Thursday, July 29, 2010

SABABU MIA MOJA ZA KUMREJESHA KAGAME MADARAKANI

KAGAME AFAGILIWA NA WANYARWANDA

"100 Reasons to Re-elect Paul Kagame"

1. Education



1. Ensuring 9-Year Basic Education for all Rwandan children that will tremendously improve literacy levels in the country
2. A promise to have Universal Secondary Education by 2017
3. Making education accessible by all with no segregations, particularly promoting Girls' and Special Needs' education
4. Encouraging parents and communities' involvement in education
5. Introducing English as medium of instruction in schools to make Rwanda more competitive on the global stage
6. Creating 14 new Higher Learning Institutions, almost tripling Higher Education enrolment in 7 year years
7. Providing scholarships to the best and brightest Rwandan students to pursue their studies in the best universities of Europe and North America;
8. Promising to achieve 100% literacy by 2017 through effective adult education;
9. Introducing technology in schools starting with primary schools under the 'One Laptop Per Child' program
10. Increasing the number of qualified teachers at all levels of education through effective distance learning and in-service training and remunerating them adequately.

2. Health


1. Raising the life expectancy in Rwanda from 43 to 53 years;
2. Introducing 6 types of health insurance including the famous "Mutuelle de Santé" resulting in a health insurance coverage of 94% of the population;
3. Introducing universal immunisation programmes;
4. Introducing health awareness programs;
5. Reducing deaths from malaria by 75%;
6. Reducing infant mortality by 70%;
7. Reducing HIV infections from 9 percent to 2%;
8. Building a clinic in every sector;
9. Reducing water-borne diseases by 60%;
10. Ensuring that more doctors and nurses are trained and deployed evenly across the country


3. Justice


1. Trying over 1,100,000 cases in the Gacaca court system;
2. Undertaking a complete restructuring of the justice sector;
3. Introducing many laws for different sectors that brings orderliness in State functioning;
4. Releasing over 80,000 genocide convicts safely into the community while ensuring law and order in the society;
5. Making convicted prisoners give back to society through work schemes;
6. Building over 100 new courts of law;
7. Training over 300 new judges;
8. Creating an independent judicially and an independent Judge selection process;
9. Promoting local mediation services to reduce backlog of court cases;
10. Introducing the commercial courts and streamlining the justice system by merging the administration process;


4. Agriculture




1. Introducing crop intensification programme and boosting agricultural production by 10 percent annually;
2. Introducing the cooperative system to buy produce from farmers;
3. Diversifying the crops cultivated through sensitisation;
4. Significantly reducing poverty and mal-nutrition through the one cow per family: "the Girinka" programme;
5. Introducing a phone text service that can inform farmers of the latest crop prices
6. Making subsidized seeds and fertilizers available on credit;
7. Promoting mechanised agriculture through a scheme of 1 tractor per village
8. Making veterinarians more widely spread across the country
9. Introducing irrigation farming
10. Making 'hunger' a history in our country

5. Economy

1. Increasing average earnings of Rwandans from $220 to $560 in 7 years!
2. Strengthening the private sector and streamlining doing business in Rwanda;
3. Increasing the tax base and total revenue collected domestically ;
4. Promoting credit to small to medium sized enterprises;
5. Increasing domestic funding of government to development projects in national budget from 10% to 50%;
6. Promoting transparency by fighting corruption;
7. Diversifying the economy by promoting new sectors like mining and tourism;
8. Promoting foreign direct investment to nearly $1 billion annually;
9. Making poverty-reduction the hallmark of economic development;
10. Cutting down on government expenditure through initiatives like reducing on the number of government vehicles;

6. Security


1. Making Rwanda one of the safest places in the world
2. Devolving security responsibility down to the local level
3. Reducing crime through local initiatives
4. Professionalising the Army and integrating former hostile elements
5. Fighting impunity and corruption in the army and hence cementing discipline
6. Sending Rwandan soldiers and Police officers to keep peace in war ravaged places like Darfur, Haiti, Liberia, etc.
7. Introducing electronic ID cards to all adults
8. Instituting a police force that is disciplined and highly professional
9. Establishing a credit scheme for the Army and Police
10. Making peace with neighbours like Democratic Republic of Congo


7. Foreign policy


1. Making Rwanda a respected partner in regional and international affairs
2. Improving Rwanda's relations with former hostile nations like France and DRC
3. Making Rwanda one of the biggest contributors of peace-keepers in the UN
4. Working tirelessly to track and prosecute Genocide suspects
5. Joining the East African Community and the Commonwealth
6. Being one of the foremost advocates of fully integrated EAC
7. Relentlessly promoting Rwanda abroad and expanding her relations to countries such as Australia, Singapore, South Korea, etc.
8. Chairing powerful global initiatives like the UN MDGs and the ITU Broadband Commission and serving on the Advisory board of the World Bank.
9. Creating special friends for Rwanda that have always defended our cause.
10. Refusing to be bullied by the west and always insisting on an equal voice for Africa on the global scene.


8. Technology


1. Making ICT the main focus of our long-term development
2. Making technology integral to government service provision
3. Supporting the one laptop per child policy
4. Laying thousands of kilometres of fibre-optic cables
5. Connecting all government centers to the internet
6. Abolishing import duties on ICT equipment
7. Building one of the best telephone network systems in the region
8. Strongly advocating for undersea cable to land on EA coastline and now eventually in Rwanda
9. Turning Rwanda into an influential country on ICT global issues
10. Emphasising on ICTs in our education programs and setting up institutions to oversee this program

9. Infrastructure


1. Constructing good roads across the country
2. Building communication towers to help link outlying areas
3. Setting up building regulations to improve basic infrastructure
4. Reducing tax on building materials to encourage growth of the industry
5. Bringing electricity to all major areas, with plans to expand it to every village
6. Coming up with a master plan and securing funding for a new international airport
7. Advocating for Isaka railway line which will reduce transport costs
8. Ensuring that Kigali master plan is implemented
9. Building district and sector headquarters nationwide
10. Investing heavily in ICT infrastructure


10. Kagame, the man


1. He is a man of principle and values
2. He is pragmatic and ready to make tough choices in the interest of his country
3. He promises and delivers
4. He is patriotic and wants the best for Rwandans
5. He is a visionary and inspirational leader
6. He is intelligent, skilful and innovative
7. He is a humble man who does not value personal gains
8. He is not a man to bully and he is never shaken by circumstances
9. He has a humble background that shapes his character as a down-to-earth leader
10. He is a family man and cherishes family values


"You Do Not Change a Winning Team"

MTU MWEUSI WA KWANZA KUCHAGULIWA URUSI

POSTED HERE ON 29/7/2010.

SOURCE: http://news. yahoo.com/ s/ap/20100725/ ap_on_re_ eu/eu_russia_ black_politician

By KRISTINA NARIZHNAYA, Associated Press Writer Kristina Narizhnaya, Associated Press Writer 2 hrs 22 mins ago -
NOVOZAVIDOVO, Russia – People in this Russian town used to stare at Jean Gregoire Sagbo because they had never seen a black man. Now they say they see in him something equally rare — an honest politician.
Sagbo last month became the first black to be elected to office in Russia.
In a country where racism is entrenched and often violent, Sagbo's election as one of Novozavidovo' s 10 municipal councilors is a milestone. But among the town's 10,000 people, the 48-year-old from the West African country of Benin is viewed simply a Russian who cares about his hometown.
He promises to revive the impoverished, garbage-strewn town where he has lived for 21 years and raised a family. His plans include reducing rampant drug addiction, cleaning up a polluted lake and delivering heating to homes.
"Novozavidovo is dying," Sagbo said in an interview in the ramshackle municipal building. "This is my home, my town. We can't live like this."
"His skin is black but he is Russian inside," said Vyacheslav Arakelov, the mayor. "The way he cares about this place, only a Russian can care."
Sagbo isn't the first black in Russian politics. Another West African, Joaquin Crima of Guinea-Bissau, ran for head of a southern Russian district a year ago but was heavily defeated.
Crima was dubbed by the media "Russia's Obama." Now they've shifted the title to Sagbo, much to his annoyance.
Click image to see more photos of Jean Gregoire Sagbo


AP


"My name is not Obama. It's sensationalism, " he said. "He is black and I am black, but it's a totally different situation."
Inspired by communist ideology, Sagbo came to Soviet Russia in 1982 to study economics in Moscow. There he met his wife, a Novozavidovo native. He moved to the town about 100 kilometers (65 miles) north of Moscow in 1989 to be close to his in-laws.
Today he is a father of two, and negotiates real estate sales for a Moscow conglomerate. His council job is unpaid.
Sagbo says neither he nor his wife wanted him to get into politics, viewing it as a dirty, dangerous business, but the town council and residents persuaded him to run for office.
They already knew him as a man of strong civic impulse. He had cleaned the entrance to his apartment building, planted flowers and spent his own money on street improvements. Ten years ago he organized volunteers and started what became an annual day of collecting garbage.
He said he feels no racism in the town. "I am one of them. I am home here," Sagbo said.
He felt that during his first year in the town, when his 4-year-old son Maxim came home in tears, saying a teenage boy spat at him. Sagbo ran outside in a rage, demanding that the spitter explain himself. Women sitting nearby also berated the teenager. Then the whole street joined in.
Russia's black population hasn't been officially counted but some studies estimate about 40,000 "Afro-Russians. " Many are attracted by universities that are less costly than in the West. Scores of them suffer racially motivated attacks every year — 49 in Moscow alone in 2009, according to the Moscow Protestant Chaplaincy Task Force on Racial Violence and Harassment, an advocacy group.
After the Soviet Union collapsed, Novozavidovo' s industries were rapidly privatized, leaving it in financial ruin.
High unemployment, corruption, alcoholism and pollution blight what was once an idyllic town, just a short distance from the Zavidovo National Park, where Prime Minister Vladimir Putin and President Dmitry Medvedev take nature retreats.
Denis Voronin, a 33-year-old engineer in Novozavidovo, said Sagbo was the town's first politician to get elected fairly, without resorting to buying votes
"Previous politicians were all criminals," he said.
A former administration head — the equivalent of mayor in rural Russia — was shot to death by unknown assailants two years ago.
The post is now held by Arakelov, a veteran of the Soviet war in Afghanistan who says he also wants to clean up corruption. He says money used to constantly disappear from the town budget and is being investigated by tax police.
Residents say they pay providers for heat and hot water, but because of ineffective monitoring by the municipality they don't get much of either. The toilet in the municipal building is a room with a hole in the floor.
As a councilor, Sagbo has already scored some successes. He mobilized residents to collect money and turn dilapidated lots between buildings into colorful playgrounds with new swings and painted fences.
As he strolled around his neighborhood everyone greeted him and he responded in his fluent, French-African- accented Russian. Boys waved to Sagbo, who had promised them a soccer field.
Sitting in the newly painted playground with her son, Irina Danilenko said it was the only improvement she has seen in the five years she has lived here.
"We don't care about his race," said Danilenko, 31. "We consider him one of us."

__._,_.___

Monday, July 26, 2010

Na Muhingo Rweyemamu, RAI - 26/7/2010

KWA vyovyote itakavyokuwa, Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utatawaliwa na vijana, Rai inaweza kuthibitisha.

Tofauti na miaka ya nyuma ambayo siasa za uchaguzi ziliongozwa na kutawaliwa na wazee huku vijana wakiwa wasaidizi wa ushindi wa wazee hao, mambo yanaonekana kubadilika sana katika uchaguzi wa mwaka huu na vijana wanaonekana kujizatiti na mbinu mpya kuliko watu wa makamo.

Gia aliyoingia nayo Januari Makamba, ya kutembelea Jimbo zima la Bumbuli na kufanya kile wataalam wanaita ‘participatory research’ huku akibuka na kitabu kinachoeleza hali halisi ya wakazi wa Jimbo hilo, ni moja ya mambo yaliyowashitua siyo wagombeaji wenzake tu, bali pia hata vijana waliomo bungeni.

Wakielezea hali hiyo, Ismael Jussa, Mbunge wa kuteuliwa pamoja na Zitto Kabwe, walisema jambo alilolifanya Makamba, limewapa changamoto kama vijana ili waweze kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo siku z ijazo.

Takwimu za idadi ya watu, zinatuonyesha kwamba Tanzania ni taifa changa. Kwa maana kwamba ina idadi kubwa ya watoto na vijana kuliko watu wazima. Kwa mujibu wa Shirika la Ujasusi la Marekani, CIA, wastani wa umri wa Watanzania ni miaka 18.7 Hii maana yake ni kwamba ukichukua umri wa wazee , ukajumlisha na umri wa watoto , kisha ukagawa mara mbili, umri wa wastani ni miaka 18

Katika Tanzania watoto wenye umri wa chini ya miaka kumi na tano ni milioni 17 wakiwamo wavulana 8,853,529 na wasichana 8,805,810. Wastani wao ni asilimia 43.


Watu wenye umri kati ya miaka 15-64 ni milioni 22 wakiwamo wanaume 10,956,133 na wanawake 11,255,868 na wastani wao ni asilimia 54 ya Watanzania wote wakati wenye umri juu ya miaka 65 wanafanya asilimia 2.9 ya Watanzania kuwa au kama watu milioni moja na nusu.

Hata hivyo, ukichukua watu wenye umri tangu miaka 0 hadi miaka 29 wanatengeneza asilimia 70 ya Watanzania ambao wengi wao ndiyo kundi kubwa la wapiga kura na hasa wanaopiga kura kwa mara ya kwanza ambao wanaingia katika uchaguzi na vionjo vyao, maono yao na matamanio yao.

Idadi kubwa ya vijana wapiga kura wamo katika Shule za Sekondari za kidato cha tano na sita (1.5) na kutoka Vyuo Vikuu wamo 82,428 ambao wanatarajiwa kuleta hamasa kubwa katika kampeni hizi.

Kihistoria, vijana wamekuwa nguzo muhimu katika ukombozi wa nchi yetu kupitia TANU, na pia katika kuhakikisha ushindi wa chama hicho na Chama Cha Mapinduzi ambacho ndiyo mrithi wa TANU.

Kwa bahati mbaya, katika miongo ya karibuni, vijana wengi wamekuwa daraja la wazee katika kufikia uongozi. Umoja wa Vijana wa CCM umekuwa ukitumika kuhamasisha watu kupiga kura, kujibu mashambulizi na kwa ujumla kutia hamasa chaguzi za chama.

Miaka ya karibuni, chama hicho kikongwe kilianzisha kikundi cha ‘Tanzania One Theatre Group’ ambacho kwa kiasi kikubwa, kimefanikiwa kuwakusanya Watanzania katika sehemu za kampeni na hivyo kusikiliza hotuba.

Vyama vingine vinejitahidi kuanzisha vikundi ingawa hakuna chama chenye kundi lenye nguvu kama TOT. Hata ndani ya CCM, vikundi vingi vya vijana vimejaribu mara kadhaa kuibuka lakini havikufika mbali.

Safari hii, mambo yamebadilika kabisa, badala ya vijana kuwa wasindikizaji wa wazee, sasa vijana wameamua wenyewe kushika bendera ya chama hicho. Katika sehemu kadha wa kadha, mwitikio wa vijana umewakosesha raha wazee hata kabla ya kipindi cha kampeni kuanza.

Idadi ya vijana waliochukua fomu kugombea Ubunge na Udiwani kwa tiketi ya CCM ni kubwa mno na kutakuwa na shughuli pevu wakati wa uteuzi.

Sambamba na hilo, ujio wa waziwazi wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu katika harakati za uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaonyesha mabadiliko makubwa yatakayotokea wakati wa kampeni.

Katika mkutano mkuu wa CCM, vijana waliwafunika wazee kwa kila hali. Ukumbi ulikuwa ni wa shamrashamra zilizoongozwa na vijana.

Nyimbo pamoja na hotuba za vijana zilikuwa za mikiki mikiki. Wakati fulani ilionekana kwamba vijana wanataka kuimaliza enzi ya kikundi cha TOT ingawa waswahili walisema uzee ni dawa.

Pale vijana kwa mfano wa Vyuo Vikuu waliposimama kuimba wimbo wao, ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe na kujumuika katika kucheza wimbo huo unaokwenda kwa jina la NI KIKWETE.

Vijana kama Bushoke, Marlow, Flora Mbasha na Doki waliwafanya wajumbe wa mkutano mkuu kushindwa kuketi kwenye viti vyao. Katika kipindi cha burudani hizo, muda pekee wajumbe walipopata nafasi ya kupumzika, ni pale nyimbo za TOT zilipokuwa zikipigwa.

Ujio wa vijana katika kampeni hizi, unatufundisha jambo moja kwamba hali ya sasa ya siasa, ni sawa na jini aliyefunguliwa kwenye chupa. Uwezekano wa kumrudisha ni mgumu na kwa msingi huo, ni lazima tujifunze namna ya kuishi naye.

Mazingira ya zamani ya siasa za nchi zetu, yalikuwa yanatoa nafasi pana kwa viongozi waliomo madarakani kuwa walezi wa vijana wanaochipukia katika uongozi. Kwa sasa, hali hiyo haipo sana. Hivi karibuni, Chama Cha Mapinduzi kilikuwa na semina kule Iringa ambayo ilikuwa ikiwaandaa vijana wake. Hata hivyo, hayo siyo maandalizi ya kisiasa, yalikuwa maandalizi kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.

Vyama vya upinzani navyo vinao vijana machachari waliokuwamo bungeni na wale waliomaliza shule. Kwa bahati mbaya, habari zao hazisikiki sana kama zinavyosikika zile za CCM na labda sababu kubwa ni ukosefu wa chombo cha kitaifa cha kuwaunganisha na kuwapatia mafunzo vijana. Baada ya siasa kupigwa marufuku katika shule na katika vyuo, vijana wanasiasa wanaokotwa barabarani au wale ambao waliasi amri ya kuzuia siasa katika taasisi za elimu. Kinachoshangaza ni kwamba hata wale vijana wanaochukua kozi za Political Science, hawana muda rasmi ulioruhusiwa kisheria na kitaratibu wa kufanya mazoezi kwa yale wanaotarajia kufanyia kazi.

Kwa nini vijana wanahitaji kuandaliwa? Kwanza kilichojitokeza kule Dodoma ni sababu tosha ya kuwafikirisha wazee na kuwaandaa vijana ili watambue nini cha kuongea, wakiongee lini na wapi.

Kwa mfano katika mkutano huo wa Dodoma, vijana wa Vyuo Vikuu walikaribishwa kusoma risala yao ambayo baadaye tulikuja kupata taarifa kwamba haikuwa imesomwa na yeyote. Yaani ilikuwa risala ya mashtukizi.

CCM ilikuwa imewaalika viongozi wa vyama vya upinzani. Walikuwapo Mwenyekiti Mrema, Mwenyekiti Lipumba na Mwenyekiti Dovutwa pamoja na wengine. Vijana katika hotuba yao, waliwageukia wageni hao ambao kimsingi walikuwa ni wageni wa mwenyekiti wa chama chao, wakasema: “Hawa Mavuvuzela, hawatuwezi”.

Kwa ujumla, maneno hayo yaliwaudhi viongozi wengi wa vyama hivyo. Mmojawao, Profesa Ibrahim Lipumba aliamua kuondoka kabla ya muda wake. Ilipofika muda wa Mwenyekiti kuongea, tofauti kati ya watu waliopata malezi ya kisiasa na wale ambao hawajapata malezi ya kisiasa ilijionyesha. Kikwete aliwakaribisha wageni wake, kuwasifia, kuwapa nafasi ya kuongea na kuwaomba uchaguzi wa mwaka huu uwe wa kistaarabu kwa sababu “tunajenga nyumba moja, hatuna sababu ya kugombania fito”. Hayo ni maneno yaliyosemwa na mtu aliyewakaribisha wageni nyumbani mwake. Mwenyeji, hatarajii watoto wake ‘wawachape fimbo’ wageni wake.

Mwanzo wa ngoma ni lele. Tunatarajia kuyaona mengi wakati wa uchaguzi.

MAOFISA WA TAKUKURU WANUSURIKA KIPIGO

Imeandkwa na Martha Mtangoo, Dodoma; Tarehe: 25th July 2010 Habari Leo



MAOFISA watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), mkoani hapa juzi walinusurika kupigwa na wananchi katika Kata ya Makulu,Kijiji cha Njedengwa baada ya kudhaniwa ni wezi.

Mkuu wa Takukuru mkoani hapa, Eunice Mmari aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku baada ya kupatiwa taarifa na raia mwema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa eneo hilo wapatao 30 wamekusanyika nyumbani kwa Mwenyekiti wa Tawi la CCM Njedengwa kwa ajili ya kupewa pesa ili wamchague diwani.

Mmari alisema mara baada ya kupatiwa taarifa hiyo wakiwa njiani kuelekea eneo la tukio, waliona mtu akiwa katika pikipiki akiwa mbele ya gari lao waliamua kumpita na baada ya kumpita mtu huyo alipiga kelele za kuwataarifu Takukuru waliokuwa wanaelekea eneo hilo.

Kwa mujibu wa Mkuu huyo wa Takukuru wananchi hao waliokuwa wamekusanyika katika nyumba hiyo walipiga filimbi na kuwataarifu wanakijiji wenzao kuwa wameingiliwa na majambazi hali ambayo iliwafanya wanakijiji hao kuwazingira maofisa wa Takukuru na kutaka kuwapiga wakidai kuwa ni wezi.

Akielezea zaidi juu ya tukio hilo, alisema kuwa zaidi ya wanakijiji 200 waliwazingira na kutaka kuwapiga ambapo wengine waliwamwagia pombe na kudai kuwa ni wezi huku wengine wakisema kuwa kama wamekuja kwa ajili ya kumharibia diwani wao hawamuwezi ni bora wakamuacha.

Alisema kuwa waliwekwa chini ya ulinzi huku wakiwa wamezungukwa na wananchi kwa zaidi ya saa mbili.

Alifafanua kuwa sakata hilo liliisha saa nne na nusu usiku baada ya Mwenyekiti wa kitongoji hicho kuwasihi na kuwaachia huru wananchi hao ambao walitaka pia kuvunja vioo vya gari ya maofisa hao.

Aidha alisema kuwa, mbali na tuhuma hiyo pia Diwani huyo wa Kata ya Makulu, Ali Biringi anachunguzwa na Takukuru baada ya kukutwa na kadi 98 zisizo halali za CCM.

Alisema kuwa awali Takukuru ilipata taarifa juu ya diwani huyo kuwa na kadi hizo ambapo alikutwa na jumla ya kadi 177 za CCM ambapo baada ya kukaguliwa alikutwa na jumla ya kadi 98 zisizo halali na kuwa uchunguzi bado unaendelea

M A Z I N G A O M B W E YA C C M TANZANIA

http://newhabari.co.tz

*Yajipanga kusimamia njia kuu za uchumi
*Yasisitiza elimu ya kujitegemea kwanza


*Yasema bila sayansi Taifa halifiki popte
*Yaagiza Serikali kufumua mitaala ya elimu
*Yakiri wingi wa wasomi umeanza kuwa tatizo

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeufanyia mapinduzi makubwa Mwelekeo wake wa sasa kwa kuamua uwalenge zaidi wananchi wa kipato cha chini ili waweze kushiriki katika mfumo halisi wa uchumi wa dunia ya sayansi na teknolojia.

Sambamba na hayo, Chama hicho kimeangalia kwa kina mwenendo wa uchumi wa dunia, na siasa za hapa nchini na kubaini kwamba kuna kila sababu ya kupunguza pengo kati ya walio nacho na wasio nacho.

Na ili kufanikisha mambo hayo, CCM imeamua kwamba kuanzia sasa itarejesha mfumo wa Upangaji wa Mipango na Usimamizi wa Uchumi ili kuipa dola nafasi ya kuwa mhimili wa uchumi katika mazingira ya ujenzi wa msingi wa uchumi wa kisasa wa Ujamaa na Kujitegemea katika mazingira ya uchumi wa soko na utandawazi.

Maamuzi hayo yamo katika madokezo yake kadhaa, ambayo yalipitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM kabla ya kuwasilishwa katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliomalizika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.

Maamuzi hayo, yanaonekana kwamba Tanzania imeamua kufuata mfumo wa uchumi wa China; nchi ambayo Ujamaa pamoja na Ubepari vinafanya kazi sambamba, huku nguvu ya kiuchumi ya mabepari ikisaidia kupambana na umaskini wa walio wengi.

Tangu mageuzi hayo ya kukumbatia mifumo miwili ndani ya nchi moja yaasisiwe mwaka 1978, China imepiga hatua kubwa katika maendeleo ya uchumi. Mwaka jana, pato la nchi hiyo lilikuwa Yuan trilioni 30.07 ambazo ni sawa na dola za Marekani trilioni 4.287, ikiwa na ongezeko la uchumi la asilimia 9.3.

Mageuzi hayo, yaliletwa na Den Xiao Ping, ambaye alibadilisha mfumo wa Kikomunisti uliokuwa umeitenga China ya Mao Tse Dong na ulimwengu wa nje.

Baada ya mabadiliko hayo, uchumi wa China umekuwa ukikua kwa kasi ya ajabu, kiasi cha kuwa tishio kwa mataifa makubwa kiuchumi kama vile Marekani na Japan.

Katika kijitabu cha CCM cha Mwelekeo wa Sera za CCM katika Miaka ya 2010 hadi 2020, CCM inataja malengo makuu ya mwelekeo huo ambayo yana mambo kama sita hivi.

Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kupambana kikamilifu na suala la uchumi duni na tegemezi, kwa kujenga msingi wa uchumi wa kisasa wa Taifa linalojitegemea, na unaozingatia matumizi ya kiwango cha juu cha maarifa yatokanayo na sayansi na teknolojia.

Ili kuweza kufanikisha jambo hilo, chama kinaziagiza Serikali zake kujipanga kuwawezesha wananchi kiuchumi, kwa kuwapa elimu ya kisasa itakayowawezesha kufanikisha Mapinduzi katika Kilimo na Ujasiriamali.

Chama hicho kinasema ili mkakati wa kujenga msingi wa uchumi wa kisasa wa Taifa linalojitegema, ni lazima itolewe elimu ya kisasa. Na kwa msingi huo, Chama kinaziagiza Serikali zake mbili; Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kuchungulia upya katika mitaala yake na kuifumua ili kuweza kukumbatia sayansi na teknolojia tangu ngazi ya awali ya mfumo wa elimu.

“Kwa vile uchumi wa kisasa unahitaji watenda kazi wenye ujuzi na maarifa ya sayansi na teknolojia, ni lazima (watenda kazi hao) waandaliwe kwa kupewa elimu bora na ya kisasa,” inasema sehemu ya kijitabu hicho cha Mwelekeo wa CCM.

Aidha, chama hicho kinasema bila matumizi ya elimu ya sayansi na teknolojia, nchi haiwezi kuondokana na uchumi ulio nyuma na tegemezi.

“Kwa hiyo, lazima yafanyike marekebisho katika mitaala ili mafunzo yanayotolewa yapate mwelekeo wa sayansi na teknolojia. Serikali itatilia mkazo uwekezaji wa raslimali katika utafiti na kuufanya utafiti kuwa agenda ya kitaifa kwa kutenga asilimia moja (1%) ya pato ghafi la Taifa, kwa ajili ya utafiti na maendeleo,” inasema sehemu ya kijitabu hicho na kuongeza kuwa lazima Serikali isimamie taratibu za uhawilishaji wa teknolojia na utoaji hakimiliki kwa watafiti na wagunduzi.”

Kwa ujumla, mwelekeo huu unaonyesha dhamira ya CCM katika uwezeshaji wa wananchi mmoja mmoja na katika vikundi.

CCM inasema: “Mkakati mkuu wa uwezeshaji wa kiuchumi wa wananchi, ni ule unaohakikisha kwamba wananchi wenyewe wanamiliki na kuendesha uchumi wa nchi yetu ama mmoja mmoja kwa kupitia vyama vyao huru vya ushirika au kwa kupitia kampuni za wananchi ya ubia.

“Wakati huo huo, Watanzania wenye vipaji wataandaliwa katika fani za uongozi wa uchumi na kuwasaidia watu ambao wako tayari kuthubutu kuchukua hatua za kiuchumi. Kuthubutu kiuchumi, ndiyo chimbuko la msukumo katika uchumi wa kisasa.”

Moja ya mambo ambayo yamekuwa yakimhangaisha Rais Jakaya Kikwete tangu alipokuwa akinadi Ilani ya CCM ya mwaka 2005, ilikuwa ni tatizo la uwezeshaji wa watu wenye uwezo wa kuthubutu. Amerudia kusema mara kadhaa na amerudia tena kwenye mkutano mkuu uliomalizika Dodoma, kwamba benki za biashara si rafiki wa masikini.

Kwa maneno mengine, Mwelekeo huuu wa sasa wa CCM umekuja na majawabu juu ya dukuduku la muda mrefu la Rais Kikwete, la kutafuta uwezeshaji wa watu wenye nia ya kuthubutu kufanya mambo makubwa.

Kwa mujibu wa CCM, kwa mtazamo mpana wa Sera ya Uwezeshaji Kiuchumi, aina ya kwanza ya uwezeshaji ni ile ya mtu mwenyewe kujiwezesha. Yaani mtu anajiwezesha pale anapotambua vipaji alivyonavyo na anaamua kujituma kwa kuvitumia vipaji hivyo.

“Kwa ujumla, elimu yetu hadi hivi sasa imeegemea kwenye kuelimisha watu ili waajiriwe au watumwe. Lazima sasa elimu tunayoitoa kwa vijana wetu ijielekeze kwenye kuandaa watu wenye kujituma. Wanaojiajiri ni watu wanaojituma.

“Kuna vijana wengi wanaomaliza masomo ya sekondari, ya vyuo na hata vyuo vikuu, lakini hawapati kuajiriwa kwa sababu uchumi haupanuki kwa haraka kiasi. Hivyo jambo jema la nchi kuwa na watu wengi, vijana wengi waliosoma vizuri, sasa limeanza kuwa tatizo kwa nchi

“Kuwa na vijana wengi waliosoma, ni nguvu kubwa kwa Taifa. Ili Taifa liweze kuitumia nguvu hiyo kwa maslahi ya vijana wenyewe na kwa maendeleo ya kiuchumi na jamii ya nchi yetu, CCM itazitaka Serikali kuibua Mpango Kabambe wa kuwawezesha kiuchumi vijana wasomi walio tayari kujituma kwa kujiajiri ili watumie nguvu na maarifa waliyonayo,” CCM inaagiza.

Je; ni mpango gani umeandaliwa kwa vijana hawa? Chama hicho kinasema kwamba Serikali italazimika kuwapa mafunzo ya ujasiriamali na yanayohusu shughuli wanazokusudia kuzifanya, lakini pia Serikali iweke utaratibu mwepesi wa kupata mikopo nafuu.

Chama hicho kinasema wale wote watakaokuwa na nia ya kushiriki katika mpango huo, washauriwe kuunda chombo chao cha kushauriana.

“Utaratibu wa aina hii, wa kuwawezesha wasomi na wataalamu kujiajiri, una manufaa mawili kwa Taifa. Kwanza, unatoa ajira ya uhakika kwa wahusika na hivyo kuipunguzia nchi tatizo la watu kukosa ajira na madhara yake, na pili; unawezesha wasomi kutoa mchango chanya katika kujenga uchumi wa kisasa na kuongeza utajiri wa nchi,” inasomeka sehemu ya kijitabu hicho.

Chini ya utaratibu wa kuwawezesha wasomi, wajasiriamali, wafanyabiashara wa kati na wa juu, CCM inaziagiza Serikali zake kuandaa mkakati wa kibenki ambao utawezesha upatikanaji wa mikopo kwa makundi yote hayo.

“Benki nyingi tulizonazo sasa kwa aina ya shughuli zao, ni benki za kibiashara zaidi kuliko zile za kuendeleza sekta za uzalishaji mali, hususan kilimo. Aidha, hutoza riba kubwa. Hivyo ni muhimu Serikali ikahakikisha kuwa kwa makusudi, vinaanzishwa vyombo vya fedha ambavyo vitasaidia kuwawezesha wananchi kwa riba nafuu kuliko ilivyo sasa, ikilenga uanzishwaji wa Benki ya Kilimo, Benki ya Kuendeleza Viwanda na Benki ya kutoa mikopo ya muda mrefu ya ujenzi wa nyumba,” inaagizwa.

WAGOMBEA MCHINGA WATUHUMIANA UCHAWI

Imeandikwa na Rashidi Mtagaruka, Lindi; Tarehe: 25th July 2010 Habari Leo



KAMPENI za kuwania uteuzi wa kugombea ubunge ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Mchinga lililopo Lindi Vijijini, mkoani Lindi, zimeingia sura mpya baada ya mgombea mmoja kumtuhumu mwenzake kuwa mchawi.

Tukio hili lililoshuhudiwa na mwandishi wa habari hizi, lilitokea juzi saa tatu na nusu asubuhi katika ofisi za CCM mjini hapa, lilimhusisha Mbunge anayetetea nafasi yake, Mudhihir Mudhihir ambaye alimuomba Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Muhamed Gwaja kuwaondoa watu watatu wanaofuatana na mgombea mwenzake, Saidi Mtanda.

“Mheshimiwa Mwenyekiti, sina imani na watu walio ndani ya gari ya Mtanda, kwa maana ni wachawi,” alisikika akisema Mudhihir.

Hata hivyo Mtanda ambaye katika kampeni hizo zilizoanza Julai 22 mwaka huu, katika kata za Kiwawa na Milola alikuwa akitumia gari lake binafsi, alipinga pendekezo hilo kwa madai linapingana na kanuni za uchaguzi.

“Mwenyekiti kabla ya kukubaliana naye, kwanza atoe ushahidi wa kauli yake, maana Kanuni za uchaguzi hazijasema mahala popote kwamba mgombea haruhusiwi kuongozana na ndugu zake wakati wa kampeni,” alisema mgombea huyo ambaye ni msaidizi wa Katiku Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba. Mtanda aliongeza kuwa:

”Lakini pia kama Mudhihir mwenyewe si mchawi aliwezaje kuwabaini ndugu zangu katika msafara huo kuwa ni wachawi?”

Baada ya mabishano ya muda mrefu, Mtanda alitumia busara ya kuepusha mzozo huo ambao ulionekana kutaka kuathiri msafara wao uliokuwa ukielekea kata za Rutamba na Nangaru.

Akizungumza na gazeti hili baada ya ndugu hao watatu wa Mtanda kushushwa, Mkurugenzi wa Uchaguzi wilayani humo, Mohammed Nyama alisema haoni sababu ya kushushwa kwa watu hao. “Mudhihir hakupaswa kuwa na wasiwasi kiasi hicho, maana nchi yetu haiamini masuala ya uchawi.

Ninachoshukuru ni kuwa busara zimetumika kuepusha shari katika kampeni,” alisema. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hizi anayefuatilia kampeni hizo, baadhi ya wagombea wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwashawishi wanachama wa CCM wa jimbo la Mchinga.

Jimbo la Mchinga kwa miaka 15 sasa limekuwa chini ya Mudhihir ambao katika uchaguzi wa mwaka huu wamejitokeza wanachama wengine watano wanaoomba kuteuliwa kuiwakilisha CCM katika jimbo hilo. Mbali ya Mudhihir na Mtanda, wengine ni Mayasa Mikidadi, Khalfan Ng’uto, Said Farahani na mgombea aliyetambuliwa kwa jina moja la Mpwatile.

MGOMBEA AKUTWA NA MGUU WA MTU MAKONGOROSI, CHUNYA, TANZANIA

Mgombea akutwa na mguu wa mtu Mbeya
*Ni wa Chadema aliuficha uani, akamatwa

Na Maregesi Paul

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika Jimbo Jipya la Makongorosi lililoko Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, George Mtasha (50), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya baada ya kukutwa na mguu wa mtu.

Katika tukio hilo, Mtasha ambaye pia ni mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Mkoa wa Mbeya, amekamatwa na mwenzake aliyefahamika kwa jina la Paul Mnyambwa (43).

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Adcocate Nyombi, aliiambia MTANZANIA kwa njia ya simu jana kuwa, Mtasha na Mnyambwa walikamatwa jana saa 12.50 alfajiri baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa raia mwema, kwamba watu hao wanamiliki mguu wa mtu.
“Ni kweli kuna watu wawili wakazi Bwawani, Makongorosi Chunya ambao wote ni wafanyabiashara wa madini ya dhahabu, tunawashikilia hapa. Kabla ya kuwatia mbaroni, awali tulipata taarifa kutoka kwa raia wema ambao walitwambia kwamba, watu hao wanamiliki mguu wa mtu kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.

“Tulipopata taarifa hizo, vijana wetu kutoka hapa mkoani, walikwenda huko na kufanya upekuzi katika nyumba ya Mtasha ambapo walikuta mguu wa kushoto ukiwa umefukiwa kwenye takataka ndani ya ua wa nyumba yake. Kwa hiyo, hivi tunavyozungumza watuhumiwa wote wameshafikishwa hapa mkoani, tunaendelea kuwahoji ili tujue ni kwa nini wanamiliki mguu huo na wameutoa wapi,” alisema Kamanda Nyombi.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo wa polisi, mguu huo ni wa kushoto na ni kipande kilichoanzia gotini hadi kwenye nyayo.

Akizungumzia tukio hilo, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Shambwee Shitambala, alisema kukamatwa kwa Mtasha ni pigo kwa chama hicho kwa kuwa alikuwa ameahidi kukisaidia chama wakati wa uchaguzi mkuu.

“Taarifa za kukamatwa kwa Mtasha ninazo ila inaonekana kuna mazingira ya kisiasa kwa sababu ni juzi tu amerudisha fomu za kugombea ubunge katika Jimbo la Makongorosi. Katika tukio hili nasikia mtoa taarifa alimpigia simu RPC badala ya OCD wa Chunya, kisha askari polisi wakatoka Mbeya Mjini kuja kuwakamata watuhumiwa Chunya wakati hata hapo Chunya kuna polisi,” alisema Shitambala ambaye kitaaluma ni mwanasheria.

Mtasha amekuwa Mwenyekiti wa Chadema tangu chama hicho kilipoanza kujulikana mkoani Mbeya miaka mingi iliyopita. Aliondolewa katika wadhifa huo Machi mwaka huu baada ya kushindwa katika uchaguzi uliomweka madarakani, Sambwee Shitambala.

UCHAGUZI CCM (TANZANIA) SI SHWARI

Imeandikwa na Martha Mtangoo, Dodoma; Tarehe: 25th July 2010 Habari Leo





WAKATI kukiwa na taarifa za kusimamishwa kwa Makatibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika baadhi ya wilaya nchini kutokana na kile kinachodaiwa kuegemea upande fulani wa wagombea na hata kujihusisha katika utoaji wa rushwa, Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba amekuja juu na kusema hatambui jambo hilo.

Taarifa za kusimamishwa kwa makatibu hao zimekuja kutoka katika majimbo matatu ya Dodoma Mjini ambako Katibu wa CCM wilayani, David Mzuri ametajwa kusimamishwa kama ilivyo kwa Katibu wa Wilaya ya Bukombe, Mberito Magova na msaidizi wake, Novatus Kibati.

Hata hivyo, akizungumzia suala hilo jana Makamba alielezea kushangazwa kwake na taarifa za kusimamishwa kwa makatibu hao, akisema yeye kama mtendaji mkuu wa chama, atakuwa kichaa kama ataamua kuwafukuza Makatibu wa CCM wakati huu wa uchaguzi.

Alisema kuwa kinachofanywa sasa na chama chake ni kuimarisha usimamizi wakati wa uchaguzi wa kura za maoni.

“Ninyi mnazipata wapi habari za kuwa tunafukuza Makatibu wa CCM, mimi ndiye Katibu Mkuu wa chama hatuna sababu za kuanza kufukuzana, tunachofanya ni kuimarisha usimamizi wa zoezi hili, mfano Mikumi imekuwa wilaya mpya ambayo haina Katibu, sasa nikaona badala ya kumpeleka Msaidizi wa Mkuu wa Mkoa, nikaamua kumpeleka Nduta, na hata mzee Mzuri tumempeleka kusimamia Gairo,” alisema.

Lakini taarifa za awali ambazo gazeti hili ilizipata kupitia Mwandishi Martha Mtangoo aliyeko mjini Dodoma zinasema kwamba, tuhuma nzito za rushwa na upendeleo kwa baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge katika jimbo la Dodoma Mjini, zimemtia matatani Katibu wa Wilaya wa Chama hicho, David Mzuri na kwamba amesimamishwa kazi kuanzia jana.

Mzuri aliyekuwa pia Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Wilaya hiyo kwa CCM, ametajwa kufikwa na balaa hilo akituhumiwa ‘kumbeba’ waziwazi mmoja wa wagombea 18 wa jimbo hilo, Alhaji Adam Kimbisa.

Kimbisa, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni Katibu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, ameibukia Dodoma Mjini kuusaka ubunge, dhamira ambayo haikuwa inafahamika na wengi mpaka alipochukua fomu.

Kusimamishwa kwa Mzuri kulithibitishwa jana na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Dodoma, John Barongo, aliyesema baada ya kupokea malalamiko mengi juu ya Katibu wake wa Wilaya akihusishwa `kumbeba’ Kimbisa, uongozi wa Mkoa umeamua kumsimamisha kazi.

Alisisitiza, kusimamishwa kwake kutasaidia kufanyika kwa uchunguzi juu ya tuhuma hizo na kama itathibitika alitenda makosa ya kumsaidia Kimbisa, atafukuzwa.

Mzuri mwenyewe alipotakiwa kuzungumzia suala hilo, hakuwa tayari kwani aliwakimbia waandishi kwa kutumia gari binafsi.

Kabla ya uamuzi wa jana, mgombea huyo alikuwa anatuhumiwa yeye na familia yake kuwa walikuwa wakimpigia debe mmoja wa wagombea wenzake na hata kutoa rushwa.

Na baadaye haikuwa siri tena, kwani karibu wagombea wote walimtaja Kimbisa kuwa ndiye ‘anayebebwa’ na Katibu aliyesimamishwa.

Kimbisa alidai, anapikiwa majungu ya kisiasa kwa kuwa yeye ni tishio zaidi miongoni mwa wana-CCM waliojitokeza kuwania ubunge Dodoma Mjini.

Alikwenda mbali zaidi na kumtaja Haidary Gulamali ambaye pia ni mgombea kuwa ndiye anayeongoza timu ya kumchafua kisiasa na kwamba hakuna rushwa yoyote anayoitoa kwa wananchi kwenye mchakato huo.

“Hizi ni hisia za kisiasa tu ambazo zinasababishwa na baadhi ya watu ambao wananiogopa na kuna watu ambao wameitwa na Gulamali, ili kunichafua kisiasa, lakini haya si ya kweli,” alisema Kimbisa.

Kwa upande wake, Gulamali alisema akiwa Katibu wa Mkoa wa Uchumi na Fedha, alitumia cheo chake kufikisha ujumbe wa wagombea wengine waliotaka haki na usawa iwepo katika mchakato unaoendelea wa kuwania kuteuliwa na CCM.

“Kilichotokea, ni kwamba nilielezea tukio ambalo lilitokea ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka, simwogopi mgombea yeyote na nipo tayari kuyakubali matokeo ambayo yatatolewa na wananchi,” alisema Gulamali.

Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani hapa, Eunice Mmari, alisema taasisi yake ina taarifa juu ya malalamiko hayo na kuwa bado iko katika uchunguzi.

Kutoka Bukombe mkoani Shinyanga, Raymond Mihayo anaripoti kuwa, wanachama 16 kati ya 18 wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo ya Bukombe na Mbogwe mkoani Shinyanga, juzi na jana walisusia kufanya kampeni zao kwa madai kuwa, uongozi wa chama hicho wilayani Bukombe ulikuwa unawakumbatia baadhi ya wagombea.

Kutokana na hali hiyo, uongozi wa CCM mkoani humo umechukua hatua ya kuwasimamisha kazi Katibu wa CCM Wilaya ya Bukombe, Mberito Magova na msaidizi wake, Novatus Kibati.

Habari zilizopatikana jana kutoka wilayani humo na kuthibitishwa na Katibu wa CCM mkoani Shinyanga, Mohammed Mbonde.
Alisema kwamba, wagombea hao waliandika barua za kujiuzulu kutokana na kuwapo kwa dalili za upendeleo kwa baadhi ya wagombea.

Tayari nafasi ya Magova ya kusimamia jimbo la Bukombe imechukuliwa na Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo, Mathias Mbogo wakati katika jimbo la Mbogwe, nafasi ya Kibati imezibwa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya, Mgohoma Mgohoma.

Mchakato wa kampeni za ndani ya chama kupata wagombea wa udiwani na ubunge katika majimbo na kata mbalimbali nchini leo unaingia katika siku ya nne kati ya kumi zilizopongwa na chama hicho tawala.

Katika hatua nyingine, wagombea wawili wa udiwani kupitia Viti Maalumu ndani ya CCM, jana waliripotiwa kupoteza fahamu kutokana na kile kinachodaiwa kupata mshituko baada ya kuambulia kura sifuri licha ya wao wenyewe kujipigia kura katika mchakato wa udiwani katika Kata ya Hombolo.

Wagombea hao waliotajwa kuwa ni Alice Kitendya na Rosemary Kaka waliokuwa wanachuana na wengine saba, wameripotiwa kulazwa katika wadi namba 9 katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma. Kufikia jana jioni, walikuwa hawajarejewa na fahamu.

Sunday, July 25, 2010

NAPE NNAUYE ACHEZEWA RAFU UBUNGO DSM

Imeandikwa na Angela Semaya; Tarehe: 24th July 2010 "Habari Leo", Tanzania.

MWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, anayeomba ridhaa ya kugombea Jimbo la Ubungo amelia kuchezewa rafu katika kampeni za kura za maoni zinazoendelea Dar es Salaam.

Nnauye akiwa kati ya wagombea 13 wa CCM waliopanda jukwaani kunadi sera zao kwa ajili ya kuomba kura kwa wanachama jana, alilalamika kuchezewa rafu baada ya kunyimwa nafasi ya kujibu maswali aliyoulizwa na wanachama waliotoka eneo la Tupendane na Kilimani kata ya Manzese waliokuwa wamekusanyika katika uwanja wa Kilimani.

Mara baada ya Nnauye kujinadi mbele ya wanachama, Mwenyekiti wa Kampeni, Thadeus Kiwenge, alihoji iwapo kuna mwenye swali wakajitokeza watu wawili ambao waliuliza maswali ambayo hata hivyo, Mwenyekiti huyo alidai hayakuwa ya msingi na kusababisha mtafaruku.

Muuliza swali wa kwanza alisema amesikia kuwa mgombea huyo ni mkorofi na ‘alikivua nguo’ chama hadharani, wakati muuliza swali wa pili alisema wamesikia mtaani kwamba hata wanachama wakilipigia kura jina lake haliwezi kurudi.

Kiwenge alisema hayo hayakuwa maswali ya msingi hivyo yasijibiwe na mgombea licha ya yeye Nnauye kutaka apewe nafasi ya kujibu huku wananchi nao wakishinikiza apewe nafasi hiyo, lakini akakataliwa.

Nnauye aliyeonekana kukerwa na kuzuiwa kujibu maswali hayo, ghafla alishuka jukwaani huku akirusha mikono na kulalamika na baadaye kuonekana akitulizwa na mgombea mwenzake, Hawa Ng’humbi.

“Hapana haiwezekani, hali hii tangu jana kuna watu wanapangwa kuniuliza maswali, halafu hawataki kunipa nafasi ya kujibu … nitapigania haki yangu hadi mwisho,” alisikika akisema.

Katika hali ya kuonekana kuchanganyikiwa, Nnauye aliondoka na gari lake kwenye mkutano na kisha kurudi baada ya muda, wakati wagombea wote wakiwa wamemaliza kujinadi.

Akizungumza na waandishi nje ya uwanja kutokana na tukio hilo, Nnauye alisema hali ilivyo ni dhahiri kuna mgombea amepangwa kwa alichodai ni kupewa muda mfupi wa kujieleza tofauti na wagombea wengine na kunyimwa haki ya kujibu maswali aliyoulizwa.

“Nina hakika nitashinda, mimi ni mwanachama halali. Nitadai haki yangu hadi mwisho … nitakachofanya ni kupeleka malalamiko yangu sehemu husika,” alisema.

Awali akijinadi, Nnauye alisema inahitajika damu mpya na kamanda atakayekuwa na nguvu ya kupambana na wapinzani, hasa katika jimbo hilo lenye upinzani mkali na kwamba yeye anaweza kupambana.

Ng’humbi alijikuta naye akiulizwa swali linaloshabihiana na la Nnauye na muuliza swali yule yule, hata hivyo yeye alipewa nafasi ya kulijibu na Mwenyekiti wa Kampeni.

Muuliza swali alimwambia Ng’humbi kwamba alikuwa meneja wa kampeni za Mbunge wa sasa, Charles Keenja ambaye inadaiwa hakurudi kwa wananchi kwa miaka yote akiwa mbunge na kuhoji ni namna gani mgombea huyo atawashawishi waweze kumwamini kumpa nafasi hiyo.

Ng’humbi ambaye alionekana kujibu kwa ujasiri, alisema alipewa jukumu na chama la kuwa meneja, lakini wenye mamlaka ya kuchagua mbunge walikuwa wao wananchi.

“Jamani mimi nilipewa jukumu la chama nikafanya, nikamleta kwenu. Lakini waliopiga kura kumchagua si ninyi au? Kama

hakurudi miye si kazi yangu, maana baada ya hapo niliondoka zangu baada ya kupewa kazi ya ukuu wa wilaya katika

maeneo niliyowatajia,” alisema.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga ambaye pia anaomba ridhaa ya CCM kugombea Ubungo, alitoa mpya baada ya kumaliza kujinadi na kisha kukiamkia Chama Cha Mapinduzi, shikamoo.

Mwangunga akijinadi alisema amekuwa na mchango mkubwa wa kuhamasisha na kuwezesha wanawake kuingia bungeni kwa kile alichoeleza kuwa ni mzoefu wa masuala ya wanawake, serikalini na bungeni. “Mimi si mshamba bungeni. Nina uchungu na kwetu Ubungo.

Niko jikoni, mkinipa nafasi naweza kuwatetea. Mimi ni mchapakazi hodari.

Rais Kikwete alisema wanawake hawajamwangusha na mimi ni sehemu ya wanawake hao,” alisema. Wagombea wengine waliojinadi ni Zangina Shanang Zaninga, Assumpta Nalitolela, Alfred Nchimbi, Kanali Gaspar Hiza, Peter Msuya, Dk. Apollo Kissai, Eliona Nkya, Slastaus Mwisomba, Perpetua Haule na Michael Lupiana.

Wakati huo huo, wagombea katika jimbo la Kinondoni nao walipita kuomba kura katika kata mbalimbali zilizopo katika wilaya ya Kinondoni.

Akijinadi katika Kata ya Makumbusho, mgombea mwenye umri wa miaka 23 na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, McDonald Runilinyilija alijifananisha na Mtume Muhammad na Bwana Yesu kwa kile alichosema walitumikia wananchi katika umri mdogo.

Runilinyilija alisema bungeni hakuna umri na kwamba akipewa nafasi anaweza kuwatumikia wananchi wa Kinondoni. Alisema, “chako ni chako tu hata kikiwa kizani utakiona, nipeni kura zenu.”

Iddi Azzan ambaye anatetea kiti chake, aliomba wanachama wampe tena kura za ndiyo ili arudi bungeni miaka mitano mingine kufanya kazi kwa kile alichoeleza miaka mitano iliyopita ilikuwa ya kujifunza.

Mgombea pekee mwanamke katika jimbo la Kinondoni, Shy-rose Bhanji, alisema sifa yake kubwa ni ya kutokata tamaa na kuwaomba wanachama wamwamini, wampe kura ili aweze kuwatumikia.

Wagombea wengine waliojinadi kuomba ridhaa Kinondoni ni Bakari Maige, Kakolwa Mbano, Mkuruma Muniwori, Mustafa Nuru, Mpoki Mwambulukutu na Issa Mohammed Issa.

Monday, July 19, 2010

WALIOMUUWA PROFESA JWANI MWAIKUSA SI MAJAMBAZI !!???!!

Friday, 16 July 2010 08:31
0diggsdigg
Fidelis Butahe na Aziza Masoud

MTOTO wa Profesa jwan Mwaikusa ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nje ya nyumba yake, amesema hahusishi mauaji hayo na ujambazi kwa kuwa waliotoa maisha ya baba yake hawakupora chochote.

Profesa Mwaikusa, ambaye atazikwa kesho nyumbani kwake Tegeta Salasala, aliuawa usiku mara baada ya kurejea nyumbani kwake wakati watu wasiojulikana walipomvamia kwenye gari na kumtaka ashuke na baadaye kumfyatulia risasi mbili.

Kabla ya kumuua mwanazuoni huyo, watu hao walimuua mpwa wake, Gwamaka mMwakilasa kwa kumpiga risasi mbili mgongoni na baada ya kumuua Prof Mwaikusa walikwenda nyumba jirani na kumuua mfanyabiashara, John Mtuikifuani na kutoweka.

Baada ya kumfyatulia risasi, watu hao wameripotiwa kuwa walimburuzia profesa huyo nje ya gari na kumkanyaga kwa miguu wakati wakimsogeza ili wapekue vitu ambavyo walikuwa wakivitaka.

Akizungumzia mauaji hayo ya baba yake, Baraka alisema ni vigumu kuhusisha mauaji hayo na wizi wa kawaida au ujambazi kwa kuwa majambazi wangeweza kuchukua gari na vitu vingine vilivyokuwa ndani ya gari la marehemu.

"Sioni kama tukio hili ni wizi au ujambazi kwa sababu hawajaiba kitu chochote ingawa walikuwa na uwezo wa kuiba kila kitu walichokitaka. Gari halikuwa na tatizo lolote.

"Kama wangekuwa majambazi, wasingekuja kwa miguu, lazima wangekuwa na usafiri wa kueleweka na lazima kungekuwa na wenzao nje, lakini wao walikuwa wawili tu tena ni vijana ambao wanaweza kuwa na umri kama wangu," alieleza Baraka.

Kwa mujibu wa Baraka baadhi ya watu waliofika kwenye msiba huo walieleza kuwa eneo hilo limekithiri vitendo vya kupora na watu kadhaa wamekuwa wakivamiwa na kuporwa vitu mbalimbali.

Kwa masikitiko, Baraka alisema Profesa Mwaikusa hakustahili kukatishwa maisha yake kikatili kiasi hicho na kusisitiza kuwa huo hauwezi kuwa ujambazi tu.

"Nilimuona mmoja wa majambazi na kwa sura nitamfahamu. Alikuwa mwembamba na kichwani alikuwa na nywele nyingi. Baba ameuawa kama jambazi, kifo hiki kimenisikitisha sana kwa kweli siwezi kusahau maishani," alisema kwa uchungu.

Baraka pia alisema kuwa mwanazuoni huyo, ambaye pia alikuwa wakili, atazikwa kesho nyumbani kwake Tegeta Salasala jijini Dar es Salaam na kwamba ratiba ya mazishi itatolewa leo baada ya vikao vya wanandugu.
Alisema kuwa familia ya marehemu imeamua kumzika Profesa Mwaikusa nyumbani kwake kwa kuwa kabla ya kufikwa na mauti, alitaka azikwe katika nyumba yake hiyo.

"Kabla ya kifo chake baba aliwahi kutuambia kuwa akifa azikwe hapa nyumbani. Uzuri ni kwamba maneno hayo hakutuambia sisi tu, alikuwa akiwaeleza na ndugu zetu wengine," alisema Baraka.

"Baba alikuwa na nyumba nyingi, lakini aliwahi kusisitiza kuwa akistaafu atakuwa anaishi hapa na akifa azikwe hapahapa nyumbani kwake."

Awali kabla ya kupangwa siku ya mazishi, taarifa zilieleza kuwa baadhi ya ndugu wa marehemu walitaka marehemu akazikwe Mbeya, lakini mke wake na watoto, walishinikiza azikwe Dar es Salaam.

"Hili jambo tumeshalimaliza; hayo ni mambo ya kawaida ambayo hutokea msibani, lakini tulivyowaeleza ndugu zetu juu ya kauli alizozitoa baba, mambo yote yakaenda sawa. Kwa hiyo baba yetu mpendwa tutamzika hapa nyumbani," alisema Baraka.

NADHARIA YA KUUWAWA KWA PROFESA JWANI MWAIKUSA WA TANZANIA

IMEINGIZWA HUMU 19/7/2010.

Law Professor Jwani Mwaikusa: Martyr for truth at the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR)?
Posted By Mary On July 17, 2010 @ 7:30 pm

Introduction

On the morning of July 15, I spoke to William Mitchell Law Professor and international criminal defense attorney Peter Erlinder about the grisly assassination of Democratic Green Party of Rwanda Vice President Andre Kagwa Kwisereka. Kwisereka was found beheaded, with a machete left nearby, near Butare, Rwanda, on July 13, 26 days after Professor Erlinder’s release in Rwanda, where Rwandan President Paul Kagame’s regime had arrested and incarcerated him for three weeks. Erlinder had traveled to Rwanda to defend Victoire Ingabire Umuhoza, Rwanda’s FDU-Inkingi party leader and presidential candidate, only to be arrested and accused of “genocide ideology,” which means disagreeing with Rwanda’s official history of the 1994 Rwanda Genocide and/or with the regime of Rwandan President Paul Kagame.

Professor Jwani Mwaikusa headed the Department of Constitutional and Administrative Law at the University of Dar Es Salaam.
When I told Professor Erlinder about Andre Kagwa Kwisereka’s assassination, he said, “Yes, and an ICTR [International Criminal Tribunal on Rwanda] defense attorney, Professor Jwani Mwaikusa, was just assassinated, too, in Dar es Salaam.”
He also said:
“No one knows for sure whether he was assassinated by Rwandan Patriotic Front operatives, but we do know that lawyers put themselves in danger by defending people whom the RPF have identified as their enemies.”
Professor Erlinder put himself in great danger by traveling to Rwanda, and says that he would have been “disappeared” had he not sat down, started hollering, demanded to speak to the U.S. Embassy, and made the sort of scene that white Americans feel empowered to make, in the Kigali hotel where he had been arrested. Professor Mwaikusa, however, put himself in far more danger and paid the ultimate final price, along with a nephew and neighbor who attempted to come to his defense.

Law Professors Peter Erlinder and Jwani Mwaikusa both served as defense attorneys for the International Criminal Tribunal on Rwanda (ICTR).
Professor Erlinder and Professor Mwaikusa were both towering, world renowned legal scholars, teachers and human rights defenders, but Professor Erlinder was an American who survived, Professor Mukwaisa an African who paid with his life. His assassins no doubt knew that, though their stature and accomplishments were similar, the international outcry and consequence would not compare.
As U.S. citizens, we are complicit in Professor Mwaikusa’s death because President Paul Kagame’s Rwanda is the highest per capita recipient of U.S. aid in Africa.
Thanks to Professor Charles Kambanda for sharing his thoughts on Professor Mwaikusa and his legacy. – Ann Garrison


Professor Jwani Mwaikusa: Martyr for truth
by Charles Kambanda
The identity, motive and/or sponsors of Professor Jwani Mwaikusa’s assassins, in Dar es Salaam, Tanzania, may remain “unknown,” meaning “unproven,” for some time, but Professor Mwaikusa’s friends and colleagues know that whoever was responsible deprived the legal fraternity and the entire human race of an irreplaceable, independent and incorruptible mind.
We will remember his extensive knowledge of philosophy and law, his both Cartesian and naturalist legal theory, his deep humanity, his great sense of humor and his courageous, landmark work at the International Criminal Tribunal on Rwanda (ICTR). Professor Mwaikusa contributed much of his valuable time to defending the accused at the ICTR. His concise and precise objections to any inadmissible evidence or testimony was his unique contribution. The quality of his research in preparation for his court appearances will also remain an ICTR landmark.
In order to defend his clients, Professor Jwani Mwaikusa, a Tanzanian by birth, inquired into Rwanda’s social and political environment prior, during and after the 1994 genocide. His findings led him to a crucial conclusion that “both parties to the Rwandan Civil War within which the 1994 genocide surfaced committed international crimes.” This conclusion, which he referred to as “the bitter truth,” deeply angered Rwandan President Paul Kagame and his top Rwandan Patriotic Front officers and officials, and they have thus, inevitably, become suspect in his death.

Professor Jwani Mwaikusa was renowned far beyond the borders of his native Tanzania. Here he consults with the law faculty at the University of Cape Town.
Professor Mwaikusa often argued that by not prosecuting Rwanda Patriotic Front/Army (RPF/A) senior officers who allegedly committed crimes, the ICTR was acting in contravention of its own founding treaty. He insisted that there is overwhelming evidence, collected by private investigator and former ICTR Prosecutor Carla Del Ponte for RPF/A senior officers to be prosecuted by the ICTR before the court closes. He did not mince words about the Kagame regime’s political meddling into the International Court’s affairs and administration of justice in particular, and warned that the ICTR risks leaving a legacy of “victor over vanquished” justice. The liberty with which the Rwandan regime exerted pressure on the ICTR meant, in his view, that international justice was being replaced by international politics and diplomacy.

When Kagame’s government jailed Professor Peter Erlinder, Professor Jwani Mwaikusa spoke out. He condemned the move and said that it was a “strategy” to deprive the ICTR of independent defense attorneys. Professor Mwaikusa worried that it would be a matter of time before he too would be in a Rwandan jail for the same reason. Now we can only speculate as to whether he had any premonition that his own fate would be even more harsh and final, or that a nephew and a neighbor would both die attempting to come to his defense.
In a landmark case at the ICTR in which the Kigali regime and the prosecutor at the ICTR sought to transfer some of the ICTR’s cases to Rwanda, Professor Jwani Mwaikusa convinced the court that the defendants had no chance of a fair trial in Rwanda. He also successfully argued that the regime in Rwanda lacked the moral authority to try its former political rivals because there is too much evidence that leaders in the Kigali regime are guilty of the same crimes.

University of Dar es Salaam Law Professor Jwani Mwaikusa was assassinated in Dar es Salaam on July 14. He taught constitutional development and practice, human rights, including community rights, democratic governance, land rights and environmental law. The International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) is headquarted in Arusha, Tanzania. - Photo: U.S. State Department
Professor Jwani Mwaikusa accused the Kagame regime of twisting the terms of the U.N. resolution that instituted the ICTR. He argued that the U.N. Security Council used the term “Rwandan Genocide” knowing that extremists from both of the two rival ethnic groups committed atrocities against the other, but that the Kagame regime uses the term “Tutsi genocide” to water down the regime’s role in the atrocities.
“Robbery gone wrong” is not an option in the professor’s assassination because the assassins did not part with anything of monetary value. The assassins parted with ICTR case-related documents. By coincidence or design, the manner in which Professor Jwani Mwaikusa was assassinated is not different from the way some other critics of the Kagame regime met their death. Seth Sindashonga and Major Theoneste Lizinde, both strong critics of the Kigali regime, were assassinated in 1998. The two had sought refuge in Kenya. Journalist Jean Leonard Rugambage was assassinated on June 24 after writing that Kagame had ordered the assassination attempt on Rwandan exile Gen. Kayumba Nyamwasa. A week later, Professor Mwaikusa, a strong critic of the Kigali regime, was gunned down. On the same day, Democratic Green Party of Rwanda Vice President Andre Kagwa Rwisereka was beheaded near Butare in southern Rwanda.
The perpetrators remain unknown, but the United Nations secretary general, on July 15, called for an investigation into the deaths of Jean Leonard Rugambage and Andre Kagwa Rwisereka. He has not yet ordered an inquiry into Professor Mwaikusa’s assassination, but one is certainly called for, discomfiting as the truth may be to some of the world’s most powerful people.
Professor Charles Kambanda is an American of Rwandan origin and a former professor of law, business and philosophy at Makarere University in Kigali, Rwanda, where both the Umuseso newspaper editor and Democratic Green Party of Rwanda President Frank Habineza were his students. He was once a member of Rwandan’s ruling Rwandan Patriotic Front Party. He first met Professor Jwani Mwaikusa in 2001 when they were both teaching at the University of Dar es Salaam and they remained friends from that time on. Professor Kambanda is now involved in research on Rwanda’s ongoing social and political conflict. He can be reached at kambacha@yahoo.com [6].
San Francisco writer Ann Garrison writes for the San Francisco Bay View, [7] Digital Journal [8], Examiner.com [9], OpEdNews [10], Global Research [11], Colored Opinions [12] and her blog, Plutocracy Now [13]. She can be reached at anniegarrison@gmail.com [14].
Related Posts

* Cynthia McKinney: Rwanda, release Professor Peter Erlinder [15]
* U.S. lawyers to defend Victoire Ingabire, first female presidential candidate in Rwanda – jailed by President Gen. Paul Kagame [16]
* Ingabire’s appeal: Stand with Rwanda as with Prof. Erlinder [17]
* Rwanda: Kagame tortures opposition, arrests Ingabire’s new lawyer [18]
* Erlinder released as Kagame cracks down on his own [19]

Wednesday, July 14, 2010

LAND GRABBING BY CITY OFFICIALS IN TANZANIA

LAND MIS-ALLOCATION BLAMED ON CITY OFFICIALS

By BILHAM KIMATI, 13th July 2010 Daily News

A PROBE team formed last month by the Dar es Salaam Regional Commissioner, Mr William Lukuvi, has discovered that 104 open space plots out of 154 surveyed sites were illegally occupied.

The team has discovered that indiscriminate change of land use plans in Dar es Salaam could not have been possible without the patronage of dishonest land officials, some known to have issued land occupancy documents to family members.

Presenting the report to the RC at his office yesterday, the team leader, Ms Albina Burra, said Kinondoni was notorious in open space grabbing whereby 88 out of 110 open space sites visited in the municipality were taken for different use.

"I commend the team because within 25 days of intense probe from June 18 to (yesterday) July 13, it probed the matter and compiled this thick report with proposals that will be used to redress the situation," Mr Lukuvi said.

The team drew its members from the police force, the army, prisons, land officers, city planning office and academics.

The first step towards restoration of the snatched land, said Lukuvi, would be to hold an urgent meeting with members of the regional security and defence committee prior to legal and disciplinary action against people behind the racket.

"This is the first report ever that is seriously addressing land problems in Dar es Salaam. I am not surprised to hear that land grabbing is rampant in Kinondoni. But one thing for sure is that both legal and disciplinary measures will be taken against all culprits," the RC pledged.

After learning about massive cheating and double allocation of land in Kinondoni early last month, the regional commissioner formed two separate probe teams.

The first surveyed the three municipalities of Dar es Salaam -- Temeke, Ilala and Kinondoni -- and finally presented the report yesterday.

The second team of inquiry was assigned with the duty to gather information from office files in municipal land department to uncover tricks involved in changing land use and ownership. The team is also scheduled to present its report today.

Sources from within the team revealed that indiscriminate forgery of signatures and forged stamps facilitated the illegal occupation of land.

"Some of these places have been turned into department stores gradually taken under the pretext of being a political party project, some with guest houses, filling stations and local markets," the source revealed.

It was further learnt that among the recommendations, was immediate demolition of structures coupled with legal measures against 'owners' together with land officials who assisted on the cheat.

Previously, the Special Zone Police Commander, Mr Suleiman Kova, had said that police in Dar es Salaam had interrogated a dozen of people in connection with the land fraud in Kinondoni Municipal Council.

He said that more people were lined up for questioning, but declined to disclose the number, adding that the suspects would be prosecuted after completion of investigations.

It all started when Mr Lukuvi suspended Kinondoni Municipal Land Officer, Mr Magesa Magesa together with 16 other officials to facilitate investigations on land related fraud.

Five Kinondoni Municipal councillors including the Municipal Mayor, Mr Salum Londa, together with the Municipal Director, Mr Noel Mahenga, were also nabbed in connection with the scam.

Other councillors already questioned by the police include Mr Eliachim Magafu (Manzese ward), Mr Rajab Suleiman Hassan (Makurumla) and Salum Mwaking'inda (Sinza).

Kinondoni Municipality has repeatedly been accused of issuing dubious land ownership permits including reserved open space.

GWIJI LA SHERIA PROF. JWANI MWAIKUSA AUWAWA DAR

From: Chris Mwasambili
Subject: [tanzanet] BREKING NYUUUUZZZZZ: PROFESA MWAIKUSA AUWAWA JIJINI DAR (MICHUZI)
To: list@tanzanet.org
Date: Wednesday, 14 July, 2010, 12:50

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZbttdxYKndtXXVxh9eKEJ5MXHSGVwkwQtzgh0q9gTSxvwdt_kclwvnS4cxR9-aUdcTmNMal6YusEnyPaJqEBBb3liLthrUv9dlsd9do_Njc96oowt-n9k4k545z9t2GMX3KKR121egzw/s400/47.jpg

Marehemu Profesa

Jwani Timothy Mwaikusa



Habari zinasema Wakili na Mwanasheria nguli na Mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof. Jwani Timothy Mwaikusa amefariki dunia baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akirejea nyumbani kwake maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam.

Prof. Mwaikusa pia alifanya kazi katika mahakama ya kimataifa ya I.C.T.R Arusha na alikua rafiki wa mahakama ambaye alitetea vizuri hoja alizowasilisha kuhusu mgombea binafsi.

Kwa wale waliosoma literature A- Level kama mimi, Prof. Mwaikusa pia alikua mwandishi mzuri wa poems ambazo wengi wetu tulizijibia mitihani.
Pamoja nae pia ameuwawa mwanae aliyekua akitoka nje kumfungulia geti, na mtu baki aliyekua akipita njia.

Kwa jicho la kawaida tu, haya yatakua mauaji ya kisasi au ya kumnyamazisha kuhusu jambo fulani kwakua habari za awali zinasema wauwaji hao hawakuiba kitu chochoteSee More

Na Mdau Nkundwe Mwakilema

NILIYOYAFAHAMU:
Career:
* Professor of Law, Faculty of Law, University of Dar es Salaam 1999
* Mkono & Co Advocates since 1998
* Advocate, High Court of Tanzania since 1988
* Managing Editor of the Tanzania Law Reports.
Qualifications:
* Ph.D., School of Oriental & African Studies, University of London, UK, 1995
* LL.M, University of Birmingham, UK, 1985
* LL.B (Hons), University of Dar es Salaam, Tanzania, 1981.

Wednesday, July 7, 2010

URAIA WA NCHI MBILI TANZANIA WAKUBALIWA KISHERIA

> URAIA WA NCHI MBILI WAKUBALIWA KITAIFA

Jul 5, 2010
>
> Serikali imekubali kuwepo kwa uraia wa nchi mbili kwa Wabongo walioko nje ya
> nchi na kwamba wasichukuliwe kama wasaliti.
>
> Kutokana na hatua hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
> iko kwenye mchakato wa kuwasilisha muswada kuhusu uraia wa nchi mbili kwenye
> kikao cha Baraza la Mawaziri.
>
> Hayo yalisemwa juzi mjengoni 'Bungeni' na Waziri wa Mambo ya Nje na
> Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe.
>
> Waziri Membe alisema siyo dhambi, Watanzania kutafuta riziki nje ya nchi na
> ni haki yao kubaki na uraia wa Tanzania.
>
> Alisema wakati umefika kwa Watanzania, kupatiwa haki yao ya msingi kwani
> licha ya kuwa ni manufaa kwao pia ni manufaa kwa nchi kutokana na fursa ya
> kuongeza pato la taifa.
>
> "Tusiwaangalie Watanzania walioko nje ya nchi kama wasaliti, watu hawa ni
> raia wema lakini walikwenda kutafuta riziki tu ili wachumie juani na kulia
> kivulini, hivyo tunapowafutia uraia wa ndani hatuwatendei haki,".
>
> Alisema kama Tanzania imeweza kutoa uraia kwa wakimbizi 169,000 kutoka
> Rwanda na Burundi, haiwezi kushindwa kuwabakishia uraia wao wananchi wake
> wanaokwenda kutafuta nje ya nchi.
>

Tuesday, July 6, 2010

MAENEO YA KUOGOPWA KWA UHALIFU DSM, TANZANIA

Imeandikwa na Anastazia Alfred, Magdalena Balisidya, Amina Mrope (DSJ), Beatrice Shayo, Restuta James, Joseph Mwendapole, Richard Makore, Moshi Lusonzo, Romana Mallya na Eliwinjuka Shani.

CHANZO: NIPASHE la tarehe 06/07/2010.



Ukiwa Dar ogopa maeneo haya

Na Waandishi wetu

5th July 2010



Uhalifu, mauaji nje nje!



Eneo la Mbezi wilayani Kinondoni hivi sasa ndilo linaloongoza kwa matukio ya uhalifu katika Jiji la Dar es Salaam.

Kuna mlolongo wa matukio ya ujambazi katika maeneo ya Mbezi ambapo watu kadhaa wameuawa miezi ya karibuni kwa kupigwa risasi kwa kuvamiwa nyumbani na wengine kuvamiwa wakiwa kwenye magari yao wakati wakijiandaa kuingia nyumbani na kupigwa risasi.

Miongoni mwa matukio yaliyotokea Mbezi ni la takribani wiki moja iliyopita na kulihusisha kundi la watu saba waliokuwa na silaha za moto ambao walivamia kwenye nyumba inayomilikwa na mfanyakazi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Elinawinga Massawe mkazi wa Mbezi Msakuzi, Makondeko kata ya Kibamba, na kumuua kinyama kwa kumpiga risasi ya kichwa Nkingwa Mboja (25), mfanyakazi wa kiume wa nyumba hiyo.

Aidha, katika tukio hilo watu wawili walijeruhiwa ambao ni mwalimu wa Shule ya Chekechea iliyopo eneo hilo, aliyetambuliwa kwa jina moja la Ndimpo ambaye alipigwa risasi kifuani wakati mama wa baba wa nyumba hiyo, Mamboloo Massawe (85) alijeruhiwa na kitu chenye ncha kali kwenye mkono wake wa kushoto.

Jeshi la polisi lilifanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa wanne.

Juni 13, mwaka huu, Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mavurunza, Athanas Zengo, akitoa mahubiri ya Jumapili, alilaani matukio ya ujambazi pamoja na mauaji ya raia wasio na hatia katika maeneo ya Kimara na Mbezi na kuwatupia lawama viongozi wa serikali wenye dhamana ya usalama wa raia kutokuwajibika.

Alisema kila baada ya siku chache anashiriki kuwazika raia wasio na hatia wanaouawa na majambazi.

Padri huyo alisema viongozi hao walioshindwa kutimiza wajibu wao ni afadhali wakajiuzulu na wasipofanya hivyo, wananchi wasiwachague katika uchaguzi mkuu ujao.

Uporaji pikipiki Goba

Matukio ya kuwapora pikipiki vijana wanaofanya biashara ya usafirishaji wa abiria na kuwaua yameshamiri katika maeneo ya Mbweni, Goba na Tangi Bovu kwa kutaja machache.

Katika eneo la Mbweni kuna matukio zaidi ya manne yameripotiwa hivi karibuni baada ya watu wasiofahamika kuwakodi vijana wenye pikipiki na kisha kuwaua na kuwapora pikipiki.

Tukio la karibuni lilitokea Jumatano usiku Mbezi Tangi Bovu na kuwalazimisha vijana wanaofanya biashara hiyo katika eneo hilo wiki iliyopita kuandamana kupinga vitendo vya polisi wa Kawe kuwatishia pale wanapotaka watuhumiwa wachukuliwe hatua.

Watoa huduma wa pikipiki huko mbweni, Bunju na maeneo mengine wilayani Kionondoni wanalalamika kuwa polisi hawafuatilii matukio ya kuuawa licha ya kupelekewa taarifa.

Kwa upande wa Makongo Juu, wakazi wake wanasema kuwa vitendo vya uhalifu eneo hilo bado ni tatizo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi hao walisema kuwa matukio ya uhalifu hasa utumiaji wa silaha kama rungu, panga, shoka na silaha za moto yamekuwa yakiendelea.

Mmoja wa wananchi wa eneo hilo akizungumza na gazeti hili kwa masharti ya kutotajwa jina, alisema vitendo hivyo vimekuwa vikitokea nyakati za usiku.

Alitolea mfano tukio lililotokea zaidi ya wiki moja iliyopita majira ya saa 2:00 usiku ambapo majambazi walivamia maduka mawili, grosari na genge na kupora mali na fedha.

Makongo nako moto

Katika tukio hilo lililotokea Makongo eneo la Saiberia, watu watatu walijeruhiwa sehemu mbalimbali za miili.

Katika kipindi cha mwaka huu zaidi ya matukio matatu makubwa yalitokea ambapo kati ya hayo moja lilisababisha kifo cha mkazi mmoja baada ya majambazi kuvamia kwenye duka moja.

“Maeneo ya huku kama unavyoyaona ni mapori, yametuzunguka na nyumba zipo moja moja, hivyo wahalifu wamekuwa wakitumia mwanya huo kupora wananchi au kuvamia na kupora mali kwenye maduka au majumbani,” alisema.

Alisema Jeshi la Polisi linatakiwa kujipanga ipasavyo ili kuhakikisha maeneo kama hayo yanapata vituo vidogo vya polisi.

“Tunahitaji tuwe na kituo cha polisi huku kwanza wakazi ni wengi na kituo tunachokitegemea ni cha Chuo Kikuu ambacho kinahudumia watu wengi,” alisema.

Ubungo Darajani himaya ya vibaka

Nalo eneo la Ubungo Darajani linatajwa kushamiri vitendo vya uhalifu hasa wa kupora watu.

Inadaiwa kuwa genge la vijana zaidi ya 20 linalofanya uhalifu limepiga kambi katika eneo hilo kiasi ya kuhatarisha maisha ya wakazi wa eneo hilo na wasafiri wanaotumia barabara ya Mandela.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kibangu, Kata ya Makuburi, Desdery Ishengoma, alithibitisha kukithiri kwa vitendo hivyo na kueleza kuwa vinachangiwa na biashara ndogondogo zinazofanywa kando kando mwa barabara ya Mandela, eneo la Darajani.

Alisema tayari ofisi yake imeandika barua kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni na kupendekeza kuwa eneo hilo lifanywe bustani za miti na maua badala ya biashara ndogondogo.

Alisema mbali ya pendekezo hilo, ofisi yake imetengeneza mpango wa kuweka sungusungu katika eneo hilo na kwamba kwa sasa vijana watakaoshiriki kazi hiyo wameanza mazoezi.

“Kwa kweli hapa darajani hali ni mbaya sana, watu wanaumizwa na kuporwa kila saa na kila siku...sisi tumeshaliona tatizo hilo na kama nilivyokueleza, tumeanza kuchukua hatua,” alisema Ishengoma.

Alisema kwa siku wamekuwa wakipokea malalamiko zaidi ya matano kutoka kwa watu mbalimbali wanaojeruhiwa na kundi hilo la uhalifu.

“Lakini naamini hao ni wale wachache wanaoamua kuja kwetu, matukio ni mengi sana kutokana na hatari iliyopo,” alisema.

Wananchi waliozungumza na gazeti hili walisema kikundi cha vijana hao kimekuwa kikifanya uhalifu na kukimbilia chini ya daraja.

Alfred Mushi, mkazi wa eneo hilo alisema vibaka kwenye eneo hilo wamekithiri huku polisi wakifumbia macho matukio ya uporaji na kuwaacha vibaka wakitamba.

“Si unaona kituo cha polisi kipo jirani tu, lakini hapa vibaka wanatamba utafikiri hamna vyombo vya dola...ukienda polisi unaulizwa una gari? au wanakuambia hawawezi kutoka kwa sababu hakuna askari wa kubaki kituoni,” alisema Mushi.

Alisema wakati mwingine askari wamekuwa wakiandika maelezo na kuahidi kufuatilia tukio, lakini hawafanyi hivyo na ndio maana vibaka wanatamba katika eneo hilo.

Alisema: “Hali hiyo imekuwa ikichochea hasira za wananchi, ndio maana wakifanikiwa kukamata mhalifu wanamchoma moto kwa kuwa polisi wakimkamata kibaka asubuhi, mchana unamkuta mtaani.”

Mwananchi mwingine, Abdalah Jumaa, aliwalaumu askari wa vituo vidogo kuwa na kasumba ya kupuuza malalamiko ya wananchi.

“Ukiongea na Kova (Suleiman Kova, Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam) anakujibu vizuri kuliko hawa askari wadogo, yaani ukiwa na tatizo huwezi kuhudumiwa bila kuwasiliana na Kamanda Kova ili awaagize watu wake katika vituo husika...sijui kwa nini hawa askari wako hivyo,” alisema.

Polisi wa Kituo kidogo cha Ubungo Kibangu ambao hawakupenda kutaja majina yao, walisema wakati mwingine wananchi wamekuwa wakikuza matukio ikilinganishwa na hali halisi.

“Kama wananchi wanasema hapo Darajani kunatisha, mbona hawaleti malalamiko yao hapa? Ni kweli pale kuna vibaka, lakini sio tatizo kubwa kama ulivyoelezwa na hao unaosema ni wananchi,” alisema askari mmoja.

Baada ya kueleza hayo, askari wa kituo hicho walimtaka mwandishi wa habari hizi kuwasiliana na Kamanda wa Kanda Maalum kwa ufafanuzi zaidi kwa maelezo kwamba wao sio wasemaji wa jeshi la polisi.

Mwananyamala na vibaka

Kwa upande wa Mwananyamala, wakazi wa eneo hilo wamelalamikia ongezeko la vibaya na kulitupia lawama Jeshi la Polisi kwa kushindwa kukabiliana na vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kutokea eneo hilo.

Siwema Juma, mkazi wa eneo hilo alisema, kila kukicha eneo hilo kumekuwa na ongezeko la vibaka ambao wamekuwa wakiwaibia wakazi na wapita njia.

Alisema baadhi yao hujifanya kuwa ni wapiga debe ambao wamekuwa wakiwaibia abiria.

Siwema alisema vibaka hao wanazidi kushamiri katika eneo hilo na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.

Mwanyekiti wa Serikali za Mtaa, Kitwana Katembo, alisema mara kwa mara wamekuwa wakiwakamata wahalifu na kuwachukulia hatua.

Hata hivyo, alisema hivi sasa kuna unafuu kulinganisha na kabla ya Januari.

Alisema ndani ya mwaka huu matukio yanayojitokeza zaidi ni ya uporaji wa simu.

Eneo lingine ambalo linatisha kwa uhalifu ni Jangwani ambapo wakazi wake wamesema kuwa eneo hilo kuanzia Magomeni hadi Faya sio salama.

Licha ya kutoa taarifa kwenye jeshi la polisi eneo hilo bado ni hatari.

Baadhi ya wakazi wa jiji wakizungumza na gazeti hili, walisema bado tatizo hilo linaendelea eneo hilo na kwamba wanaoibiwa mara nyingi ni wanawake.

Mkazi wa eneo hilo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mwajuma, alisema kuwa kuna uhalifu wa kutisha katika maeneo ya Magomeni hadi Jangwani.

Wakazi wengine wanasema inapofika saa moja usiku ni hatari kuvuka eneo hilo kwa miguu na kwamba hali ni kama hiyo majira ya afajiri.

Aidha, wanasema vibaka wanapora watu simu, mikufu, mikoba ya na mali nyingine za wanaokuwa kwenye magari na kukimbia.

Wakati wakazi wakilalamikia hali hiyo, Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa Magomeni, Shawedi Abdallah, alisema uhalifu katika eneo hilo umepungua kulinganisha na miaka ya karibuni.

Tabata Relini moto

Eneo la Tabata Relini nalo linatajwa kushamiri kwa uhalifu ambapo wakazi wameliomba Jeshi la Polisi kuweka ulinzi katika kituo cha Tabata Relini kufuatia eneo hilo kushamiri vibaka na kufanya uporaji.

Wakazi hao walisema vitendo vya uhalifu vimezidi kushamiri katika kituo cha daladala na kwamba kila siku watu wanaporwa vitu ikiwemo simu, mikoba na kuachiwa majeraha mwilini kwa kuchanwa na vitu vyenye ncha kali.

Amina Omary, mkazi wa eneo hilo alisema wanawake wanaongoza kwa kufanyiwa uporaji na vibaka ambao amedai wanaofanya vitendo hivyo ni vijana wanaotumia dawa za kulevya.

Alisema ingawa polisi wanafahamu eneo hilo ni hatari, hawaweki ulinzi wakati wa usiku.

“Polisi wanafahamu eneo hili lina vibaka lakini hawaweki ulinzi na kila leo watu wanaporwa ikifika saa mbili usiku tunaogopa kusimama kituoni kusubiri usafiri,” alisema.

Balozi wa Nyumba 10, Juma Selemani, alisema vitendo vya ukabaji katika eneo hilo ni tatizo sugu na watu ambao sio wenyeji wa eneo hilo wanaporwa kwa kutokana na kutofahamu kuwa muda wa usiku eneo hilo ni hatari.

Alisema ili kukomesha vitendo hivyo eneo hilo ameliomba Jeshi la Polisi kufanya ulinzi na kuwakamata wapiga debe na kuongeza kuwa ndio wahusika.

Tabata Kimanga nako kunatajwa kushamiri kwa vibaka ambao ni tishio.

Wakazi hao walisema kuwa wakati mwingine vitendo vya wizi na uporaji hufanyika mchana, lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.

Mkazi wa Tabata Bima, Boniface Shangwe, alisema vibaka wengi ni wale wanaopiga debe mchana na inapofika usiku wanageuka wezi.

“Hapa Tabata Bima usithubutu kupita peke yako zaidi ya saa tano, huwa wanajibanza hapa kona kuna ka-uchochoro haipiti siku tatu utasikia mtu kaporwa,” alisema.

Alisema wapiga debe hao pia wamekuwa wakiwakwapulia mabegi wanawake kwenye daladala na kuchukua simu za wanaume kwa kujifanya wanawania kupata usafiri.

Mkazi wa Tabata Savannah, Justa Mbiro, naye aliwaelekezea lawama wapiga debe kuwa mara nyingi huwa ni vijana ambao wameshindikana nyumbani kwao hivyo kuamua kuhamia katika kazi hiyo.

“Kuna mtu juzi alikuwa anatoka muziki hapa Tabata Mawenzi akapigwa panga kichwani, hawa ni vijana wa hapa hapa wanavizia watu wanaotoka muziki na kuwafuatilia hadi sehemu wanazoona giza wanaanza kazi yao,” alisema Mbiro.

Kutokana na shida ya usafiri kutoka Ubungo Extenal kuelekea Kisukuru kupitia shule ya Yusuf Makamba, watu wengine huamua kutembea kwa miguu kukatisha jeshini kuelekea Kisukuru sehemu yenye umbali kama kilomita tatu.

“Eeneo hili lina msitu mkubwa kwa kuwa ni eneo la jeshi sasa ukipita usiku ni giza kweli kweli na unapaswa kuwa na roho ngumu kama uko peke yako maana vibaka wamekuwa wakijificha vichakani na wakiona kama kuna mtu anapita peke yake wanamvamia,” alisema mkazi wa Kisukuru, Amina Mwamba.

Roba mbao ya misumari

Maeneo mengine yaliyokithiri kwa wizi ni maeneo ya Tabata Dampo barabara ya Mandela ambapo wizi wa maeneo hayo umebatizwa roba ya mbao.

Vibaka hao wamekuwa wakitumia njia ya kuwakaba koo watu wanaopita maeneo hayo kwa kutumia mbao iliyojazwa misumari.

“Roba ya mbao isikie tu maana hiyo hata ungekuwa na nguvu gani wakikuwekea hiyo unapaswa kutulia tu na kutoa kila ulichonacho, ile mbao inakuwa na misumari iliyochomekwa sasa wakikuwekea wanakwambia toa ulichonacho ukibisha wanazidisha kukaba na inaweza kukutoboa koo,” alisema mkazi wa maneo hayo, Joseph Minde.

Buguruni kituo cha mabasi nako ni eneo hatari lisilofaa kupita kuanzia saa nne usiku. Wapiga debe wa maeneo hayo wanaodaiwa kufanya kuwakaba watu na kuwapora.

Maeneo ya Temeke nayo si salama kutokana na kutapakaa kwa vibaka. Kwa mfano, Jumapili iliyopita, mkazi mmoja wa Tabata aliporwa simu, Sh. 20,000 na heleni majira ya saa nne usiku eneo la Temeke Hospitali.

Mkazi huyo alisema aliporwa baada ya kukabwa na kundi la vibaka, lakini hakuripoti polisi kuepuka kupoteza muda wake.

Naye Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa wa Bahari Beach, Gaspari Raphael, amesema uhalifu umezidi katika mtaa huo na kwamba unasababishwa na vijana wasio na ajira na wengi ni waliofukuzwa kwenye machimbo ya Ununio.

Gilbert Mrosso, mkazi wa eneo hilo, alisema hivi karibuni alinusurika kufa, baada ya kuvamiwa na majambazi na kumjeruhi vibaya na kuporwa mali na kuwa alipohitaji msaada wa polisi hawakufika.

Yombo usiamke alfajiri

Nao wakazi wa Yombo Kilakala wamelalamikia kuwepo na makundi ya ujambazi, hali ambayo inawazuia kuamka mapema kwenda katika biashara zao.

Catherine Mrema, alisema wanapokuwa wakipita kuelekea kituoni hukutana na makundi hayo kisha kutishiwa na mapanga na kuporwa.

Mkazi mwingine, Allen Ngugo, alisema mara nyingi majambazi huvamia maduka na kupora.

Aidha, alisema eneo hilo ni sehemu ya majambazi kujificha baada ya kufanya uhalifu maeneo mengine.

Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa wa eneo hilo, Yahaya Mnari, alithibitisha kutokea kwa matukio hayo.

Alisema matukio ambayo yametokea karibuni ni uvunjaji wa maduka na kuvamia nyumba za wageni na kuwapora mali zao.

Mnari alisema hata katika tukio la wizi wa ujambazi uliofanyika katika ATM ya NMB iliyoko katika eneo la Hospitali ya Temeke gari ilifichwa darajani baada ya kufanya uhalifu huo.

Alisema kwa sasa wametafuta kikundi cha watu 30 ambao watapatiwa mafunzo ya ulinzi shirikishi ili kupunguza wimbi la ujambazi katika eneo hilo.

Vitendo vya uhalifu pia vimeshamiri Yombo Dovya, ambapo wananchi wanalalamikia hali hiyo.

Lina John, alisema kuwa eneo la shule linatumiwa na makundi ya vibaka na wahalifu wengine kuwapora mali zao.

Kwa upande wao, wakazi wa Mbagala wanasema kuwa matukio ya wizi wa kutumia nguvu yanaendelea kuwapa hofu, ambapo makundi ya vijana wanaofahamika kama ‘Mbwa Kachoka’ na ‘Mbwa Mwitu’ yanaendelea kuvamia nyumba na kuiba.

Wanaliomba Jeshi la Polisi kuendelea kukabiliana na makundi hayo ambayo ni hatari kwa maisha yao.

Hassan Ngayonga, mkazi wa Mbagala Kiburugwa, alisema licha ya polisi kukabiliana na makundi hayo, bado yanaendelea kuvamia na kupora.

Maeneo ambayo yanaonekana kuvamiwa mara kwa mara ni Charambe, Nzasa, Kiburugwa na Shimo la Mchanga.

Diwani wa kata ya Mbagala, Tito Osoro, akielezea matatizo hayo, alisema kwa ujumla tishio la makundi ya watu hao hakuna kwa kuwa Polisi wamewasambaratisha kwa kuvamia kambi zao na kuwakamata.

Eneo lingine linalotisha kwa uhalifu ni Daraja la Salender ambako licha ya kuweko na kituo cha polisi, vibaka wanawakaba wapitia njia na kuwapora.

Sunday, July 4, 2010

KWAHERI UKOLONI, KWAHERI UHURU (SHAIRI)

Sehemu ya Tatu SOMA KUANZIA CHINI SEHEMU YA KWANZA HADI HAPA. IMECHANGIWA NA BWNATOSHA WA UFARANSA. Salim H. Bwanatosha
Paris, France
(L/Line:+331-74301059;Mbl:+336-27146412)


21.
Kwa yote yanayosemwa
Kitabuni kutetema
Tarehe haijatemwa
Harithi anabaini!
22.
Harithi anabaini
Kutwambia kwa yakini
Ya mazito na laini
Ushirazi na Mwambao!
23.
Ushirazi na Mwambao
Bara Hindi na Hiyao
Mrima kwetu kwao
Barawa hata Nosy Be!
24.
Barawa hata Nosy Be
Bukini na Darugubey
Wadebuli na Wa-Pate
Uswahili ndo mkate!
25.
Uswahili ndo mkate
Zinjibari tupakate
Temedeni tuzipate
Sote ni waja wa M'Ngu!
26.
Sote ni waja M'Ngu
Kuvamiwa na Mzungu
Tufinyange zetu nyungu
Unguja na yetu Pemba!
27.
Unguja na yetu Pemba
Taifa-Dola kubeba
Kwa vikoi na vilemba
Watwani usende tete!
28.
Watwani usende tete
Makunduchi hata Wete
Ni kama Chanda na Pete
Chuki nyingi ni za nini?
29.
Chuku nyingi ni za nini?
Shetani kutuzaini
Ungwanetu kuukhini
Zinjibari kwenda pogo!
30.
Zinjibari kwenda pogo
Si wa chai si muhogo
Badili pua na chogo
Tu'auni Bwana M'Ngu!
----------
"Aliyesifu ugari, huyo ni mpuuzi
Bila ya mchuzi, huuli mtupu ugari!"

Afrabia ndio yetu
Swahilini ndiko kwetu
Tusitupe kilo chetu
Kwa watu waso wenzetu!

Sefu na wetu Amani
Wamesokota kamani
Saa yetu ikhiwani
Itawadi kwetu Pwani!

Tushangirie ukweli
Uchaguzi kuwa meli
Ya kabwela na kubeli
Kwa Karume na Mugheiry!
------------
Wama 'ala Rasul Ila-l-Balaghu-l-Mubiin!

Salim H. Bwanatosha
Paris, France
(L/Line:+331-74301059;Mbl:+336-27146412)


From: bwanatosha@hotmail.com
To: afrabia@gmail.com

Sehemu Ya Pili

11.
Maudhu'i si kidogo
Chimbuko umbua pogo
Harith ni Mwana Jogoo!
12.
Atwambia za Mzungu
Kufita yetu matungu
Ngezi, Nungwi, Takaungu!
13.
Tuchimbue historia
Nyongo na mbovu fagia
Wana tupate wambia!
14.
Tuweze sogea mbele
Ponyesha zetu ndwele
Mashina hata vilele!
15.
Simisha yetu IMANI
Sefu na khasa Amani
Kuwashinda maruhani!
16.
Hawa ni kweli vigogo
Wapambe sura na chogo
Kufinyaza vyombo dongo!
17.
Tataga uzi wa M'Ngu
Hizbu na Afro mbumbumbu
Umma na Nduwaro maumbu!
18.
Na zetu kweli tabia
Sote tuweze sikia
Zahitaji manabia!
19.
Tuwache hizi kelele
Tupate pika mchele
Taifa lisonge MBELE!
20.
Sote tuwe IKHIWANI
Wana sote wa Watwani
Tula'ani SHAITWANI!
----------
Salim H. Bwanatosha
Paris, 23/06/10

--------------------------------------------------------------------------------
Sehemu Ya Kwanza

01.
Hakika, lelo, ndo naanza
Mapesi kusoma na kuwaza
Ha kukanguwa nto mapanza
Kwa elimu inu ya kwanza!
02.
Kwa elimu inu ya kwanza
Zenjibari ilipoanza
Maji mema ya kutawaza
Kuwa na Taifa letu sote!
03.
Kuwa na Taifa letu sote
La michango kutoka kote
Tusiwe na khofu yoyote
Marithi ni ya wana wote!
04.
Marithi ni ya wana wote
Tindo, haiba, kote kote
Na kujifahari kwa yote
Hayo tuyajue yakini!
05.
Hayo tuyajue yakini
Ghassany weledi makini
Atupa tarehe 'aini
Ya kujenga matumaini!
06.
Ya kujenga matumaini
Tusije katika maini
Taifa-Dola kulikhini
Poteza muruwa na CHEO!
07.
Poteza muruwa na cheo
Mwinyi, Sultani, mambo leo
Walaji wingi vitoweo
Kwa ukali na makemeo!
08.
Kwa ukali na makemeo
Unguja hata Kiwa Ndeo
Watubane kwa makoleo
Kukana uweza wa M'Ngu!
09.
Kukana uweza wa M'Ngu
Kwa kupika yao majungu
Watapa tapa na mikungu
Na kuenda mbio za nyumbu!
10.
Na kuenda mbio za nyumbu
Kwa kukimbia kumbu kumbu
Vichwa mchangani kuumbu
Zanzibar si sawa na MBU!

HUKU NDIKO KUJIENZI KWA KWELI - KUOKOA KONOKONO WASIOJIOKOA

From LEONARD MWAKALEBELA in Dodoma, 2nd July 2010 Daily News

A RARE species of snails have delayed a multi-billion power project at River Malagarasi in Kigoma Region. The Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, informed the National Assembly on Friday that the snails were discovered after completion of feasibility study on the 8-megawatt project in March this year.

He observed that the project cannot proceed due to environmental concerns.

"However, financers of the project --Millennium Challenge Corporation (MCC) have agreed to sponsor a fresh feasibility study in another area of the river (Igamba III) to implement the project by producing power from the river's waterfalls", the minister stated.

This will be bad news for residents of Kigoma who have been experiencing power shortage for years and electricity for River Malagarasi waterfalls could have been a panacea.

The discovery of the snails at the waterfalls reminds Tanzanians of the discovery of spray toads at Kihansi, which delayed the Kihansi hydro-electric power project a couple of years ago. The minister was presenting government's report on implementation of various projects under sponsorship of MCC, African Development Bank (AfDB) and Rural Energy Agency (REA).

Mr Ngeleja told the House that REA was going to implement power projects in 16 regions that will subsequently enable TANESCO to connect 20,000 new customers, at a cost of over 98.4bn/-. The regions are Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Tanga, Coast, Morogoro, Dodoma, Singida, Mbeya, Rukwa, Tabora, Kigoma, Kagera, Mwanza, Mara and Shinyanga.

"Agreement contract for rehabilitation and expansion of power transmission lines in Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro, Mwanza and Tanga will be signed by the end of this month. The process to get a consultant for another project, which is being sponsored by AfDB at the cost of 60bn/-, is in its final stages," the minister stated.

It will involve Mwanza, Shinyanga, Dar es Salaam and Arusha regions. He explained that the government was engaged in discussions with Sweden on the implementation of the 13-2KV Makambako-Songea power project, to cost 85bn/-. Upon its completion, 30,000 new customers will be connected.

Mr Ngeleja said that REA was considering plan to distribute power in Mtwara and Lindi villages from natural gas produced at Mnazi Bay in Mtwara Region. He also said that Kilwa District would get electricity from the Songosongo natural gas reserve by this month while Liwale District will get its power from heavy/furnace oil.

"Construction of power projects at Magindu and Mbwewe villages in Bagamoyo District under sponsorship of the government at a cost of 2.8bn/- has started," Mr Ngeleja said.

According to him, power project in Longido district, at a cost of 1.4bn/- will take seven months from now and will connect 291 new customers. The minister added that implementation of power project in Kishapu District at a cost of over 342.7m/-had started and that construction of a submarine cable from Dar es Salaam to Unguja will be accomplished by August, 2012.

LULU NA BUSARA ADHIMU ZA WANAMTANDAO WA TANZANET

3 Julai, 2010, Saada Al-Ghafry

Katibu,
Ahsante sana kwa ripoti hii. Nawaomba wanaukumbi nichukue nafasi hii kufanya jambo la kidikteta, nilishaahidi kuwa anapotakiwa dikteta, niko tayari wakati wowote, na ninawaomba wanaukumbi wengi, kama si wote, mniunge mkono kwa haya nitakayosema ili ukumbi usonge mbele badala ya kukwama kwenye matope na magurudumu yanabaki yakizunguka hapo kwa hapo.

Kwanza, sahani ukiziweka mahali pamoja, zinagongana, na binadamu ni hivyo hivyo.

Pili, uongozi ni jukumu, na uongozi wa Tanzanet hauna hata faida ya kulipwa wala marupurupu. Ingekuwa vizuri iwapo mawasialiano baina ya viongozi kwa viongozi, na viongozi na wanachama yangekuwa ya kiungwana na kuvumiliana.

Tatu, naomba tutambue kuwa kwa sababu uongozi ni jukumu, uongozi una wajibu wa kuwa mfano kwa wanachama na taifa, kama vile wazazi wanavyotakiwa kuwa mfano kwa watoto.

Nne, panatokea migongano, ni uungwana tukiwa wepesi wa kuombana msamaha tunapokoseana, na mwenye kuombwa msamaha, ni uungwana kuridhika na kumsamehe aliyekukosea. Hata kama huko nyuma tulikuwa wagumu wa kufanya hivyo, tufungue ukurasa mpya na tuanze kufanya hivyo sasa. Hakuna aliyekamailika: Sote tuna mema yetu, na sote tuna mapungufu.

Tano, wanaukumbi wote ni watu wenye majukumu mengi sana. Majukumu mengine yasitufanye tukazembea majukumu yetu humu ukumbini. Tuko hapa kwa ridhaa zetu wenyewe, hatukulazimishwa.

Sita, ni wajibu wa kila mwanaukumbi kuhakikisha kuwa uanachama wake ni hai, hata kama una uhakika kuwa umetuma pesa, kunaweza kukatokea matatizo kwenye mawasiliano baina ya chombo kinachotumiwa kutuma (km paypal, western union nk) na chombo kinachopokea (bank, mtu binafsi nk). Wakati wa mchakato wa kupokea ada, Stella alikuwa muwazi, alikuwa akitoa orodha ya wote ambao ameshapokea ada zao, na kushauri kila mmoja ahakiki kuwa orodha iliyotolewa imekamilika. Wajibu wa kuhakikisha kuwa jina lako liko kwenye orodha wakati wewe umeshalipa, ni lako mwenyewe, maana mwakilishi wa kanda na Mhazini, wote ni binadamu na inawezekana wamekosea. Kati ya mhazini, mwakilishi wa kanda na wewe binafsi, ni jambo rahisi kutafuta tatizo liko wapi iwapo una hakika umelipa na jina lako halipo kwenye orodha.

Saba, kuhusu ripoti ya Katibu, na kwa kukosa wadhamini, ndipo ninapoigiza udikteta:
Namba 1 na 2 ni wazi. Kwenye namba 3, nakubaliana na Stella, hasa ukizingatia hayo niliyokwishaandika hapo juu. Nitaacha namba 4 kwa sasa, na ningeomba majibizano baina ya Katibu na Mwasa2 yasitishwe mpaka hapo watakapopatikana wadhamini na/au mnadhimu wa ukumbi. Namba 6, inaelekea mwenyekiti amepitwa kidogo na wakati. Toka enzi za uenyekiti wa LGF ilibadilika kuwa walioko Tanzania pia walipe ada. Hata hapo ilipokuwa Watanzania wamepewa msamaha, aliyetaka kuwa na haki ya kura au kupigiwa kura, ilibidi alipe ada, kwa hiyo msamaha huo usingemuhusu PDN kama mwenyekiti hivyo halikuwa suala la kujadili kabisa wakati wa tatizo hili. Namba 6, 7 na 8 ningependekeza zisijadiliwe kwa sasa bali Katibu aziingize kwenye agenda ya mkutano mkuu kwa sababu maamuzi yake yawe ndiyo muongozo kwenye uendeshaji wa Tanzanet baadaye.

Nane, kuhusu mapendekezo ya Katibu, namba 2-6 pia ni mambo ya kujadiliwa kwenye mkutano mkuu kwani maamuzi yake yataingizwa kwenye uendeshaji wa Tanzanet.

Tisa, kwa niaba ya ukumbi, namuomba radhi Stella kwa kutomtendea haki. Wakati wa uchaguzi, alijinadi kinagaubaga kuwa yeye ni perfectionist. Ametekeleza wajibu wake kwa ufanisi wa hali ya juu kama alivyojinadi, sidhani kama kuna mtu yeyote ambaye haridhiki na utekelezaji wake. Mimi binafsi, na kwa niaba ya ukumbi, namuomba aendelee kwa sasa. Kazi aliyokwishaianza ni nzuri, aiendeleze kwa muda mpaka uchaguzi utakapofanyika. Namshauri PDN, kwa nia njema ya kuijenga Tanzanet, amwombe radhi Stella binafsi au kwenye kurugenzi, tujikwamue tulipo, tusonge mbele.

Yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo na yajayo.

Kumi, naomba uongozi uitishe mkutano mkutano mkuu. Nadhani ni miaka mitatu sasa hatujawa na mkutano mkuu kwa hiyo kuna mengi yanayohitaji kurekebishwa, kutoa madukuduku ya wanachama na viongozi nk.

Nawasilisha na naomba wanaukumbi mniunge mkono, tufupishe majadiliano na tusonge mbele.

Rgds,
Saada



2010/7/4 Dan Nkurlu

Wana Tanzanet,



Kwa asilimia 95, nimemaliza uchunguzi wa suala zima lililofikia kwa Mhazini wetu Stella Semiti-Munuo kujiuzulu wadhifa wake. Kikubwa kilichotokea ni mgongano wa mawasiliano na bahati mbaya, jambo hili lilikuzwa kupita kiasi kwa makusudi ya kuleta vurugu ukumbini na si kuleta upatanishi na kuhakikisha kuna maelewano kati ya Mhazini na Mwenyekiti.



Uchunguzi huu umebainisha yafuatayo :



Mwenyekiti alichelewa kulipa ada yake katika muda uliopangwa na hivyo mgongano wa mawasiliano na expectations pamoja na kutumiwa jumbe za kukumbushwa na kupewa upendeleo maalum.
Mwakilishi wa Kanda Salim Khatri, hakuwasilisha jina la Mwenyekiti kwa Mhazini baada ya kupokea ada kutoka kwa Mwenyekiti. Tarehe kamili ya ada hii kupokelewa haijathibitishwa.
Kuvunjika na mgongano kimawasiliano (communication and professionalism/cultural breakdown) kati ya Mwenyekiti na Mhazini ambayo yanaonekana wazi kwenye email kati yao za siku hiyo June 23. Kuna mgongano wa expectations na define roles za kimajukumu. Mwenyekiti anaona wajibu wa kuhakikisha orodha ya walipa ada inakamilika ni kati ya Mhazini na wawakilishi, huku Mhazini anaona kuwa wajibu wa mwanachama yeyote bila kujali cheo au eneo ni kuhakikisha anawasiliana na mwakilishi au anawasilisha jina lake na uthibitisho wa kulipia ada.
Mwasambili kwa kudhamiria aliamua kuchafua hali ya hewa ukumbini kwa kuleta hadharani majadiliano kati ya Mwenyekiti, Mhazini, Khatri, Madete na yeye Mwasambili na kudai Mwenyekiti kachemsha na anapaswa kuomba samahani, huku akiuacha kwa makusudi ujumbe wa Khatri ambao ulithibitisha kuwa Mwenyekiti amelipia ada na ni Salim aliyechelewa kupeleka uthibitisho kwa Mhazini.
Tuna tatizo la makusanyo ya ada Tanzania na kuna suala la kudai walioko Tanzania wasiwe walipa ada (mazungumzo yangu na mwenyekiti yaliashiria kuwa kuna kipengele kinachodai WanaTanzanet Tanzania wawe exempted kulipa kodi, unless wanagombea).
Wasio mafundi mitambo au wanachama bado wameorodheshwa kama mafundi mitambo (Mwasambili, Henry Mgaya)
Mhazini kawateua George Kakoti na Seppy Nyang’oro kuwa wenye funguo za Benki bila Kurugenzi na Wanachama wote kuwa na tarifa.
Kuna tatizo la ukusanyaji ada kwa ujumla bila kujali kanda. Hii inatokana na baadhi wanachama kuchelewa kulipia ada ama kwa makusudi au mazoea ya kutokuwa makini kulipia ada pindi mchakato wa kukusanya ada unapoanza. Kuna wanachama ambao walijitahidi kuwasilisha ada zao lakini walikosa mwakilishi wa kanda na hivyo ada zao ama kuchelewa au kuwa na tatizo katika kuzifikisha zinapopaswa.


Mapendekezo yangu ni kama ifuatavyo:



Kumuomba radhi Stella Semiti kutokana na yaliyotokea na kumsihi aendelee na kazi yake kama Mhazini. Ama upatanishi ufanyike kuondoa mgongano uliotokea kati yake na Mwenyekiti.
Kurugenzi iwasilishe mchakato wa kuchagua wanachama watano ambao watakuwa ni baraza la wadhamini ambao watakuwa na uwezo wa kuusaidia na kuushauri Uongozi ulioko madarakani kwenye shughuli za utendaji wa kila siku na panapokuwa na mfarakano au mgongano ndani ya Kurugenzi au kati ya wanachama.
Kuwepo kwa muda maalum kila mwaka ambao Wanachama wa Tanzanet watawajibikia kulipia ada zao. Hili litakuwa ni suala la kuongezwa katika taratibu za Tanzanet na kuelimishwa kwa kila mwanachama mpya na hivyo kuondoa utata unaoendelea kutokea (rejea majibu ya email yangu kwa Richard Madete mwishoni mwa Mwezi May 2010 kuhusiana na Panga).
Wanachama wa Tanzania wapewe maelekezo kulipia ada zao moja kwa moja kwenye akaunti CRDB na kuwasilisha nakala ya deposit slip kwa Salim Khatri na LGF ambao ndio washika funguo wa akaunti Tanzania. Aidha, online access ya akaunti hii ifunguliwe na Mhazini apewe access yak u-monitor account activities.
Mitambo ya Tanzanet na walio mafundi mitambo wawekwe wazi na wenye access wawe na udhibiti. Hand over inapofanyika, waliondoka kazini wanapaswa kuwa deleted na access zao kusitishwa.
Akaunti zilizoko BoA na CRDB, ziwe chini ya Tanzanet na majina ya Signatories na wenye access kwenye akaunti hizi zifanyiwe mabadiliko kila mara panapotokea mabadiliko ya wasimamizi wa fedha hizi na majina ya washika fedha yawe yamepitishwa na Wanachama wa Tanzanet kwa umoja baada ya kupendekezwa na uongozi.
Ukumbi ujadili na kutolea uamuzi kitendo cha Mwasambili kutuma email za majadiliano kati ya Mhazini na Mwenyekiti kama uchochezi na kupuuzia email ya Khatri na kuendelea kwake kudai Mwenyekiti amechemsha
Ripoti hii imekamilika kwa kutumia mtiririko wa email zilizotumwa hapa ukumbini na majibu ya maswali niliyotuma binafsi kwa Mwenyekiti Nkwera, Mhazini Stella, Mwasambili na Salim Khatri.


Wenu Katibu Tanzanet

Dan Nkurlu



Revolutionary Right Reverend Kishoka