Tuesday, August 28, 2012

TUHUMA ZA KUHAMASISHA JAMII KUTOSHIRIKI SENSA TANZANIA

Mbaroni kwa tuhuma za kuhamaisha jamii isishiriki sensa

Na Salome Kitomary WA NIPASHE  - 16th August 2012.

 Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu watano akiwemo mfanyabiashara na baadhi ya viongozi wa dini la kiislamu kwa tuhuma ya kugawa vipeperushi na vitabu vyenye ujumbe wa kuhamasisha watu wasishiriki sensa ya watu na makazi 2012. Taarifa za kukamatwa kwa watu hao zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoani humo, Robert Boaz na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, Leonidas Gama.

Akizungumza na waandishi wa habari, Gama ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, alisema wapo watu kwenye wilaya za Mwanga, Same na Moshi wamekuwa wakisambaza vipeperushi na vitabu vyenye ujumbe wenye lengo la kukwamisha zoezi la sensa. “Serikali itawachukulia hatua za kisheria wote ambao watathibitika kuzuia zoezi la sensa kufanikiwa ikiwa ni pamoja na kushawishi watu wasihesabiwe…katika wilaya hizo kuna dalili mbaya kwani elimu chafu inaenezwa sana, vyombo vya usalama vipo macho na wote wanaohusika watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria za nchi” alisema Gama.

 Alisema watu hao wamefika hadi hadi kwenye taasisi za waislamu na kuwahamasisha wasishiriki zoezi hilo na kuonywa kwamba serikali ipo macho katika kukabiliana na watu wanaoendesha harakati za kukwamisha zoezi hilo. Akionyesha vipeperushi hivyo vyenye vichwa vya habari visemavyo; Ujumbe wa Ramadhani –Waislamu hawatashiriki sensa na vitabu vyenye vichwa vya habari visemavyo; Ujumbe wa kamati maalum ya maandalizi ya makongamano ya waislamu dhidi ya mfumo kristo Tanzania na Waraka wa waislam kutoshiriki sensa ya mwaka 2012.

CHANZO: NIPASHE

THE PASSING OF NEIL ARMSTRONG, THE FIRST MAN ON THE MOON

POSTED HERE ON  28/8/2012.  INNA LILLAHI   WA  INNA  ILAIHI  RAJIUUN. 

On Aug 26, 2012 1:18 AM, "Chris Mwasambili" <camwasam@yahoo.co.uk> wrote:
US Astronaut Neil Armstrong Dies Aged 82
 
Neil Armstrong, the first man to walk on the moon, has died aged 82.
His family said they were "heartbroken" by his death and called him "a reluctant American hero who always believed he was just doing his job."
They said he died from cardiovascular surgery complications following a heart bypass earlier this month .
President Barack Obama hailed the astronaut as a "great American hero".
As commander of the Apollo 11 mission in July 1969, Mr Armstrong became the first human to set foot on the moon.
Moments after setting foot on the lunar surface, he uttered the famous quote: "That's one small step for man, one giant leap for mankind."
The 38-year-old then spent nearly three hours walking on the moon with Edwin "Buzz" Aldrin.
As news emerged of his death, tributes poured in for the man dubbed one of America's greatest heroes.
Buzz Aldrin tweeted: "On behalf of the Aldrin family we extend our deepest condolences to Carol & the entire Armstrong family on Neil's passing. He will be missed."
Michael Collins, who flew to the moon with Mr Armstrong, said: "He was the best, and I will miss him terribly."
Republican presidential candidate Mitt Romney said: "I met and spoke with Neil Armstrong just a few weeks ago.
"His passion for space, science and discovery, and his devotion to America will inspire me through my lifetime."
The US space agency tweeted: "Nasa offers its condolences on today's passing of Neil Armstrong, former test pilot, astronaut & the 1st man on the moon. Neil was 82."
Astronomer Sir Patrick Moore said: "As the first man on the moon, he broke all records. I knew him well. He was a man who had all the courage in the world."
Physicist Professor Brian Cox tweeted: "Sad to hear about death of Neil Armstrong. I do think Apollo was the greatest of human achievements. For once, we reached beyond our grasp."
Former astronaut Tom Jones, who completed four space shuttle flights between 1990 and 2001, told Sky News: "Mr Armstrong was one of the astronauts that was my hero when I was growing up and I watched his initial landing on the moon in 1969 with incredible interest.
"I wanted to do exactly what Neil, and Buzz, and Mike Collins were doing that time. I hoped that one day I would have the chance to participate in the space programme.
"He really was an inspiration to an entire generation of people."
He said meeting Mr Armstrong had been a "dream come true" and described being "star struck" by the chance to meet and work with his idol.
"He's a very unassuming and friendly person when you get to know him in a professional setting," he added.
Jamie Burgess, from the National Space Centre, told Sky News: "It's extremely sad news. It's a terrible shock to the science community. He will be sorely missed."
An estimated 600 million people watched and listened to the first moon landing, the largest audience for any single event in history.
Mike Cruise, professor of astrophysics and space research at the University of Birmingham, said: "The people at the front of the race always have to tread on new ground.
"He led the whole world into a space era of greater proportion than has been achieved by satellites.
"You wonder when his first steps will be followed up. It must have been very awe-inspiring to step on to, essentially, a new planet."
Mr Armstrong and his wife Carol married in 1999 and made their home in the Cincinnati suburb of Indian Hill, but he had largely stayed out of public view in recent years.
He spoke at Ohio State University in February at an event honouring fellow astronaut John Glenn and the 50th anniversary of Mr Glenn becoming the first American to orbit the Earth.

Monday, August 27, 2012

JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERVIEW WITH JUHANI LOMPOLOLLE

Posted here on 28/8/2012.

Nyerere interview with Juhani Lompololle, December 11, 1971 at the State House Dar es Salaam

26/08/2012
 
There is a video of this interview at  yle.fi/elavaarkisto/artikkelit/suomalaisjournalisti_vallan_vaiheilla_tansaniassa_76590.html#media=76595
On google.com keywords = "Juhani Lompolo Julius Nyerere"
And here, below is a transcription of the interview:
Nyerere:...for us in 1961, as a country that had immediately become independent, what was our major ambition? Our major ambition was obviously to survive as a nation.  We have survived as a nation, we have consolidated ourselves as a nation, and we have consolidated our independence.  I suppose really quite frankly this is our biggest achievement.  Only as an independent country could we do such a thing as practical, raising standards of living, increasing education, and so forth.  Well I can't say we have achieved all we would have liked to achieve. 


Q: You place a very heavy emphasis on rural development...but anyhow, in this report, you say, "indeed more money has in fact been spent on  urban developments, industrial and business development, than on rural areas, in this post-Arusha period".  So what could, in your opinion be the reason for that?"

Nyerere: One is habit.  The other is the ease.  It's easier to invest in urban areas than to invest in rural areas.  I say one is simply habit. Habitually this is what happens, you establish a habit where investment flows into the urban areas because it flows there habitually.  And apart from habit you have certain facilities which have been put in urban areas, and if you are going to use these facilities properly, really you are forced to put something... And I say secondly, it's easier to plan a textile factory than to plan a village.  A village of three thousand workers, three thousand peasants requires a great deal more, more innovation if you like.  We are less used to this.  Basically I think, habit.  We have to break the habit of thinking in terms of employment.  Because even if, now, if we want to build a school, if we want to build a secondary school, ...the majority of the students who go into this secondary schools are from the peasant areas, peasant sons and daughters.  But we will have by habit put the school in an urban area.  It is this kind of thing.

Q: what are the reservations for foreign development corporations?

Nyerere:   I think the reservations would be quite normal.  Quite normal. It is always a matter of judgment with what country we are dealing with.  Very often which countries use their ability to assist poorer countries in order to dominate those poorer countries, to build spheres of influence, to keep other competitors, other nations out.  And they regard them as competitors.  A kind of jealousy develops.  I want build a railway, and I try to build to get some money from the Western world, if I don't get that money then I try to get it from China.  The fellows do not want to give the money, and then they ask why? why? This is introducing the Chinese to Tanzania.  There is kind of keep the Chinese out, Tanzania is our sphere of influence.  You know the Chinese should be kept out It becomes a kind of instrument.  Aid becomes an instrument of imperialism.  And this is really the first reservation.  Secondly, aid should help us to do what we want to do.  It's no use some country coming here with some brilliant idea that they want to do x,y,z.  And in our own priorities we don't want to do xyz, it is something that can wait until the 2000s.   
 
Q: Do you see any thing remarkable in the Chinese assistance causing any changes in the non-alignemnt policy?


Nyerere:   I don't see why it should. Non-alignment has never meant that a non-aligned country should have nothing to do with an aligned country.  This has never been a definition of non-alignment.  It has the meaning that we must never behave in our relations with aligned powers as if we belonged to their blocs.  We don't.  And we have relations with China just as we have relations with the Soviet Union or relations with the United States.  We see no reason why it should affect our non-alignment. Actually we feel it is an expression of our non-alignment.  We would find it ridiculous that it is not alright for us as a non-aligned country to ask the Soviet Union or the United States to build a railway for us.  But somehow it becomes wrong for our non-alignment if we ask China to build a railway for us (laughter).

Q: Your views of the present dispute between Tanzania and Uganda amidst reports of border clashes.  Do you think there would be a danger of war?

Nyerere: Well, what you really want one never knows.  I mean it takes two, it takes two to bring about war.  But actually it doesn't take two, it can take only one.  So in that sense, if one side decides to be foolish, this foolishness can lead to a dangerous situation.  But frankly I don't believe that these troubles on the border can cause, can be  developed into anything more than troubles on the border.

Q: what is your comment on the British Foreign Secretary's Sir Douglas Home coming there today to Salisbury trying to negotiate a settlement to the Rhodesia problem.

Nyerere: Our views have been very clear for years and they've not changed.  It was Sir Alec, when he was Prime Minister of Britain who formulated this so-called five principles.  And it was while he was prime minister that we said we don't accept these principles as a basis of granting independence to Rhodesia, because they mean granting independence to a country on the basis of minority rule.  And we don't accept this. And it is really this which he's going to negotiate with the Rhodesians.  He's going to negotiate the White MInority there.  To hand over to them the government, the same thing that they did in South AFrica.  They want to create a second South Africa.  This is really the whole basis of these talks, to create a second South Africa, and we've always said we can't accept this.  Waht are we expected to say?  'This is fine'? 
 


Nyerere: Any settlement.  Any settlement on that basis would be a sell-out.  Handing over five million people to the good will of a tiny minority, and believing that this minority at some future date will hand over power to the majority.  It doesn't happen.

Q: You said in Sepetember this year in this report, Tanzania has paid a heavy price in econmoic aid for her stand on these matters. But neither in relations to Britain nor any other country have we wavered on the policiies we believe to be right because of our desire to develop our country at maximum speed.  Have you ever doubted?

Nyerere: Have I ever doubted our policy?  Never.

Q: But you have paid a price?

Nyerere: Well surely you must pay a price for your freedom, if it is really freedom.  If we wanted to remain a colony we could have remaind a colony.  As a colony our responsibilities wouldn't hold.  I got my grey hair in our second year of independence.  My hair was balck, completely black when we became independent, and in two years it had gone grey, because of some of the problems of independence.   If you don't want the problems of independence don't become indpeendt.  But independence must mean...plus the problems of being independent.

Q do you think that the freedom fighters will succeed?

Nyerere: Why not?  If we didin't belive they will succeed then there is no point in fighting is there?  There's no point in the struggle is there?  Unless it is a kind of religion. There's not point in struggling for freedom unless you believe you are going to win.  and if we believed these people are wasting their time, why should we be working to get support for them throughout the world.  We are trying to get th world to understand this problem in southern Africa, and to understand that these people are struggling for human rights, and they must be helped until they win.  If we didn't believe they have a chance of winning there is no use helping them, or trying to get ther world to help them.

Q:  now this is the last final question.  Mr. Karalov has suggested that you have been translating William Shakespeare to Swahili.  Have you yourself been writing any poems?

Nyerere: No. Not poems in that sense, not poems in that sense of William Shakespeare.  Everybody. have you ever written some verse?  Everyboy, every literate person has written some verse.  So that's all.  This question of  Shakespeare is really [classy?] you have read shakespeare, so have I. Some.  I have not read Shakespeare, I have read one or two books, not more than one or two books.  And then sometimes I, because of my interest, not so much because of my interest in Shakespeare, but in Swahilii. I have translated some bits of Shakespeare into Swahili because of my effort to learn Swahili rather than to translate Shakespeare.

[thanks to Chambi Chachage for sharing this via Wanazuoni Yahoo! eGroup]

Tuesday, August 21, 2012

DR. PETER KAFUMU (CCM) AUKOSA UBUNGE IGUNGA TANZANIA !!!

Jimbo la Igunga wazi, Mahakama Kuu  tarehe 21/8/2012 imetengua ushindi wa Dk Kafumukatika jimbo la Uchaguzi la Igunga, Tabora.  Send to a friend
Tuesday, 21 August 2012 13:49

Dk Peter Kafumu

Bw.  Ismail Aden Rage aliyetembeza bastola mfukoni wakati wa Kampeni za Uchaguzi huo Mdogo  kana kwamba tuko kwa  mjomba  SAM  (Uncle SAM -  USA,  where totting guns is part of their culture? and their Right as per their Constitution)  ni mmoja wa waliomponza.  Wengine waliomponza ni  Dr. John Pombe Magufuli aliyeahidi ujengwaji wa Daraja, ahadi isiyotimia! na mengine mengi.

JUSTICE NOT ONLY HAS TO BE DONE; BUT JUSTICE  NEEDS TO BE SEEN TO BE DONE, AND HERE AT IGUNGA; JUSTICE HAS ACTUALLY BEEN SEEN TO BE DONE BY THIS DECISION OF THE HIGH COURT OF TANZANIA. 
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imetoa hukumu ya kesi ya ubunge iliyokuwa ikimkabili mshindi wa ubunge jimbo la Igunda Dk Peter Kafumu (CCM).Hukumu hiyo ya kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Dk Kafumu imetolewa leo ambapo imemuengua mbunge huyo katika nafasi yake ya ubunge

Shauri hilo lilifunguliwa na mlalamikaji Joseph Kashindye dhidi ya Dk Kafumu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na msimamizi wa uchaguzi.

Kwa habamri zaidi uangana nasi baadaye

SUALA LA UTEUZI WA KADHI MKUU TANZANIA KITENDAWILI

Waislamu wazidi kukorogana - Posted on 22/8/2012
•  NI JUU YA UTEUZI WA KADHI MKUU

na Asha Bani
TAASISI ya Kiislamu ya Imam Bukhary iliyo chini ya Mwenyekiti, Sheikh Khamis Khalifa, imesema kuwa utaratibu uliotumiwa na Mufti wa Tanzania, Shaaban Simba, katika kumteua Kadhi Mkuu ni sahihi na hauna shaka yoyote kwa kuwa umezingatia na kutimiza matakwa ya sharia za Kiislamu.
Tamko hilo limekuja ikiwa ni siku moja tangu jopo la masheikh 25 kutoka taasisi na jumuiya mbalimbali za Kiislamu Tanzania, kusambaza tamko la kupinga uteuzi wa Mufti hivi karibuni.
Sheikh Khalifa alisema ni jambo la kushangaza na kuhuzunisha kwa jopo la masheikh 25 kupinga utaratibu uliotumika katika uteuzi wa kadhi wakati ndiyo huo ambao wao wenyewe waliuelezea kuwa unaokubalika kwa mujibu wa madhehebu ya Imam Abu Hanifa na Imam Shafii, ambapo Waislamu wa Tanzania asilimia 99.9 ni wa madhehebu ya Shafii.
Alisema jopo hilo liliwahi kutoa tamko katika vyombo vya habari Agosti 13 na 16 mwaka huu kuwa mwenye mamlaka ya kumteua kadhi katika dola ya Kiislamu ni Khalifa, sultan au rais kwa vile ndiye mwenye haki kimsingi ya kufanya kazi anazostahili kufanya kadhi.
“Tamko la masheikh hao lilisema kwa mujibu wa Fik’hi (sheria) ya Kiislamu kwa kufuata madhehebu ya Imam Abu Hanifa na madhehebu ya Imam Shafii, iwapo Waislamu watahitaji kuwa na kadhi katika nchi ambayo haitawaliwi kwa misingi ya Kiislamu, basi kabla ya kumteua kadhi atachaguliwa Amiri, yaani kiongozi wa Waislamu wa nchi nzima na huyo ndiye atakayekuwa na uwezo wa kumteua kadhi akishauriana na wanazuoni (masheikh) na watu wenye busara, kwa nini sasa wampinge?” alihoji.
Sheikh Khalifa aliongeza kuwa kwa mujibu wa utararibu huo, kiongozi aliyechaguliwa kuwaongoza Waislamu wa Tanzania nzima kwa uwakilishi wao ni Mufti Sheikh Simba, ambaye alichaguliwa kwa uwakilishi wa masheikh kutoka mikoa na wilaya zote za Tanzania Bara na ndiye mwenye jukumu la kumteua kadhi pia.
Alisema ni jambo la fedheha na aibu kwa jopo hilo kujaribu kuwahadaa Waislamu kuwa utaratibu haukufuatwa huku wakiuficha ukweli kuwa sababu ya kupinga ni kutokana na  aliyeteuliwa hatokani na kikundi chao cha Answar Sunna.
Alisema katika taarifa yao wamedanganya kwa kudai kuwa kadhi alistahili kuchaguliwa na taasisi, wakati tamko lao wenyewe linasema wazi kuwa anayestahili kumteua kadhi ni kiongozi mkuu aliyechaguliwa kuwaongoza Waislamu katika nchi husika.
”Hakuna mahala popote katika Sharia ya Kiislamu panapohusisha wingi wa taasisi katika uteuzi wa kadhi bali Sharia inaonesha mwenye uwezo huo ni mtawala wa dola au kiongozi mkuu wa Waislamu aliyechaguliwa katika nchi husika.
“Hata hivyo, ingawa sheria inampa uwezo wa kumteua kadhi japo na washauri wake wachache, Mufti Simba alimteua Kadhi Mkuu, Sheikh Abdallah Mnyasi, kwa ushauri wa tume ya dini nchini, ambayo inajumuisha wajumbe wa Baraza la Ulamaa taifa pamoja na masheikh wa mikoa na wilaya zote hapa nchini,” alisema Sheikh Khalifa.
Aidha, aliwataka Waislamu kote nchini  kumtambua Kadhi Mkuu ambaye ni mwazuoni aliyebobea katika elimu ya Sharia ya Kiislamu, na kupeleka mashauri ya Kiislamu kwenye mahakama hiyo ili kupata uamuzi wa kisharia.
Sheikh Khalifa alisema ni vema kwa Waislamu kupuuza propaganda za kikundi hicho cha masheikh wa Kiwahhabiyya ‘Answar Sunna’ ambacho kinapinga uteuzi wake  baada ya kuwatupa nje masheikh wao.
Alisema kuwa hapa nchini maanswar Sunna ni kikundi cha watu wachache kilichozuka siku za karibuni, ambacho kila wakati kinajihusisha na vurugu miongoni mwa Waislamu watulivu kila mahala walipo.
“Hivyo haiwezi kuwa busara kwa Kadhi Mkuu atokane na kikundi hiki ambacho hata utaratibu wao wa kidini unatofautiana na Waislamu asilimia 99 katika nchi hii,” alisema Sheikh Khalifa.
Aliongeza kuwa masheikh hao wanatakiwa wajitambulishe kwanza wao ni wafuasi wa madhehebu gani na wanataka kadhi ateuliwe kwa kufuata utaratibu upi kisha wakae kikao chao na wafuasi wao wamteue kadhi wao atakayehusika na mashauri yao kuliko kupoteza muda.

CCM IMEINGIZA NCHINI TANZANIA SILAHA BILA VIBALI?

Dk. Slaa ‘anasa’ silaha za CCM -  Posted here on 22/8/2012

na Abdallah Khamis, Morogoro
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ameibua tuhuma nzito dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akidai kimeingiza silaha nchini bila ya vibali ili zitumiwe na vijana wao kukabiliana na wapinzani.
Dk. Slaa alisema kuwa wanazo nyaraka zinazoonesha namna CCM walivyoingiza silaha hizo nchini kwa ajili ya kuwapatia vijana wao waliowekwa kwenye makambi maalumu wakipatiwa mafunzo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Morogoro, kuelezea tathmini ya Operesheni Sangara, maarufu kama Vuguvugu la Mabadiliko (M4C) inayoendelea mkoani humo, Dk. Slaa alisema mbinu hizo zimekuwa zikitumiwa muda mrefu na viongozi wa CCM.
Alitolea mfano kauli ya Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, aliyoitoa wakati wa uchaguzi mdogo jimboni Igunga akidai kuwa CHADEMA imeingiza askari wenye mafunzo maalumu nchini.
“Nilikuwa ninajiuliza hawa CCM wana ujasiri gani wa kusema uongo kwa vyama vingine juu ya kuingiza silaha, sasa nimejua dhamira yao baada ya kupata nyaraka zinazoonesha mpango mkakati wao wenye lengo la kuwatumia vijana walio katika makambi yao kwa ajili ya kufanya vurugu kwa kutumia silaha wanazowapatia,” alisema.
Aliongeza kuwa kudhihirisha CCM hawatanii katika kutaka kufanya vurugu, msafara wa CHADEMA mkoani humo umekuwa ukiandamwa na watu tofauti kwa kutumia magari tofauti.
Dk. Slaa alibainisha kuwa juzi wakiwa wanatoka katika Jimbo la Gairo, gari lenye namba za usajili T 886 AVS aina ya Prado lilikuwa likiwafuatilia hadi wilayani Mvomero na taarifa hizo walizitoa kwa askari waliokuwa wakilinda mikutano yao katika Wilaya ya Mvomero.
“Juzi walifanya hivyo tukiwa Mvomero, tukatoa tarifa polisi na leo asubuhi tumepata taarifa ambazo hatuwezi kuzipuuza kuwa kuna vijana kati ya 10-20 wakiwa na sumu, sindano na visu wanawawinda watu walio katika operesheni kwa ajili ya kuwadhuru na nimewaagiza vijana wangu wa idara ya usalama wakatoe taarifa polisi,” alisema Dk. Slaa.
Hata hivyo, wakati Dk. Slaa akisema taarifa za msafara wao kufuatiliwa wakiwa wanatoka Gairo kuelekea Mvomero, waliziwasilisha polisi ili zifanyiwe kazi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile, alisema hana taarifa hizo.
Nape akanusha
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) Taifa wa CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alikanusha tuhuma za Dk. Slaa, akidai kuwa mwanasiasa huyo anazeeka vibaya na kwamba ni bora akawaachia vijana siasa.
“Maneno haya hayapaswi kusemwa na mtu kama Dk. Slaa lakini nikwambie kuwa CCM haina makambi hayo anayoyasema, naomba Watanzania wampuuze,” alisema.
Nape aliongeza kuwa CCM haijawahi kuwaza kuwa na mawazo ya kutumia silaha na haitakuwa nayo kama alivyodai Dk. Slaa, akibainisha kuwa hata wakati wa kudai uhuru silaha hizo hazikutumika.
Alisema kuwa anachokiona ni kwamba CHADEMA inasambaratika na hivyo inaanza kutafuta sababu za uongo, huku akikumbushia madai aliyoyatoa Dk. Slaa mwaka juzi wakati wa Uchaguzi Mkuu kuhusu wizi wa kura.
“Utakumbuka mwaka 2010 wakati wa Uchaguzi Mkuu, Dk. Slaa alisema kuna kontena lina kura mkoani Mbeya, lakini hadi leo hajawahi kuthibitisha uongo wake,” alisema Nape.
Pinda abanwa
Katika hatua nyingine, Dk. Slaa amemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuweka hadharani michango iliyokusanywa kwa ajili ya waathirika wa matukio ya mabomu ya Gongo la Mboto na Mbagala; na mafuriko ya Kilosa na Dar es Salaam.
Dk. Slaa alisema waziri mkuu anapaswa kutoa maelezo ya kina ndani ya siku 30 ili Watanzania wajue michango waliyochanga kwa ajili ya kuwasaidia ndugu zao ni kiasi gani na imetumikaje.
Alisema baada ya waziri mkuu kutoa hesabu ya vitu vilivyokusanywa pia anapaswa kumuagiza Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuvifanyia ukaguzi ili kujua namna vilivyotumika na kwamba kama hilo litashindikana, wabunge wa CHADEMA watakuwa na wajibu wa kuandaa hoja binafsi na kuiwasilisha bungeni.
“Tumeshuhudia namna waathirika wa mafuriko ya Kilosa walivyochangiwa na Watanzania kutoka sehemu tofauti ya nchi, sasa leo wamefikia kulazwa chini chumba kimoja kwa familia nzima pasipo kujali umri wala jinsia na mbaya zaidi, vyoo wanavyotumia havina milango, huku ni kufedhehesha utu wa Mtanzania,” alisema.
Wavuna wanachama 31,337
Wakati huo huo, Mkuu wa Operesheni Sangara wa CHADEMA katika mikoa mitano ya Morogoro, Singida, Manyara, Dodoma na Iringa,  Benson Kigaila, alisema baada ya kupita katika majimbo sita ya mkoani Morogoro wamefanikiwa kuvuna wanachama 31,337.
Kigaila alisema wanachama hao ni baada ya CHADEMA kufika katika kata 137 na vijijji 471 kwenye majimbo sita ya mkoa huo. Kwamba alipokea kadi 7,603 kutoka katika vyama vingine.
Alisema katika operesheni hiyo, wananchi walichangia kiasi cha sh 17,895,650, ndizi mikungu 831, magimbi 73, mayai trei 17 na mchele kilo 148.
Kigaila alifafanua kuwa kadi zilizouzwa ziliingiza kiasi cha sh 15,768,500.


--

OPRAH WINFREY AFFRONT TO INDIANS !!!


From: lodhi@swipnet.se
Date: Tue, 21 Aug 2012 06:55:52 +0200 - POSTED HERE ON 21/8/2012

 
Hi all,
yes, I have had bones to pick with India, but fully agree with this response by the un-named writer re Oprah's dismay. Shabash, bravo, lady! Oprah needs to go to some other countries where millions still use their hands, even if cutlery is available. Eating with cutlery is not a criteria of a civilised society. Now, as my Irish friend says, now I am thinking, how does Oprah eat her hamburger, ice-cream cones, popcorn, and such.
Does Oprah use her feet to hold her cutlery... Hmm.
 
This is what happens when media people are considered experts on societies...
An open letter to Oprah Winfrey from an Indian who eats with her hand.

"I heard some Indian people eat with their hands still?" - Oprah Winfrey 
 
 
Dear Oprah,

Even as I try to wrap my head around your amazingly presumptuous statement, your host breaks into a huge grin and says "usually we use only one hand to eat." Good god. But there's laughter around the table. You will soon realise that food humour is the best kind of humour in India, next only to toilet humour.

The upper-middle class family you visit offers you a thali, an assortment of food that in India is considered a filling and balanced meal. The man of the house points to a green lump in the corner. "That's okra." "This? This is okra?" 

Only, in India we call it ladies finger. In fact, if vegetable vendors had their way bhindi would join bandobast in the English dictionary any day. I am mildly thankful to you for not referring to it as gumbo, which I am sure would have baffled millions watching the spectacle that you made of our way of life.

You are helplessly disarming when you ask your host to show you how to eat with your hand. "I have never eaten with my hand but I can try." They fall over each other to oblige. Use one finger to hold the bread (puri) down and tear like this. Now dip it in anything you want. See? So easy. 

Oprah, you brave, brave thing, you are now one of us. Millions of us risk infection every day to eat food with our hands. When a child is born we teach it to eat with the hand. In the desolate, backward hole we live in, this is considered perfectly normal. Our table manners are minimal but they do not include humiliating our host with a question that plainly indicates our backwardness. 

We, the Indians who amaze you with our resilience and our sparse lives in 10x10 slum chawls, have always thought you were well travelled, well read and well spoken. How do we know? We watch your show of course. We have had cable television revolution since 1992. Poverty is an inseparable part of India, you say, and seek out the human stories that make the grind bearable. 

But which India have you come looking for? The one that shops at state-of-the-art supermarkets and vacations abroad or the one whining about their misery in tiny holes of homes with LCD televisions on the walls? The India that scrapes by with $200 a month but sends its children to subsidised government schools to pick up fluent English? The India of your press information - fascinating, with its many-headed goddesses and grimy, naked children playing by roadside hovels - or the India of the future - an economic superpower that looms large outside the range of an average American's myopic vision? 

Oprah, your comment about eating with the hand is really not that big a deal to us; we are used to gross Western ignorance regarding our ancient country. But as a responsible public figure about to air a show that will be beamed across the world, you should have done your homework. Using our hands to eat is a well established tradition and a fact none of us are ashamed of. Our economic distinction has nothing to do with it. A millionaire here eats the same way a pauper does. You have been to Asian nations. You should know that. 

In fact, we scoff at people who try to tackle their pizzas and rotis with cutlery. In one sweeping, general statement you linked the usage of cutlery to our progress. If anything, the mockery brings out in sharper focus the underlying insecurity and the latent threat developed nations sense from third world countries such as ours. Do you say you did not mean it as an offence? It is then an abominable insensitivity to Indian hospitality. 

I am a part of the nation that struggles to give its people a livelihood and sometimes fails to even provide basic amenities such as a shower head in their bathrooms (gasp!). Don't even get me started on our problems; you will miss your flight back. We have seriously twisted issues but shooting innocent people at random inside a cinema theatre is not one of them. Our problems are generically different from yours. But we don't make a spectacle out of yours. That's the difference. 

You have become the butt of jokes here, some well deserved, some not so much. Did you think the idea of 'India' is the culmination of an Algebraic equation? You are not alone in this sweeping ignorance and larger insensitivity. But you are a powerful brand ambassador of  America that tries to make sense of Indians. If this is the level of awareness you bring to our country, and the half-informed truths you take back, I feel apprehensive for the people you influence. 

Yes, we eat with our hands and it's high time we stop eating out of yours. 

EFFECTIVE DATE OF THE CONSTITUTIONAL REVIEW COMMISSION OF TANZANIA

 imenukuliwa kutoka Daily News Online la 13/4/2012.

TUME  YA TAIFA YA KUREKEBISHA KATIBA chini ya Sheria ya Kurekebisha Katiba Na. 8 ya mwaka 2011 ilianza kazi zake rasmi tarehe 1/5/2012.

MAONI YA KATIBA KWA TUME YA KATIBA NA. 2


MAONI YA  KATIBA NA. MBILI – 21/8/2012
SHERIA  YA MAREKEBISHO YA KATIBA NA. 8 YA 2011. 
Kifungu cha 17 (4) naomba kiongezwe kipengele cha 17 (4) (o) nacho kiongeze Ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi Tanzania ya  Mwaka 2002 iliyogundua kwamba Watanzania tuko Wanawake asilimia 51 na wanaume asilimia 49.  Jambo hili linawezekana chini ya kifungu cha 17 (4) (n) cha Sheria hiyo. 
a.    Kwamba katika kila Mkutano wa Kukusanya maoni ya Wananchi, watazingatia idadi ya wahudhuriaji na kurekodi wanawake asilimia ngapi na wanaume asilimia ngapi.
b.   Kwamba katika kila Mkutano wa Kukusanya Maoni ya Wananchi, asilimia ngapi ya wanawake waliohudhuria wameshiriki kutoa maoni na asililimia ngapi ya wanaume wamefanya hivyo.
c.    “The Majority of votes” kama ilivyoandikwa katika Kifungu cha 36 (1) cha Sheria hiyo juu ya “Referendum results” itatilia maanani kwamba katika hizo majority votes endapo itatafsiriwa kuwa ni wanawake wangapi walipiga kura na wanaume wangapi.  Ili ipatikane “majority” itakayothibitisha kwamba pande zote mbili za jinsi zilishiriki kikamilifu katika kupiga kura hiyo ya Maoni na kweli hiyo “Majority Vote” imewahusu wote au la.   Kinyume chake haitastahili kuitwa Majority Vote. 
d.   Mifano ya utaratibu nilioulezea ukifuatwa katika kila kipengele cha Mchakato wa Kuandika Katiba Mpya, kinachotakiwa kuthibitisha idadi ya asilimia ya watu, Tume itakuwa imetenda haki ya kuthibitisha jambo hilo.   Kinyume chake haitakuwa sahihi kusema wamepata majority vote kiasi gani kama jambo hili halitazingatiwa.  Tume haijachelewa kutekeleza hili. 


MAONI YA KATIBA KWA TUME YA KATIBA NA. 1MAONI YA KATIBA NA. MOJA – 20/8/2012 Ibara Na. 1 ya Katiba ya 1977: Napendekeza Tanzania iwe nchi ya mfumo wa “Federation” rasmi ili kuondoa kero na manunng’uniko yote ya pande zote mbili za Muungano. Kwamba nchi ya Tanganyika ipatikane kama ilivyokuwa zamani kabla ya tarehe 26/4/1964, na iwe nchi kamili. Zanzibar tayari ipo na iendelee kuwa nchi kamili. Nchi hizi mbili zipige kura ya Maoni [Referendum] ili watu wake waseme endapo wanataka waendelee kuwa katika Muungano au waachane na mfumo huo. Ili endapo zitakubaliana kuwa na Muungano, nchi hizi zikutane katika Federation ya Tanzania [TZ] (au jina lolote litakaloamuliwa na wananchi). Binafsi napendekeza jina hilo hilo libaki lakini tukiwa katika Federation. Kwa hiyo Dola ya TZ iwe ni muungano wa nchi mbili zilizo huru za Tanganyika na Zanzibar. Hata nchi nyingine yoyote itakapo kujiunga na TZ ruhsa; endapo tu itakubaliana na matakwa ya watu wa TZ, huenda hilo likawa ndio chimbuko la Muungano wa Nchi za Afrika (United States of Africa). Mtindo huu wa DOLA utasaidia kuzihamasisha nchi nyingine za jirani Barani Afrika kutamani kujiunga katika Federation yetu; endapo tu tutaendesha mambo yetu kwa kufuata HAKI na UTAWALA WA SHERIA. Kwa wakati huu niandikapo maoni haya (20/8/2012), nchini Tanzania hakuna haki tangu tupate UHURU tarehe 9/12/2012. Hii ni kwa sababu sehemu moja ya jamii ya Watanzania imejilimbikizia haki ya kuamua nchi iendeshwe vipi na hivyo kuwafanya watu wa sehemu ya pili kuwa kama raia wa Daraja la Pili ndani ya nchi yao. Mifano ya kuthibitisha jambo hili ni mingi mno na kwa uchache niliyowahi kuithibitisha binafsi (kwa kunitokea mimi mwenyewe au kwa kuisoma katika maandiko ya kitaaluma) ni kama ifuatayo: 1. Hulka ya wafuatao imani ya Kikristo ya kufundishana chuki dhidi ya watu wenye imani za dini nyingine; hasa Waislam. Hili linathibitishwa na mifano kadhaa ifuatayo. 2. Tabia ya ukiristo kujikita katika mamlaka za utumishi wa umma na kulazimisha nembo zao kutumika maofisini na hivyo kuwafanya watu wa dini nyingine kujisikia kubaguliwa kwa makusudi; jambo linalopingana kabisa na Ibara ya 13 (1) ya Katiba ya 1977. Mfano dhahiri wa jambo hili ni kupamba Maofisi ya Umma wakati wa sikukuu kwa alama za Krismasi [Miti mikubwa Sebule za Ofisi na kuipamba kwa “Chrismas Carols” na kutoa zawadi za pombe kwa maofisa mbalimbali maofisini]; kuweka “Compact Disks” [CD] za miziki ya dini ya Kikristo wakati wote maofisini na kuiliza kana kwamba wawekaji miziki hiyo wako Kanisani au wako majumbani kwao badala ya Ofisi za Serikali ISIYOKUWA NA DINI. 3. Nyimbo hizi na alama nyingine kuwekwa wazi maofisini kunakiuka kwa uwazi Ibara ya 3(1) inayotamka kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi isiyokuwa na Dini. 4. Ndani ya Katiba Mpya, mambo haya yaandikwe na yapigwe marufuku kwa sababu yanawabagua Watanzania kutokana na imani zao. 5. Mwezi Mei, 2012 usahihishaji wa mitihani ya Wanfunzi wa Kiislam ulichakachuliwa na wanafunzi hawa wote wakaonekana wamefeli somo la “Islamic Knowledge” ili wasipate sifa za kuweza kuomba kuendelea na masomo ya juu zaidi. Jambo hili lilipogunduliwa ETI likarekebishwa na srikali. Tangu UHURU 9/12/2012 mchezo huu umeendelea kuchezwa na Wakristo dhidi ya Waislam kwa sababu huko nyuma Mwalimu Lila alithibitisha hili. Yeye akiwa kama mmoja wa wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi wa sekondari, aligundua watahiniwa wa Kiislam wanakatwa maksi zao na kufelishwa kwa makusudi mazima na alipouliza wenziwe katika jopo la Wasahihishaji alijibiwa kuwa “hivyo ndivyo tunavyofanya katika kipindi cha misimu yote ya kusahihisha mitihani, kwani wewe hujui?”. Alipolalamika hakuna kilichofanyika. 6. Waislam walipolalamikia hili, Rais aliyepita Benjamin William Mkapa (1995 -2005) aliwahi kusema kwamba zipo sababu za kihistoria kwamba wasomi wengi zaidi nchini Tanzania ni Wakristo kuliko Waislam na kwamba anataka apelekewa ushahidi (empirical evidence) kama kweli Waislam wanafanyiwa madhila haya makusudi ili wafeli. Je, ni ushahidi gani zaidi alioutaka Mkapa zaidi ya ule wa Mwalimu Lila? Serikali haikufanya lolote baada ya kugunduliwa hili. Imelipalilia na kulikubali liendelee. 7. Jambo la kuwa Watanzania tunapendana binafsi; Watanzania tuna umoja wa kwenye damu kwa kuoleana kokote nchini Tanzania; Watanzania tunaoana japo kuwa tuko katika dini tofauti; yote ni kiini macho cha kupendezesha baraza; mapenzi haya hayako moyoni mwa Watanzania. Watanzania hatupendani kama makundi tofauti ya imani tofauti. Ukweli huu wa kubaguliwa kinaga ubaga (kwa kufelisha Waislam) kunawafanya Waislamu wajisikie ni raia wa Daraja la 10 na wala sio la Pili nchini mwao. 8. Kusutwa kwa nafsi ya Rais Benjamin William Mkapa na kuruhusu kutolewa majengo ya Umma ya Chuo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mjini Morogoro, mwaka 2004 kuwa Chuo Kikuu cha Waislam, hakusaidii kufuta makovu ya madonda ya madhara na madhila yanayowapata Waislam ndani ya nchi yao. 9. Kitendo cha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushindwa kuwa na asasi zake yenyewe za kuhudumia Umma wa Watanzania wote na badala yake kutoa RUZUKU (zitokanazo na kodi za Watanzania wote) maradufu kwa Wakristo kujijengea huduma hizo na kuwa ni mrija wa utajirisho wao; kwa kuwa huduma hizi ni za kibiashara; ni ubaguzi mwingine unaohisiwa kwa uchungu sana na Waislam. 10. Katika Baraza la Maulid la mwaka 2012, kauli ya Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma kwamba ETI Waislam hawajaomba RUZUKU hizo ni tusi kubwa kwa sababu ushahidi upo dhahiri wa maandishi wa Waislam kuomba Ruzuku hizo mwaka 1961. Jambo hili alilofanya Rais Kikwete kwa Waislam linafanana na kauli ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Andrew Chenge alipotamka mwaka 2010 kwamba shilingi zaidi ya bilioni mbili ni vijisenti tu. Tofauti ni kwamba Kikwete katukana Asasi nzima ya Uislam (kama mfumo wa maisha); wakati Chenge alitukana Watanzania kwa ujumla wao; masikini na matajiri pia. 11. Katiba mpya iweke ibara zitakazotoa usawa katika kutoa ruzuku au ifute ruzuku zote husika. Isiegemee upande mmoja. 12. Habari zote chanya za Waislam kufumbiwa macho na vyombo vyote vya habari nchini – Viwe vya umma au vya binafsi. Kinachotangazwa kuhusu Waislam ni upotoshaji wa habari zao, sana sana kwamba Waislam ni waanzilishi wa vurugu na kwamba hawataki maendeleo. 13. Habari zote chanya za Wakristo kupambwa kwa vichwa vya habari vilivyokoloea (screaming headlines) na kuzificha zile zilizo hasi kwa wasomaji ili ionekane kwamba Wakristo ndio wapenda maendeleo na hawana matatizo wala migogoro baina yao katika Dhehebu mojamoja au kati ya madhehebu tofauti. 14. Tabia ya Asasi nyingi za Umma kupanga mikutano yao muhimu sana ya maamuzi (Kama ya Bodi, ya Mabaraza ya wafanyazi, ya Wadhamini, n.k.) siku za Ijumaa ili AIDHA Waislam wasiihudhurie; au muda wa saa moja watakapokuwa na udhuru wa kwenda kusali, ndio maamuzi yatayowaathiri vibaya; au maamuzi mazito yawahusuyo yachukuliwe. Huu ni ubaguzi mbaya wa kumuengua mjumbe Mkutanoni kwa sababu ya imani yake. Yaani Muislam achague abaki mkutanoni ili atetee masilahi yake ya kidunia au akaabudu Mola wake na aachane na mambo yamhusuyo yeye na jamii yake duniani. Huu ni ubaguzi USIOONEKANA. Lugha waitumiayo wajumbe wa imani nyingine katika mikutano kama hii ni kwamba “Sacrifice Ijumaa hii tu” maana yake “fuata njia na utamaduni wangu na achana na huo wa kwako”. Mikutano hii muhimu isipangwe siku za kuabudia dini yoyote katika sala za pamoja (congregational prayers). Huu ni ubaguzi wa kimya kimya dhini ya Ibara ya 13 ya Katiba ya 1977 kwa ujumla wake. 15. Walimu wa Kikristo toka Chekechea, Msingi, Sekondari hadi Vyuo Vikuu kuwa na tabia ya kuwanyanyasa, kuwabagua, kuwatweza, kuwadharau, kuwapuuza, n.k. wanafunzi wasio wa dini yao. Siku hizi hata wanafunzi wa shule za misingi huliongelea jambo hili. Maana yake ni kuwa wanafanyiwa ubaguzi huo kwa dhahiri na sio kisiri tena. Watoto wanajengewa chuki baina yao yaani wa dini moja na wa dini nyingine, dhidi ya Ibara ya 13 ya Katiba ya 1977. 16. Shule za Kikristo zinakaribisha maombi toka kwa wanafunzi wa dini zote kwa kigezo cha kuziendesha kibiashara bila ubaguzi wowote. Kivitendo; shule hizi; kama ilivyokuwa shule za Mkoloni na za Makanisa toka kabla ya Uhuru; zinalazimisha Waislam kula nguruwe na kutowahudumia wakati wa hitajio maalum la mwezi wa Mfungo wa Ramadhani, na kuwapiga mafuruku kushiriki katika ibada ya pamoja ya Ijumaa. St. Scholarstica (iliyopo Moshi) ni mfano mzuri sana wa hili kwa sababu jirani yangu aitwaye Abdulrazak Luwinzo watoto wake wawili wanasoma huko na wamemsimulia hili lililowakuta mwezi wa Ramadhani ulioishia tarehe 20/8/2012 (kwa kuwa watoto wamerudi wamekondeana kwa likizo ya Sensa ya 2012), na yeye amenisimulia mimi jana tarehe 19/8/2012. 17. Tabia ya Ukristo kung’ang’ania kuwa siku ya mapumziko ni Jumapili tu wakati watu wa dini nyingine wana siku zao za mapumziko ambazo hazitambuliwi kama siku za mapumziko kama Ijumaa kwa Waislam. Na wala haitoshi kutoa muda wa kwenda kuabudu/sala kwa pamoja kwani hiyo hailingani na kutoa mapumziko kwa siku nzima. Wakristo na wapumzike Jumapili na Waislam wapumzike Ijumaa. 18. Katiba mpya iseme wazi uhuru wa kuchagua siku ya mapumziko kwa imani zote. 19. Tabia ya Wakristo kukataa katakata uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini Tanzania kwa mujibu wa imani ya Dini ya Kiislam. Wakati nchi ya Tanzania imerithi mfumo wa sheria za Kikoloni za Dola la Uingereza ambalo sheria zake zimetokana na chimbuko la Kanisa (Ecclesiastical courts) na ndizo zitumikazo kwa watu wote; lakini Dola kwa shinikizo la Wakristo, linapuuzia dai la Waislam la kuwa na Mahakama yake ya Kadhi iliyokuwepo huko nyuma (kabla ya kuvunjwa miaka ya sitini – 1960s) na ikigharimiwa na Dola. Usawa wa kuhudumia watu wake unapotea wakati sheria za Tanzania zimerithi mfumo wa sheria za Kanisa na Waislam wanakataliwa Dola yao isigharimie Mahakama yao kana kwamba hawachangii kodi zao. 20. Katiba mpya iandike kuruhusu kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi itakayogharimiwa na Dola kama ilivyokuwa huko nyuma na mambo yalikwenda vizuri kwa imani zote. 21. Tabia ya Wakristo wengi kukasirikia Vazi la Stara la Kiislam kana kwamba wameligharimia wao linawakera sana Waislam. Wengine wanafikia hata kuwaita Waislam hao (pamoja na mimi) na “kuwanasihi” waache au wabadilishe vazi hilo ili wavae kama wanavyovaa wao. Kwa Waislam vazi hilo ni sehemu ya Ibada. Wasijisikie vibaya watu wa dini nyingine kutimiza amri za Mola wao ili mradi hawavunji sheria hizo za Dola za urithi wa Kikanisa. 22. Kuruhusu MAPAMBIO [nyimbo za kidini ya kikristo] hata katika shughuli/tafrija za umma zilizoandaliwa na serikali ambako haitakikani kuwa hivyo kwa sababu serikali haina dini. Badala yake pasiwepo hata nyimbo kama hizo zinazoingiza hisia ya kubaguliwa kwa watu wa imani nyingine. 23. Katiba mpya iseme kwamba jambo hili ni marufuku. 24. Pendekezo la kuingiza katika Katiba Mpya jingine ni kuwa midhali Tanzania kwa mahesabu ya sense ya sasa ya “kusadikika” ni kuwa tuko wananchi wa imani kuu mbili wenye asilimia sawa (asilimia 32 kwa 32), basi Katiba Mpya iseme kwamba katika kila Nyanja ya Utumishi wa Umma pawepo na uwakilishi wa 50-50 ili kuondoa hizi hisia za kubaguliwa, kubaguana, chuki za dhahiri na za siri dhidi ya Waislam wa Tanzania. 25. Mambo yote haya yana haki zote za kuwekwa wazi na kuzungumzwa na kujadiliwa kinaga ubaga, bila ya kuficha kitu ili kila mtu ayafahamu na ajue kisa na sababu ya watu wa imani moja katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanadai haki zao kila uchao; haki ambazo hazitimizwi na serikali yao. 26. Historia inatufahamisha fika kwamba hakuna haki inayopatikana hivi hivi tu bila ya kudaiwa. Na hivyo mimi ni Muislam wa Tanzania na ndio natumia haki hii ya: KUTOA MAONI JUU YA KATIBA MPYA KUTOA DUKUDUKU NA MADAI YA HAKI ZANGU ZA MUDA MREFU ZISIZOTEKELEZWA na serikali.; kwa kudai haki zangu katika njia hii. This is a priceless opportunity for Tanzanian Muslims to ventilate their grievances in full to the Constitutional Review Commission for consideration and implementation (hopefully at last).


MAONI YA KATIBA   NA.  MOJA – 20/8/2012
Ibara Na. 1 ya Katiba ya 1977:
Napendekeza Tanzania iwe nchi ya mfumo wa “Federation” rasmi ili kuondoa kero na manunng’uniko yote ya pande zote mbili za Muungano.  Kwamba nchi ya  Tanganyika ipatikane kama ilivyokuwa zamani kabla ya tarehe 26/4/1964,  na iwe nchi kamili.  Zanzibar tayari ipo na iendelee kuwa nchi kamili. 
Nchi hizi mbili zipige kura ya Maoni [Referendum] ili watu wake waseme endapo wanataka waendelee kuwa katika Muungano au waachane na mfumo huo.  Ili endapo zitakubaliana kuwa na Muungano, nchi hizi zikutane katika Federation ya Tanzania [TZ] (au jina lolote litakaloamuliwa na wananchi). Binafsi napendekeza jina hilo hilo libaki lakini tukiwa katika Federation. 
Kwa hiyo  Dola ya TZ iwe ni muungano wa nchi mbili zilizo huru za Tanganyika na Zanzibar.  Hata nchi nyingine yoyote itakapo kujiunga na  TZ ruhsa; endapo tu itakubaliana na matakwa ya watu wa TZ, huenda hilo likawa ndio chimbuko la Muungano wa Nchi za Afrika (United States of Africa).    
Mtindo huu wa DOLA utasaidia kuzihamasisha nchi nyingine za jirani Barani Afrika kutamani kujiunga katika Federation yetu; endapo tu tutaendesha mambo yetu kwa kufuata HAKI na UTAWALA WA SHERIA.
Kwa wakati huu niandikapo maoni haya (20/8/2012), nchini Tanzania hakuna haki tangu tupate UHURU tarehe 9/12/2012.  Hii ni kwa sababu sehemu moja ya jamii ya Watanzania imejilimbikizia haki ya kuamua nchi iendeshwe vipi na hivyo kuwafanya watu wa sehemu ya pili kuwa kama raia wa Daraja la Pili ndani ya nchi yao. 
Mifano ya kuthibitisha jambo hili ni mingi mno na kwa uchache niliyowahi kuithibitisha binafsi (kwa kunitokea mimi mwenyewe au kwa kuisoma katika maandiko ya kitaaluma) ni kama ifuatayo:
1.    Hulka ya wafuatao imani ya Kikristo ya kufundishana chuki dhidi ya watu wenye imani za dini nyingine; hasa Waislam.  Hili linathibitishwa na mifano kadhaa ifuatayo.
2.   Tabia ya ukiristo kujikita katika mamlaka za utumishi wa umma na kulazimisha nembo zao kutumika maofisini na hivyo kuwafanya watu wa dini nyingine kujisikia kubaguliwa kwa makusudi; jambo linalopingana  kabisa na Ibara ya 13 (1) ya Katiba ya 1977.   Mfano dhahiri wa jambo hili ni kupamba Maofisi ya Umma wakati wa sikukuu kwa alama za Krismasi [Miti mikubwa Sebule za Ofisi na kuipamba kwa “Chrismas Carols” na kutoa zawadi za pombe kwa maofisa mbalimbali maofisini]; kuweka “Compact Disks” [CD] za miziki ya dini ya Kikristo wakati wote maofisini na kuiliza kana kwamba wawekaji miziki hiyo wako Kanisani au wako majumbani kwao badala ya Ofisi za Serikali ISIYOKUWA NA DINI.  
3.   Nyimbo hizi na alama nyingine kuwekwa wazi maofisini kunakiuka kwa uwazi Ibara ya 3(1) inayotamka kwamba Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania ni nchi isiyokuwa na Dini.  
4.   Ndani ya Katiba Mpya, mambo haya yaandikwe na yapigwe marufuku kwa sababu yanawabagua Watanzania kutokana na imani zao.
5.   Mwezi Mei, 2012 usahihishaji wa mitihani ya Wanfunzi wa Kiislam ulichakachuliwa na wanafunzi hawa wote wakaonekana wamefeli somo la “Islamic Knowledge” ili wasipate sifa za kuweza kuomba kuendelea na masomo ya juu zaidi.  Jambo hili lilipogunduliwa  ETI likarekebishwa na srikali.  Tangu UHURU 9/12/2012 mchezo huu umeendelea kuchezwa na Wakristo dhidi ya Waislam kwa sababu huko nyuma Mwalimu Lila alithibitisha hili.  Yeye akiwa kama mmoja wa wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi wa sekondari, aligundua watahiniwa wa Kiislam wanakatwa maksi zao na kufelishwa kwa makusudi mazima na alipouliza wenziwe katika jopo la Wasahihishaji alijibiwa kuwa “hivyo ndivyo tunavyofanya katika kipindi cha misimu yote ya kusahihisha mitihani, kwani wewe hujui?”.  Alipolalamika hakuna kilichofanyika.
6.   Waislam walipolalamikia hili, Rais aliyepita Benjamin William Mkapa (1995 -2005) aliwahi kusema kwamba zipo sababu za kihistoria kwamba wasomi wengi zaidi nchini Tanzania ni Wakristo kuliko Waislam na kwamba anataka apelekewa ushahidi (empirical evidence) kama kweli Waislam wanafanyiwa madhila haya makusudi ili wafeli. Je, ni ushahidi gani zaidi alioutaka Mkapa zaidi ya ule wa Mwalimu Lila? Serikali haikufanya lolote baada ya kugunduliwa hili.  Imelipalilia na kulikubali liendelee.
7.   Jambo la kuwa Watanzania tunapendana binafsi; Watanzania tuna umoja wa kwenye damu kwa kuoleana kokote nchini Tanzania; Watanzania tunaoana japo kuwa tuko katika dini tofauti; yote ni kiini macho cha kupendezesha baraza; mapenzi haya hayako moyoni mwa Watanzania.  Watanzania hatupendani kama makundi tofauti ya imani tofauti.   Ukweli huu wa kubaguliwa kinaga ubaga (kwa kufelisha Waislam) kunawafanya Waislamu wajisikie ni raia wa Daraja la 10 na wala sio la Pili nchini mwao. 
8.   Kusutwa kwa nafsi ya Rais Benjamin William Mkapa na kuruhusu kutolewa majengo  ya Umma ya Chuo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)  mjini Morogoro, mwaka 2004 kuwa  Chuo Kikuu cha Waislam, hakusaidii kufuta makovu ya madonda ya madhara na madhila yanayowapata Waislam ndani ya nchi yao. 
9.   Kitendo cha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushindwa kuwa na asasi zake yenyewe  za kuhudumia Umma wa Watanzania wote na badala yake  kutoa RUZUKU (zitokanazo na kodi za Watanzania wote) maradufu kwa Wakristo kujijengea huduma hizo na kuwa ni mrija wa utajirisho wao; kwa kuwa huduma hizi ni za kibiashara;  ni ubaguzi mwingine unaohisiwa kwa uchungu sana na Waislam.
10.                Katika Baraza la Maulid la mwaka 2012, kauli ya Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma kwamba ETI Waislam hawajaomba RUZUKU hizo ni tusi kubwa kwa sababu ushahidi upo dhahiri wa maandishi wa Waislam kuomba Ruzuku hizo mwaka 1961.   Jambo hili alilofanya Rais Kikwete kwa Waislam linafanana na kauli ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Andrew Chenge alipotamka mwaka 2010 kwamba shilingi zaidi ya bilioni mbili ni vijisenti tu.  Tofauti ni kwamba Kikwete katukana Asasi nzima ya Uislam (kama mfumo wa maisha); wakati Chenge alitukana Watanzania kwa ujumla wao; masikini na matajiri pia. 
11.                Katiba mpya iweke ibara zitakazotoa usawa katika kutoa ruzuku au ifute ruzuku zote husika. Isiegemee upande mmoja. 

12.                Habari zote chanya za Waislam kufumbiwa macho na vyombo vyote vya habari nchini – Viwe vya umma au vya binafsi.  Kinachotangazwa kuhusu Waislam ni upotoshaji wa habari zao, sana sana  kwamba Waislam ni waanzilishi wa vurugu na kwamba hawataki maendeleo. 
13.                Habari zote chanya za Wakristo kupambwa kwa vichwa vya habari vilivyokoloea (screaming headlines) na kuzificha zile zilizo hasi kwa wasomaji ili ionekane kwamba Wakristo ndio wapenda maendeleo na hawana matatizo wala migogoro baina yao katika Dhehebu mojamoja au kati ya madhehebu tofauti. 
14.                Tabia ya Asasi nyingi za Umma kupanga mikutano yao muhimu sana ya maamuzi (Kama ya Bodi, ya Mabaraza ya wafanyazi, ya Wadhamini, n.k.) siku za Ijumaa ili AIDHA Waislam wasiihudhurie; au muda wa saa moja  watakapokuwa na  udhuru wa kwenda kusali, ndio maamuzi yatayowaathiri vibaya; au maamuzi mazito yawahusuyo yachukuliwe.  Huu ni ubaguzi mbaya wa kumuengua mjumbe Mkutanoni kwa sababu ya imani yake. Yaani Muislam achague abaki mkutanoni ili atetee masilahi yake ya kidunia au akaabudu Mola wake na aachane na mambo yamhusuyo yeye na jamii yake duniani.  Huu ni ubaguzi USIOONEKANA.  Lugha waitumiayo wajumbe wa imani nyingine katika mikutano kama hii ni kwamba “Sacrifice Ijumaa hii tu” maana yake “fuata njia na utamaduni wangu na achana na huo wa kwako”.  Mikutano hii muhimu isipangwe siku za kuabudia dini yoyote katika sala za pamoja (congregational prayers).   Huu ni ubaguzi wa kimya kimya dhini ya Ibara ya 13 ya Katiba ya 1977 kwa ujumla wake. 
15.                Walimu wa Kikristo toka Chekechea, Msingi, Sekondari hadi Vyuo Vikuu kuwa na tabia ya kuwanyanyasa, kuwabagua, kuwatweza, kuwadharau, kuwapuuza, n.k. wanafunzi wasio wa dini yao.  Siku hizi hata wanafunzi wa shule za misingi huliongelea jambo hili.  Maana yake ni kuwa wanafanyiwa ubaguzi huo kwa dhahiri na sio kisiri tena.  Watoto wanajengewa chuki baina yao yaani wa dini moja na wa dini nyingine, dhidi ya Ibara ya 13 ya Katiba ya 1977. 
16.                Shule za Kikristo zinakaribisha maombi toka kwa wanafunzi wa dini zote kwa kigezo cha kuziendesha kibiashara bila ubaguzi wowote.  Kivitendo; shule hizi; kama ilivyokuwa shule za Mkoloni na za Makanisa toka kabla ya Uhuru; zinalazimisha Waislam kula nguruwe na kutowahudumia wakati wa hitajio maalum la mwezi wa Mfungo wa Ramadhani, na kuwapiga mafuruku kushiriki katika ibada ya pamoja ya Ijumaa.   St. Scholarstica (iliyopo Moshi) ni mfano mzuri sana wa hili kwa sababu jirani yangu aitwaye Abdulrazak Luwinzo watoto wake wawili wanasoma huko na wamemsimulia hili lililowakuta mwezi wa Ramadhani ulioishia tarehe 20/8/2012 (kwa kuwa watoto wamerudi wamekondeana kwa likizo ya Sensa ya 2012), na yeye amenisimulia mimi jana tarehe 19/8/2012. 
17.                Tabia ya Ukristo kung’ang’ania kuwa siku ya mapumziko ni Jumapili tu wakati watu wa dini nyingine wana siku zao za mapumziko ambazo hazitambuliwi kama siku za mapumziko kama Ijumaa kwa Waislam.  Na wala haitoshi kutoa muda wa kwenda kuabudu/sala kwa pamoja kwani hiyo hailingani na kutoa mapumziko kwa siku nzima.  Wakristo na wapumzike Jumapili na Waislam wapumzike Ijumaa.
18.                 Katiba mpya iseme wazi uhuru wa kuchagua siku ya mapumziko kwa imani zote.
19.                Tabia ya Wakristo kukataa katakata uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini Tanzania kwa mujibu wa imani ya Dini ya Kiislam.  Wakati nchi ya Tanzania imerithi mfumo wa sheria za Kikoloni za Dola la Uingereza ambalo sheria zake zimetokana na chimbuko la Kanisa (Ecclesiastical courts) na ndizo zitumikazo kwa watu wote; lakini Dola kwa shinikizo la Wakristo, linapuuzia dai la Waislam la kuwa na Mahakama yake ya Kadhi iliyokuwepo huko nyuma  (kabla ya kuvunjwa miaka ya sitini – 1960s) na ikigharimiwa  na Dola.  Usawa wa kuhudumia watu wake unapotea wakati sheria za Tanzania zimerithi mfumo wa sheria za Kanisa na Waislam wanakataliwa Dola yao isigharimie Mahakama yao kana kwamba hawachangii kodi zao. 
20.                Katiba mpya iandike kuruhusu kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi itakayogharimiwa na Dola kama ilivyokuwa huko nyuma na mambo yalikwenda vizuri kwa imani zote. 
21.                Tabia ya Wakristo wengi kukasirikia Vazi la Stara la Kiislam kana kwamba wameligharimia wao linawakera sana Waislam.  Wengine wanafikia hata kuwaita Waislam hao (pamoja na mimi) na “kuwanasihi” waache au wabadilishe vazi hilo  ili wavae kama wanavyovaa wao.  Kwa Waislam vazi hilo ni sehemu ya Ibada.  Wasijisikie vibaya  watu wa dini nyingine kutimiza amri za Mola wao ili mradi hawavunji sheria hizo za Dola za urithi wa Kikanisa. 
22.                Kuruhusu MAPAMBIO [nyimbo za kidini ya kikristo] hata katika shughuli/tafrija za umma zilizoandaliwa na serikali ambako haitakikani kuwa hivyo kwa sababu serikali haina dini.  Badala yake pasiwepo hata nyimbo kama hizo zinazoingiza hisia ya kubaguliwa kwa watu wa imani nyingine. 
23.                Katiba mpya  iseme kwamba jambo hili ni marufuku. 
24.                Pendekezo la kuingiza katika Katiba Mpya jingine ni kuwa midhali Tanzania kwa mahesabu ya sense ya sasa ya “kusadikika” ni kuwa tuko wananchi wa imani kuu mbili wenye asilimia sawa  (asilimia 32 kwa 32), basi Katiba Mpya iseme kwamba katika kila Nyanja ya Utumishi wa Umma pawepo na uwakilishi wa 50-50 ili kuondoa  hizi hisia za kubaguliwa, kubaguana, chuki za dhahiri na za siri dhidi ya Waislam wa Tanzania. 
25.                Mambo yote haya yana haki zote za kuwekwa wazi na kuzungumzwa na kujadiliwa kinaga ubaga, bila ya kuficha kitu ili kila mtu ayafahamu na ajue kisa na sababu ya watu wa imani moja katika Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania wanadai haki zao kila uchao; haki ambazo hazitimizwi na serikali yao. 
26.                 Historia inatufahamisha fika kwamba hakuna haki inayopatikana hivi hivi tu bila ya kudaiwa.  Na hivyo mimi ni Muislam wa Tanzania na ndio  natumia haki hii ya:  KUTOA MAONI JUU YA KATIBA MPYA KUTOA DUKUDUKU NA MADAI YA HAKI ZANGU ZA MUDA MREFU ZISIZOTEKELEZWA na serikali.; kwa kudai haki zangu katika njia hii.  This is a priceless opportunity for Tanzanian Muslims to ventilate their grievances in full to the Constitutional Review Commission for consideration and implementation (hopefully at last).
























Sunday, August 19, 2012

6 REASONS TO PREFER WATER TO OTHER DRINKS !!!!

FROM   DR.  WEIL  
  • Healthy blood and bones. Your blood is over 80 percent water and your bones over 50 percent water. Proper hydration is required to optimize creation of new blood and bone cells.
  • Toxin elimination. Skip the fancy (and costly) detox plans: Plain water naturally helps remove toxins through the lymphatic system, intestines and kidneys.
  • Lubricated joints. Water helps protect against wear and tear and can even help reduce joint pain.
  • Proper digestion. Water helps prevent constipation by adding bulk to stools and fluid to the colon. 
  • Alertness. Even minor dehydration can lead to headaches, irritability, impaired concentration and fatigue. The human brain is 85 percent water; keeping it hydrated is essential for proper functioning.
  • Healthy skin. Water hydrates from the inside out, helping to maintain elasticity of the skin.
Way to go  Dr.  Weil !   I have proved the authenticity of all the 6 reasons personally.  THANK YOU.  

KUJIKUWAMUA KWA UHIFADHI MAZINGIRA ENDELEVU

Thursday, 28 June 2012   (Mwananchi)

Mkazi wa mkoani Lindi akipokea fedha za majaribio ya kuhifadhi misitu
Midraji Ibrahim
KATIKA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Serikali imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali kwa kushirikisha sekta binafsi na mashirika yasiokuwa ya kiserikali.

Miongoni mwa mashirika yasiyo ya Serikali ni Mpango wa Kupunguza Uzalishaji Hewa Ukaa inayotokana na kukata miti ovyo na uharibifu wa misitu (Mkuhumi).
Ofisa Mfuatiliaji na Mtathmini wa Mkuhumi, Emmanuel Lyimo, anasema mradi huo wa majaribio wa miaka mitano unatekelezwa kwa ubia kati ya Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG) na Mtandao wa Jamii wa Usimamizi Misitu ya Asili Tanzania (Mjumita).
Lyimo anasema mradi unatekelezwa kwenye wilaya tatu katika vijiji 39 vya Lindi Vijijini (17), Kilosa(16)na Mpwapwa(6).
“Lengo la mradi huu ni kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na mabadiliko ya tabianchi, ambayo madhara yake yako wazi kwa kila Mtanzania. Imefikia  wakati Serikali haiwezi kuvumilia uharibifu wa misitu kwa kuwa athari zake ni kubwa na zimeonekana dhahiri.

“Sehemu mbalimbali nchini tunashuhudia uharibifu huo kama kuyeyuka kwa theluji ya mlima Kilimanjaro, mafuriko kama yaliyotokea Kilosa mwaka juzi na madhara mengine kwa mfano, magonjwa ya malaria na kupotea kwa baadhi ya fukwe,” anasema Lyimo.

Anasema lengo siyo kuhifadhi tu, bali ni kupunguza ukataji miti ovyo na uharibifu wa misitu kwa kutoa motisha wa fedha wenye usawa kutoka soko la kimataifa la hewa ukaa (Carbondioxide), kwa ajili ya jamii zinazosimamia au kuhifadhi misitu kwa njia endelevu.

Anafafanua kwamba Mkuhumi ni mchakato mrefu mpaka kufikia hatua mwanajamii kupata motisha wa fedha.
“Moja ya motisha ni kusaidiana na jamii husika kuandaa mipango shirikishi ya usimamizi wa misitu, vijiji tisa vya Lindi vimetenga hekari 33,488.32, vijiji vinne vya Kilosa, vimetenga hekari 29,638.4.

“Maeneo haya ni kwa ajili ya misitu ya hifadhi ya kijiji ambayo tunayatumia kwa matumizi mbalimbali (isipokuwa kwa  kilimo) kwa njia endelevu. Pia, ni mwongozo mzuri wa kuzuia migongano ya matumizi ya ardhi,”anasema.
Ofisa huyo anasema mradi umeandaa mipango ya kupunguza uharibifu wa misitu kwenye vijiji hivyo,kuboresha kilimo nakuajiri wataalamu wawili waliyobobea kwenye kilimo.
Pia anasema wanakijiji wameunda vikundi vya wakulima, safari ya mafunzo ya kilimo hifadhi na kwamba wakulima 30 kutoka Lindi na30 Kilosa wametembelea maonyesho ya kilimo ya Nanenane.

Wakulima hao wamefundishwa jinsi ya kukabiliana na wanyama waharibifu.
“Wamefundishwa jinsi ya kutengeneza na kutumia majiko banifu ambayo hayatumii kuni nyingi. Majiko haya yanaokoa muda mwingi ambao mama angetumia kuni kupika badala ya kufanya shughuli nyingine za maendeleo,” anasema.

Mbali na hayo anasema vijiji vingi havina majengo ya ofisi ya kijiji na kusababisha mikutano na vikao mbalimbali vya maendeleo kufanyika kwenye madarasa ya shule.

Wanafunzi wamekuwa wakilazimika kupunguza muda wa masomo kutokana na madara yao kutumika kama kumbi za mikutano.

“Kwa kulitambua hilo, mradi ulikubaliana na vijiji vya Lindi na Kilosa kuchangia ujenzi wa ofisi ya kijiji ambayo itakuwa na ukumbi wa mkutano, chumba cha mtendaji, mwenyekiti, kamati ya maliasili na masjala ya kijiji,” anasema Lyimo.

Mpaka sasa mradi umejenga ofisi tano Kilosa kwenye vijiji vya Chabima, Dodoma Isanga,Munisagara, Nyali na Kisongwe ambazo zimeanza kujengwa.

Pia kuna vijiji vya Ibingu na Mfuluni ambavyo vimeanza ujenzi. Kwa upande wa Lindi vijiji vinne vya Moka, Mkanga 1, Kikomolela na Nandambi vimekamilisha ofisi zao.
Mradi huo unashughulikia suala la utawala bora kwakushirikisha kila kundi. Kuthibitisha hili, mradi umetoa mafunzo kwa halmashauri za vijiji, kamati za maliasili na kamati za matumizi bora ya ardhi.
Anasemawametoa elimu ya mazingira kwa walimu wa shule za msingi zilizopo vijiji vya mradi, kwa lengo la kupanda mbegu bora za kuhifadhi mazingira kwa watoto.

Fedha za majaribio
Lyimo anasema uvunaji wa hewa ukaa umekuwa ukifanywa kwa kupima eneo, ambalo hutengwa kwenye sehemu mbalimbali ambako wataalamu  wanapima kiwango cha hewa ukaa iliyomo kwenye miti.
Anasema baada ya kubaini kiwango hicho, wanarudian kupima kwa vipindi tofauti na baadaye wanatathimini kiwango cha fedha ambazo zinatolewa na mradi kwa ajili ya jamii husika.
Mradi umefanya majaribio ya kulipa wananchi ambao kwa juhudi zao binafsi wamehifadhi mazingira. Vijiji viwili vya Wilaya ya Kilosa; Dodoma Isanga wamepata zaidi ya Sh13 milioni na  Kijiji cha Chabima zaidi ya Sh23 milioni.
Kwa upande wa Wilaya ya Lindi vijiji vitatu vimepata fedha za majaribio; Mkanga 1 kimepata Sh8.4 milionin Likwaya Sh7.3 milioni na Ruhoma Sh21.8 milioni.
Uzoefu kuhusu mradi
Lyimo anasema miaka miwili ya mradi huo, wamejifunza kwamba kuwahamasisha wananchi kuanzia  mpakamkutano mkuu wa kijiji, ni njia mojawapo ya kuwafanya wanakijiji kupata mafunzo yaliokusudiwa.

“Mkuhumi utawezekana kama wanakijiji watapewa njia mbadala ya kujipatia kipato, ushirikishaji makundi yote ndiyo njia pekee kufanya mpango huo kuwa endelevu,” anasema.

Lyimo anasema licha ya mafanikio hayo, mradi unakumbana na matatizo ya aina mbalimbali kama ushawishi unaofanywa na watu wachache ambao wanataka wananchi wasitunze misitu kwa maslahi yao binafsi.
Anasema watu hao wanawashawishi wananchi kukataa kutenga maeneo ya hifadhi ya msitu kwa kuwa wakifikiri kwamba hawatavuna mbao na mkaa.
Pia, anasema uchomaji moto misituni tatizo ambalo liko wazi kwa kila mtu, kwani moto ni adui wa miti.
“Unaharibu uoto wa asili, wanyama wanakosa makazi, wanyama na mimea mingine inateketea kwa moto na unachangia kuzalisha hewa  ukaa badala ya kupunguza,” anasema.
Lyimo anasema wananchi wanatakiwa kuchukua Mkuhumi kama fursa ya kuboresha mazingira yao na wasichukulie kama ni sehemu ya motisha wa fedha.

Thursday, August 16, 2012

PARLIAMENTARIAN'S SCANDALS IN TANZANIA !!!

By George Marat,  THE  GUARDIAN, TANZANIA

12th August 2012
Four well placed local government officials in Musoma Rural district may face arraignment in court over misuse of farm inputs vouchers whose total worth reaches sh 370million.
The four were members of a committee to distribute the vouchers include Musoma Rural MP Nimrod Mkono (CCM),former district commissioner Geofrey Ngatuni, district council chairman Magina Magesa and former district executive director Karaine ole Kunei who at present is Ngorongoro district director.
All the same the district chairman, Magina Magesa, told this newspaper that the secretary of the voucher distribution committee who is also the district director has not at any one time invited him or the MP as regular members.
He said instead of asking them to participate as regular members the director kept giving excuses for not inviting them, which implies that himself and the MP are not part of the queries being raised on the vouchers.
A session of the district council raised the matter as members refused to receive a report on reception and distribution of the vouchers after affirming that no farm inputs had ever been delivered to farmers in the district in the 2011/2012 farming season.
The meeting was held under its chairman Magina Magesa, and unanimously refused the report, and instead formed a six man probe committee to give light on the issue.
Talking before the committee was formed, councilors from both sides of the political divide affirmed that not one village in the district received the said inputs, contrary to what the report says, “even indicating what the purchase of inputs had cost the government.”
“I obtained reports of delivery of subsidized input vouchers from the Regional Commissioner that our district had been provided with vouchers worth sh370million but as a matter of fact no such voucher was ever brought to my ward,” Tegeruka councilor Alpha Mordekai declared.
“For that reason I join my colleagues to form a probe team on these theft suspicions and those seen to be tainted be taken to court,” he emphasized.
Mara RC John Tupa recently said that some districts had misused subsidized inputs vouchers with part of the inputs being sold outside the country, while in some cases secondary school pupils had been made to sign on voucher pretending to be farmers.
Further disagreements were being heard as councilors rifted over plans to divide the district into two, the second time the issue flares up, having brought members of the finance and planning committee close to blows at midweek.
The issue was returned to a meeting of the ruling party and then brought back to the council, on the basis of a preliminary decision to divide Musoma Rural district so that one of the two districts shall be Butiama.
One reason for dispute is that Butiama is located far away from certain wards, which are closer to Musoma but shall be located in Butiama district once the plan is carried out.
After some of the councilors stormed out of the meeting, those remaining decided that the district be divided in two, where each district shall have 17 wards. One district shall be Nyanja whose head offices should be built at Kwikonero in Suguti ward. Those proposals shall now be presented before the Regional Consultative Council (RCC) for further deliberations, councilors noted.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY