeyote wa kibalozi atakayebainika kushirikiana na vyama vya upinzani kuking’oa chama tawala madarakani.

Serikali pia imesema, nchi zinazotoa misaada kwa Tanzania hazina mamlaka ya kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania.

Membe, alitoa msimamo bungeni ambapo alisema kwamba, mabalozi au ofisi za mabalozi wanaruhusiwa kushirikiana au kuvisaidia vyama vya siasa lakini si kwa lengo la kuking’oa chama tawala madarakani.

Alisema, Balozi au ofisa wa kibalozi atayeshirikiana na vyama vya siasa kuking’oa chama tawala madarakani watakuwa wanaingilia mambo ya ndani ya nchi mwenyeji, kuvunja itifaki na sheria za kimataifa.

Kwa mujibu wa Waziri Membe, kifungu cha tisa cha Mkataba wa Vienna kinairuhusu Serikali kuwafukuza nchini bila hata kutoa sababu yoyote ya kufanya hivyo.

CHANZO: NIPASHE JUMAPILI

TANZANIA SI NCHI MASIKINI TENA? ha! ha! ha!

Subject: [tanzanet] Tanzania' si masikini' tena

Imeandikwa na Na Joseph Lugendo; Tarehe: 31st October 2009 Habari Leo


TANZANIA imeingia katika kundi la nchi zenye maendeleo ya watu ya kati kutoka katika kundi la nchi zenye maendeleo ya watu ya chini duniani, imebainishwa katika Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Binadamu.

Lakini wakati Tanzania ikiingia katika kundi hilo la nchi zenye maendeleo ya watu ya chini duniani ugumu wa maisha unaotokana na kuongezeka kwa mfumuko wa bei na njaa inayotokana na ukame uliolikumba taifa vikiendelea kuwa changamoto kwa jamii ya sasa.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyotolewa Octoba 13 mwaka huu, Tanzania ambayo ilikuwa nchi ya 159 katika kundi la nchi zenye maendeleo ya chini kati ya nchi 177 zilizoorodheshwa na ripoti hiyo ya mwaka 2007/2008, mwaka huu imepanda na kuwa nchi ya 151 na kuondoka katika kundi hilo la nchi zenye maendeleo ya chini ambalo nchi ya Niger imeshika mkia.

Ripoti hiyo imeonesha nchi kumi kwa kuwa na maendeleo ya juu zaidi duniani kwa mwaka huu zimeongozwa na Norway na kufuatiwa na Australia, Iceland, Canada, Ireland, Uholanzi, Sweden, Ufaransa, Uswisi na Japan.

Mwaka 2008 nchi kumi kwa kuwa na maendeleo ya juu zaidi duniani ziliongozwa na Iceland na kufuatiwa na Australia, Norway, Canada, Ireland, Uholanzi, Sweden, Japan, Luxembourg na Uswisi.
Hata hivyo imefafanuliwa katika ripoti hiyo kuwa katika nchi hizo zenye maendeleo ya binadamu ya juu, kuna tofauti ndogo sana kati ya nchi moja na nyingine.

Vigezo vilivyotumika kupandisha nchi kutoka nafasi moja kwenda nyingine kwa mujibu wa ripoti hiyo ni kuongezeka kwa umri wa kuishi mwanadamu kwa afya njema, fursa ya kupata elimu na kupata maisha bora.

Vipimo vya vigezo hivyo ni umri wa wastani wa kuishi wa mwanadamu katika nchi husika, wastani wa watu wazima wanaojua kuandika na kusoma pamoja na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi wanaojiunga na darasa la kwanza na wastani wa kipato cha mtu mmoja mmoja kwa mwaka.

Katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Kenya imeongoza kwa kushika nafasi ya 147 duniani kwa mwaka huu kutoka nafasi ya 148 katika ripoti ya mwaka 2007/2008 na Tanzania kwa kushika nafasi hiyo ya 151 duniani, imekuwa ya pili katika nchi za EAC kutoka nafasi ya tatu mwaka 2007/2008.

Uganda imeshika nafasi ya tatu katika nchi wanachama wa EAC mwaka huu kwa kushika nafasi ya 157 duniani, hata hivyo imeporomoka nafasi tatu kwani mwaka 2007/2008 ilikuwa nafasi ya 154.

Rwanda na Burundi bado ziko katika kundi la nchi zenye maendeleo ya chini ambapo Rwanda ipo katika nafasi ya 167 mwaka huu na imeporomoka kutoka nafasi ya 161 mwaka 2007/2008 na Burundi imeshika nafasi ya 174 mwaka huu wakati katika ripoti ya 2007/2008, ilikuwa ya 167.

Tanzania imepiga hatua hiyo baada ya ripoti ya sasa kutumia takwimu za 2007 ambazo zimeonesha mafanikio katika sekta ya elimu na kuna uwezekano katika ripoti zijazo ikaendelea kupiga hatua kutokana na matarajio ya kuongezeka kwa umri wa wastani wa kuishi mwanadamu. Kwa sasa umri wa wastani wa kuishi mwanadamu Tanzania ni miaka 55.

Kwa mujibu wa Tarifa ya Takwimu za Tanzania (Tanzania in Figures) iliyotolewa mwaka huu na Ofisi ya Takwimu ya Taifa, umri wa wastani wa kuishi mwanadamu unatarajiwa kuongezeka kutokana matarajio ya kupungua vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano na wajawazito vinavyosababishwa na malaria baada ya kufanikiwa kwa usambazaji wa vyandarua vyenye dawa kwa bei nafuu.

Hata hivyo kupiga hatua kwa Tanzania katika ripoti zijazo kutategemea upatikanaji wa takwimu halisi za nchi nyingine kwani ripoti hizo za UN zimebainisha kuwa orodha ya maendeleo ya watu katika nchi husika hutokana na takwimu walizopata kutoka katika nchi hizo kwa wakati huo na kwamba zinaweza zisitoe picha ya hali halisi ilivyo.

Kutokana na hali hiyo, upatikanaji wa takwimu kwa wakati katika nchi husika, unaweza kubadilisha matokeo ya nafasi ya nchi husika katika orodha hiyo ya maendeleo ya watu kwa mujibu wa nchi wanazoishi, lakini mabadiliko hayo yataonekana katika ripoti zijazo.

Wakati ripoti ya UN ikiwa na matokeo hayo, Ripoti ya Bajeti ya Kaya iliyotolewa Januari mwaka huu imeonesha kuwa Watanzania walio wengi bado wanaishi maisha ya chini ambapo wengi nyumba zao zina sakafu ya udongo, kuta za udongo na miti na kupauliwa kwa miti nyasi na udongo.

Ripoti hiyo ya Bajeti ya Kila Kaya pia imeweka bayana kuwa katika mali ambazo Watanzania wanazimiliki kwa wingi ni vifaa vya jikoni, vitanda, viti na meza huku kompyuta ikiwa mali inayomilikiwa na Watanzania wachache zaidi ikifuatiwa na redio za kisasa (Complete music system), magari, simu za mezani (land line) na pikipiki.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya kaya, asilimia 67 ya nyumba za Watanzania zina sakafu za udongo. Hata hivyo nyumba za aina hiyo zimeelezewa kupungua kutoka mwaka 2001 ambapo asilimia 74 ya nyumba za Watanzania zilikuwa na sakafu za udongo.

Pia nyumba nyingi kwa kiwango cha asilimia 68.1 kuta zake zimejengwa kwa fito, udongo na mawe ingawa zimepungua kutoka zilizokuwepo mwaka 2001 ambapo asilimia 74 za nyumba za Watanzania zilikuwa na kuta hizo.

Sunday, October 25, 2009

WAINGEREZA WENYE HADHI ZA MAJINA NA UTAJIRI WAINGIA UISLAM

In The Name Of Allah, Most Gracious and Most Merciful....
السلام عليكم ورحمة الله وبركات
As'salamu Alaikum Wa Rahmatullahi Wa Barakatuh.
Britain's High Class Are Flocking to Islam.
Authentic research has shown that over 14,000 Brits have converted to Islam after having lost hope in the style of life the West is offering.

‘Amongst the converts there exists many famous personalities which is a great booster for the Muslims who have become a prey to accusations of terrorism and are living in fear’ in the words of Muslim leaders.

The Muslim Council has appointed the former Health Minister’s son Ahmed Dobson as chairman of their new committee which is striving to explain the reality of Islam to the whites living in the United Kingdom .

Yahya Britt (Jonathan Britt) the former BBC director has researched thoroughly the data of Christians converting to Islam and concluded that the total number of new Muslims in Britain was 14,200.

In his statement of conversion to Islam last week, Britt stressed the point that Britain also needed a leader to bring whites more easily into Islam, just as Malcom X had done for the blacks of America and to make Islam a more national religion rather than the strange one it is at present.

Furthermore, he explained how Islam’s balanced system, strong beliefs and spirituality gave him that hearts contentment.

Herbet Scott’s great grand daughter, Emma Clark has also accepted Islam as a way of life, a former designer for the gardens of the Prince of Wales is now involved in designing a mosque’s garden.

She stated to the press a few days ago that ‘I accepted Islam after detesting the doubt standards of Western values and to leave from the filth that surrounds it.'
Her great grandfather who was the prime minister of Britain in 1908-1916 led his people to the lines of victory in the First World War.

Most new converts have been greatly influenced by Charles Easton’s book, ‘Islam and the Destiny of Man’.
He states that, I’ve receive thousands of letters informing me that we have lost hope in today’s Christianity which is following the whims and desires of people and are searching for such a religion which does not have this.

The Earl of Yarbrough who is the owner of over 28,000 acres of land in Lincolnshire told the press, ‘I have changed my name to Abdul Mateen and would only like to say that ‘Study Islam and you shall see its beauty’.

Her Majesty has given full permission for Muslim staff working in Buckingham Palace to take time off to perform their Friday prayers.

The above were examples of people who were directly connected to the kingdom, whose grandparents were the bearers of knighthoods and lordships, who used to sit in the houses of Parliament, wealthy people, from a nation who has never been ruled.
But what happened to these people’s progeny?

There was no slavery or force on them to make them accept Islam; ‘it was solely the unexplainable hearts contentment we found which compelled us.’

After all this I see not the reasons of my shyness, my regret, my inferiority complex that is stopping me from even performing my Jumu’ah Salaat amidst my colleagues at work only because of the fear of what will people say and that my business may lose important profits, yet the kingdom headquarters, Buckingham Palace, has such facilities…

As Muslims, we are duty bound to express the beauty of Islam through our actions and deeds. Let not a single opportunity slip to represent ourselves in the best tradition of a True Believer.

KUZAMA KWA SEHEMU YA ARDHI ILIYO PWANI

On Tue, Oct 20, 2009 at 3:52 PM, Mwita wrote:


Ocean 'swallowing islands' By Ray Naluyaga

The Indian Ocean level is fast rising causing some low lying islands to be submerged under the sea or even disappear, according to Zanzibar President Amani Abeid Karume.

Addressing the 35th session of the General Conference of the United Nations Educational, Science and Cultural Organisation (UNESCO) in Paris yesterday, Mr Karume said Ras Nungwi on the northern tip of Unguja island in Zanzibar, has lost about 100 meters of beach.

"We are also witnessing severe weather patterns causing loss of biological species and changing of seasonal rains. The bi-modal pattern of rainfall distribution in some parts, is gradually switching to un-modal pattern, as short rains slowly fade away with severe consequences to agricultural yields thereby affecting agricultural exports and local economies," he said.

He said due to unsustainable pattern of production and consumption, human beings have contributed to environment pollution and global warming. As a result of global warming, we are now experiencing the melting of mountain glaciers such as that on Mt. Kilimanjaro, which has affected water sources and tourism potential.

He told the conference that there is also the melting of polar ice, the drying up of rivers and lakes. Some African lakes, he said, are shrinking in size with fish harvests decreasing thereby threatening the livelihood of millions of people who directly or indirectly depend on fish and aquatic products.

The Zanzibar leader said climate change affect energy production as well because of depleted water resources and vegetation covers. Plant species that are vulnerable to drought give way to drought resistant species, hence a loss to biodiversity.

"Temperature rise is linked to activation of vector borne diseases, with malaria becoming increasingly challenging.Climate change also impact on tourism due to possible decrease in wildlife population," said Mr Karume.

He said global warming and climate change continue to affect poor nations, most of which are in Africa. These countries are less industrialized and thus have contributed little to greenhouse gas emissions, and yet they bear the heavy burden of climate change.

"Tanzania supports the UNESCO strategy of action on climate change and the organisaton�s Director General�s proposal to look for innovative methods of addressing this problem including the desirability of a standard setting instrument for ethical principles on climate change," he said.

JANGA LINGINE LA KUIBIWA WAWEKEZAJI WALALAHOI TANZANIA?

AUSTIN BEYADI, 24th October 2009 Daily News

PANDEMONIUM broke out in the packed hall that housed shareholders of the National Investment Company Limited (NICOL) after the Annual General Meeting was postponed this noon.

"Before we open the meeting we should get consultation from our legal consultant who should show us the way on how to proceed with the meeting," said the NICOL Chairman, Mr Felix Mosha.

The legal consultant advocate, Hubert Nyange informed the gathering that ven though the hall was packed, the attending shareholders only represented a minority 17.5 per cent of the shares.

According to its memorandum and article of association, for NICOL's annual general meeting to take place, the quorum must consists of shareholding members with at least 33 per cent of the shares, .

Thus, Mr Mosha had no choice but to suspend the AGM and advised members to return next weekend for the meeting while at the same time the legal consultant warned that if the quorum wasn't reached in the next meeting, the AGM will be dissolved.

The announcement caused a lot of disorder in the meeting when the shareholders had questioned the chairman to inform them what was going on in the company especially on the fact that NICOL shares had been suspended from the Dar es Salaam stock exchange.

Patrick Mvile, a shareholder who travelled from upcountry to attend the meeting dared to compare the company with now very popular pyramid scheme, DECI and that now the operations and activities of the company were running with outmost secrecy.

"The fact that we did not meet the quorum is not good enough to postpone the meeting. I think there are a lot of things going on that we are not being told and the postponement is just a ruse for preventing us away from questioning the board," he lamented.

Another shareholder said that people were warned about DECI and they continued to invest their money in DECI and now the same authorities that cautioned people against DECI have now come into inconclusive dispute.

"This has caused us to live in suspicion that we may lose our invested money just like the DECI people did after failing to see what was coming," he said.

Mr Mosha pleaded with the shareholders not to compare the company with DECI saying that the company has made major achievements which include investing more than 30bn/- in the National Microfinance Bank.

He said that the meeting did not meet the quorum because recently NICOL has sold shares to Pension funds that have outsmarted individual shareholders and become major shareholders.

According to NICOL's 2008 financial report provided during the meeting, the company has two issues to resolve with Capital Markets and Securities Agency and the Dar es Salaam Stock Exchange and this has led to NICOL's suspension on the DSE.

The members had demanded to know why the NICOL shares have been suspended on the stock exchange but the board has promised to answer the questions in the upcoming meeting next week.

KUHARIBIKIWA KWA MJI WA MOROGORO, TANZANIA

SUNDAY NEWS Reporter recently in Morogoro, 24th October 2009.
HIVI SIVYO ALIVYOUONA MJI WA MOROGORO KASORO BAHARI MWIMBAJI MBARAKA MWINSHEHE MWARUKA MIAKA YA SABINI (1970s)

VISITORS to Morogoro might have seen or heard about an area that would have made Sodom and Gomorrah envious. The place is infamous for indecency, hooliganism, drugs and commercial sex and it is right in the heart of the sprawling and fast growing municipality.

Located adjacent to the CCM District headquarters, off Makongoro Road, the vicinity of Kahumba Park Night Club, is a hot spot for commercial sex, drug peddlers and pickpockets. In a recent survey, the ‘Sunday News’ witnessed some episodes from the ‘underworld’, totally unimaginable for an otherwise serene atmosphere that Morogoro is known for.

‘Business’ at the ‘Sodom and Gomorrah’ lookalike opens at around 10 pm, when nearby shops are already closed and there is a limited movement of people. The loud sound from full blast disco music played at the night club and the Moro by Night Club nearby is a sure sign that time is ripe for the show.

Small groups, (in twos or threes) of girls wearing revealing clothes (you can correctly use the word half naked,) smoking cigarettes (could be illicit drugs), slowly emerge from footpaths and alleys, parading their bodies in a catwalk manner, the way beauty contestants do. It is quite some spectacle that would have made Noah’s condemned city yellow with envy.

"You haven’t seen the worst of it yet. The adjacent valley and all the shop corridors around here are makeshift lodges for those who have no money to pay for a room. Just wait and see when the lights at the disco go off. It’s awful,’’ said a reporter with a daily paper who preferred anonymity.

"That place is hell on earth especially on weekends and public holidays. .We can’t sleep at night because of the loud music. Who doesn’t know it? The police know it, very well,’’ said a neighbour in the vicinity.

In a telephone interview, Morogoro Regional Police Commander Thobias Andengenye said a police raid to nab loiterers and those extending business hours beyond midnight has been conducted around the area several times but with very little success. The deadline for discos and bars is 11:30 pm on weekdays and 12 midnight on weekends.

"The culprits pay a fine, yet the next day it is business as usual. It is not easy to conduct arbitrary arrests. If someone has a permanent address, they will tell you that they are just hanging out to have fun,” says the RPC.

He laments that the law does not clearly provide for what is decent and indecent dressing.

“It is the burden of proof that a crime has been committed that puts us in a very difficult situation. The law should be clear on what is right and wrong,’’ he argues.

Around this area, about four guest houses form a kind of line-up that caters for customers preferring what a local resident said is known as fasta fasta service while those who are not in a hurry can either hire a taxi or a motorcycle to some other destination.

The guest houses include High Classic Lodge, Kahumba Anex, Moro Night and Butist. A room costs between 4,000/- and 20,000/-. This does not mean the guests are exclusive for sex. The rooms are available to anybody. They are not only for the pleasure seekers.

One of the managers of the lodges admitted that indecent acts of all sorts abound around the area at night. He was however, at a loss as to what had happened to attract the attention of the media.

"Give us your advice on how to stop this business,’’ he told the ‘Sunday News.’

While the ‘Sunday News’ was conducting interviews undercover, all hell broke loose when two men clashed over a girl they both had paid for a fasta fasta service. The girl, who was drunk, shouted obscenities, saying she would go with anyone who was ready to pay her more. As she traded insults, motorcyclists had a field day, clapping and cheering, incensing the girl more.

The commotion ended when the girl refunded the first client and left with another man who must have probably raised the jackpot. Not everyone is amused by the indecent acts in the area. Many people interviewed expressed their disgust.

"It is really shameful, especially to parents, guardians, government authorities and the upright youths. What lessons are we teaching our children? Tanzanian culture has been dealt a very heavy blow,’’ lamented the owner of a nearby shop.

As the ladies of the twilight were busy looking for hookers outside, more was happening inside the night club. Stage dancers were giving the best of their performance. They are striptease show of sorts. The audience cheered wildly as a stage show dancer almost stripped off all her clothes.

"The show goes on up to 3 am every night. We get monthly salaries. Our shows have got nothing to do with commercial sex,’’ one young male dancer told the ‘Sunday News,’ during an interlude which allowed him an opportunity to sip a free soda.

The night revellers in the area represented a race rainbow. There were Tanzanians of Asian origin and the Maasai. As the night wore on, two Indians who had been pacing up and down the street spotted their prey and after some minutes of negotiations, probably over price, walked away with a fairly beautiful girl who had managed to fetch a colleague and link her up with the customers.

In a relaxed mood, one of the ‘sister-dos’, Rose (not her real name) said she had no problem with men as they were so generous that she could pocket up to 250,000/- per night on a good day.

"I’m very happy. I hire a room in a lodging house. When I bring a customer, he pays for it and the receptionist refunds me later. On top of the room charge, the man pays for my service. In good business days, I can handle four or five men," she quipped.

Rose said further that the taxi drivers and ‘boda boda’ cyclists have got her handset number. They too bring customers to her, under a special arrangement that they overcharge them.

"When the driver or cyclist is overpaid, the extra money is mine. I’m the one who chooses where to go. I go back to the driver later and he gives me my share. This is business. And in business you must be creative,’’ she said as she sipped a soda I had offered her.

When asked whether she takes precautions, or whether she had tested for HIV/AIDS, Rose was a little surprised and wanted to know why.

“Why should I care? This is a job like any other. If the worst happens, I will die like all other human beings,” she told the ‘Sunday News.’

A local researcher, Dr Fuko Kitenge of KIHEHEREU, a herbal research unit on HIV/AIDS, warned that AIDS is ravaging Morogoro Municipality and he believes that it is a time bomb, waiting to explode.

“The night clubs contribute to the problem but there are many seminars and workshops being held in this town. These bring in many visitors who spend a number of days here. The HIV/AIDS threat here is real. I receive new patients daily. When you ask them whether they have any idea how they contracted it, they always say it was some guy who came for a seminar or at the clubs.”

A senior CCM official who spoke on condition that his name remain anonymous told the ‘Sunday News’ that the party was concerned over the dirty business. Last June there was a police swoop but the sex trade did not end because the demand for services of the call girls is always there.

“To wipe out this business, we need joint efforts with the police, journalists, HIV/AIDS and gender activists. Warning bill boards could also play a useful role,’’ said the politician.

When approached for comment, the Morogoro Regional CCM Youth Chairperson, Latifa Ganzel, said the person who knows most about the business is the one involved in it. “If you have a bar, do you ask your customers their background?” said Ms Ganzel.

It seems a pity that the politicians have their heads buried in their political dossiers. The Morogoro sex industry is vast and blatant in the way it goes about seeking trade and indulging its customers.

MAONI YANGU
Ulipokuwa Mji kasoro bahari, Morogoro uliheshimika kwa kutoa wacheza soka mahodari na kusifia maji yaliyotiririka kutoka milima ya Uluguru iliyopo katika TAO LA MILIMA YA MASHARIKI (THE EASTERN ARC MOUNTAINS).

Saturday, October 17, 2009

MCHANGO KWA WANAMBONGI WA TANZANIA

Imechangiwa na Mwalimu Bashiru Ally wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 17/10/2009.

Wanambongi, salaamNaomba nami kuchangia kidogo mjadala kuhusu swala la mpasuko katika Tanzania. Kwa maoni yangu mpasuko katika jamii yetu upo. Mpasuko huu unajibainisha katika sura nyingi kama vile pengo kubwa katika kipato cha chini na wenye kipato cha juu. Katika lugha ya kisasa mpasuko huu unajibainisha zaidi kwa jina la umaskini. Kwa mda mrefu tumekuwa tukipambana na umaskini, ingawa umaskini unaongezeka. Mbinu za kila namna zimetumika ikiwa ni pamoja na kuweka vigenzo na viwango vya umaskini. Hivi sasa wapo maskini wakubwa na wadogo, maskini wa kike na kiume, maskini wa mjini na wa vijijini, maskini mwenye njaa na masikini wa kipato, maskini anayeishi katika mazingira hatarishi na kadhalika.Mifuko ya uwezeshaji imeanzishwa, taasisi za fedha za kukopesha maskini zimeanzishwa, mafunzo ya ujasiriamali yameendeshwa hadi vyuo vikuu. Yote haya hayapunguza kiwango cha umaskini Katika kutafuta majibu ya kwanini umaskini unaongezeka ingawa vita dhidi ya tatizo hili inapamba moto, UFISADI ukaonekana kuwa ndio chanzo kikuu cha kuongezeka kwa umaskini nchini. Wakajitokeza wannchi kutoka katika kada mbalimbali kupambana na ufisadi. Kadri mapambano hayo yanavyozidi kupamba moto ufisadi kama ulivyo umaskini unaongezeka na hivyo kuongeza zaidi umaskini. Tatizo ninalolipata katika vita dhidi ya ufisadi ni kwamba mapambano dhidi yake hayalengi kukabiliana na vyanzo vikuu vya ufisadi pamoja na vikwazo vya mapambano ya ufisadi. Hata mapambano ya umaskini nayo yanakabiliwa na tatizo kama hili.Kama alivyosema Kweka, hakuna mkakati wa kuwaunganisha wananchi ambao ni waathirika na umaskini na ufisadi ili washiriki katika mapambano dhidi ya maadui wa maendeleo yao. Mikakati iliyopo inawagawa zaidi wananchi na kuwakatisha tamaa. Ninaamini kwamba bila ya ushiriki wa wananchi wengi, ushindi dhidi ya umaskini na ufisadi hautapatikana. Umoja unaotakiwa hauwezi kejengwa misikitini wala makanisani kupitia matamko na miongozo au Ilani za kidini. Hata kama nia ya viongozi wa dini ni njema, miongozo yao haiwezi kupata uhalali wa kisiasa kwa kiwango cha kuvuka mipaka ya nchi au kukabiliana na upinzani kutoka katika makundi yanayonufaika na kushamiri kwa ufisadi na umaskini. Ni vyema tukatambua kwamba matatizo ya umaskini na ufisadi ni dalili ya ukosefu wa mfumo mbadala wa kisiasa na kiuchumi. Hili sio Tatizo la Tanzania peke yake bali ni tatizo la nchi zote za dunia ya tatu.Kwa hiyo mapambano dhidi ya mfumo huu yanapaswa kuwa na sura ya kisiasa katikangazi ya kitaifa na kimataifa. Ingefaa sana tukapanua mjadala wetu na kuupa sura ya kisiasa ambayo itayasambaza mapambano haya nchi nzima na pia kuyaunganisha na mapambano yanayoendelea kwingineko.Hivi ndivyo mifumo ya ukoloni na ukaburu ilivyosambaratishwa. Kila mtu bila kujali dini, rangi, jinsia,tabaka au kabila alishiriki kupambana na ukoloni na ukaburu. Ikiwa tutashindwa kufanya hivyo, mda sio mrefu mapambano haya yatakuwa na sura ya ukabila na udini. Swali kuu hapa la kujiuliza ni kwa vipi mshikamano wa kitaifa na kimataifa dhidhi ya mifumo ya kifisadi itajengwaje? Mkakati wa kwanza ni kuendeleza mijadala KUHUSU MBINU MUAFAKA ZA KUJENGA MSHIKAMANO miongoni mwa wanachi kitaifa na kimataifa na kuiieneza mijadala hii zaidi kadri iwezekanavyo. Mkakati wa pili ni kuunda vikundi huru vya kiraia vyenye malengo ya kisiasa ya kupambana na mifumo ya kifisadi popote pale ufisadi ulipo. Vikundi hivi viendeleze mapambano dhidi ya ufisadi wa kiuchumi (wizi wa kimataifa wa raslimali zetu kama ardhi na madini); Ufisadi wa kidini( kuzifanya huduma za kiroho na kijamii kuwa biashara); ufisadi wa kijamii(makuadi wa soko huria, unyanyasaji wa wanawake na watoto): Ufisadi wa kisiasa(Wizi wa kura, uroho wa madaraka,rushwa,udini, ukabila); Ufisadi wa kisomi (Woga na unafiki wawasomi). Ili tuweze kufika huko uongozi wa kisiasa, kisomi, kidini na kijamii utahitajika. Hata hivyo mshikamano wa wananchi ndioutakaotuwezesha kupata uongozi mzuri ambao wengi wanaona haupo. Viongozi wazuri wanazaliwa na kutayarishwa. Pengine tuanze pia kujadili namna ya kuwapata viongozi wazuri. Ila mjadala huo uwe mpana na uwe wazi.Mikakati ya kidini kuhusu hatima ya nchi maskini haiwezi kupata uhalali wa kisiasa na haitekelezeki.